Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,079
- Thread starter
- #101
Najaribu kuigugo hagugiki, kukopi haikopiki wala kupesti haipestikiMkuu, hiyo link vip, imeota mbawa ?
Najaribu kuigugo hagugiki, kukopi haikopiki wala kupesti haipestikiMkuu, hiyo link vip, imeota mbawa ?
Hahahaaaa, Bujibujiiii Lol!Njoo nikuunge, Ila ukikosea masharti jua kichwa chako kitageuka na kuwa cha BASHITE
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Buji.....kuu!Hivi unajua matusi ya kizungu na kiswahili hayaumi?
Sasa kipi bora, niendelee na injili au nirudi kwenye utapeli?
Mtumishi Bujibuji, acha wafu wazike wafu wenzao .....I will handle you with great care and love, hutojuta kuwepo kwenye mikono yangu lakini, yenye joto LA kadri na ulinzi salama