sarame2001
Member
- Aug 29, 2013
- 9
- 2
Hatamaye rais KIKWETE amemteua mh. Daniel Ole Njoolay aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa ya ARUSHA, MWANZA NA RUKWA KUWA BALOZI WA TZ Nigeria
Hatamaye rais KIKWETE amemteua mh. Daniel Ole Njoolay aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa ya ARUSHA, MWANZA NA RUKWA KUWA BALOZI WA TZ Nigeria
alisharudisha ardhi aliyompora mwananchi huko arusha?
Namkubali
uteuzi mzuri sana huu.
Ngongo, Kumbe Tunasali Kanisa moja? Lakini Jamaa hajafa yuko hai, akiwa Likizo tutaungana naye tena, isitoshe mabenchi bado kama M6 hivi!Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.
Mungu akubariki kwa kazi nzuri na njema.
vimajungu tu hivi, mwenzako kishaula.
Ngongo, Kumbe Tunasali Kanisa moja? Lakini Jamaa hajafa yuko hai, akiwa Likizo tutaungana naye tena, isitoshe mabenchi bado kama M6 hivi!
Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.
Mungu akubariki kwa kazi nzuri na njema.