gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #81
sasa mbona mmempa uenyekiti?? manake baada ya kutoka butimba mkampa shavu na sasa anatembelea STJ maisha haya banaHuyo hana ujanja wa kugonganga na mimi.... Ye kama anajua kucheza mipira mikubwa mie nshajizoelea volleyball, unasmash na kudive..... Mchezo ukiisha mnapeana mikono na timu pinzani.