Jembebutu
Member
- Feb 14, 2017
- 88
- 225
Ndugu zangu kuna biashara nataka kujaribu kufanya ya kutoa bidhaa Kariakoo kupeleka Burundi ila katika pitapita, nimegundua changamoto zifuatazo.
1. Mabadiko ya thamani ya pesa ya Burundi
2. Ugumu wa kubadilisha fedha. Yaani ukiwa na faranga ni ngumu sana kuirudisha kuwa Shilingi.
3. Suala la usalama hasa unapokuwa na cash.
Naomba msaada kwa Mrundi au Mtanzania mwenye uzoefu au uelewa kwenye hayo masuala. Napenda kujua tofauti ya thamani ya fedha zetu pia bidhaa zenye uhitaji mkubwa Burundi zinazopatikana Bongo.
Shukran sana.
1. Mabadiko ya thamani ya pesa ya Burundi
2. Ugumu wa kubadilisha fedha. Yaani ukiwa na faranga ni ngumu sana kuirudisha kuwa Shilingi.
3. Suala la usalama hasa unapokuwa na cash.
Naomba msaada kwa Mrundi au Mtanzania mwenye uzoefu au uelewa kwenye hayo masuala. Napenda kujua tofauti ya thamani ya fedha zetu pia bidhaa zenye uhitaji mkubwa Burundi zinazopatikana Bongo.
Shukran sana.