Habari Wakuu!
Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa kukosa Machine ya kuchezea, nimerudi tena hivi punde.
Sina mengi kwa sasa ila natoa offer ya hii Game FIFA 19 ambayo ina 32.2GB.
Je, una PC ila washindwa kuipata hii Game sababu hauna External ya kukuwekea hii Game? Usiwaze, nina External, cha kufanya uje na Laptop yako tu, au kama una External basi wewe njoo na External yako tu.
Hii Game mimi mwenyewe nimesharun setup yake na nimeicheza ila haijanikaa saaana moyoni kama Battlefield 4.
Wakuu, nimetumia muda mrefu sana na gharama kuipata hii Game pendwa, sio vibaya kama ukaja na ela ya kula ugali.
Karibuni PM ama weka mawasiliano yako hapa mimi nitakutafuta.
Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa kukosa Machine ya kuchezea, nimerudi tena hivi punde.
Sina mengi kwa sasa ila natoa offer ya hii Game FIFA 19 ambayo ina 32.2GB.
Je, una PC ila washindwa kuipata hii Game sababu hauna External ya kukuwekea hii Game? Usiwaze, nina External, cha kufanya uje na Laptop yako tu, au kama una External basi wewe njoo na External yako tu.
Hii Game mimi mwenyewe nimesharun setup yake na nimeicheza ila haijanikaa saaana moyoni kama Battlefield 4.
Wakuu, nimetumia muda mrefu sana na gharama kuipata hii Game pendwa, sio vibaya kama ukaja na ela ya kula ugali.
Karibuni PM ama weka mawasiliano yako hapa mimi nitakutafuta.