Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,264
- 43,417
Mkuu Ngongo,Mwenyekiti wangu wa kamati ya maendeleo KKKT Mtaa wa Njiro.Tutakukumbuka kwa juhudi zako za dhati za kuhamashisha michango kwaajili ya mabenchi ya kukalia.Unaondoka wakati bado tulikuwa tunakuhitaji sana.
Mungu akubariki kwa kazi nzuri na njema.
Njoolay, ni mchapa kazi sana namkubali sana huyu ndiyo kaliweka jiji la Mwanza katika plan.
Last edited by a moderator: