Njoo nikupatie FIFA 2019

Aleyn

JF-Expert Member
Nov 12, 2011
19,166
32,306
Habari Wakuu!

Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.

Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa kukosa Machine ya kuchezea, nimerudi tena hivi punde.

Sina mengi kwa sasa ila natoa offer ya hii Game FIFA 19 ambayo ina 32.2GB.

Je, una PC ila washindwa kuipata hii Game sababu hauna External ya kukuwekea hii Game? Usiwaze, nina External, cha kufanya uje na Laptop yako tu, au kama una External basi wewe njoo na External yako tu.

Hii Game mimi mwenyewe nimesharun setup yake na nimeicheza ila haijanikaa saaana moyoni kama Battlefield 4.

Wakuu, nimetumia muda mrefu sana na gharama kuipata hii Game pendwa, sio vibaya kama ukaja na ela ya kula ugali.

Karibuni PM ama weka mawasiliano yako hapa mimi nitakutafuta.
 

Attachments

  • 1_Fifa-19-Demo.jpg
    1_Fifa-19-Demo.jpg
    15.1 KB · Views: 41
  • FIFA_19_ALLIANZ_JUVENTUS_GEN4_HIRES_WM.jpg
    FIFA_19_ALLIANZ_JUVENTUS_GEN4_HIRES_WM.jpg
    130.2 KB · Views: 43
  • FIFA19-Hero-UEFA-Juventus-stadium-xs.jpg
    FIFA19-Hero-UEFA-Juventus-stadium-xs.jpg
    75.5 KB · Views: 41
  • image.jpg
    image.jpg
    6.3 KB · Views: 38
  • images.jpg
    images.jpg
    8.4 KB · Views: 41
Habari Wakuu!

Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.

Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa kukosa Machine ya kuchezea, nimerudi tena hivi punde.

Sina mengi kwa sasa ila natoa offer ya hii Game FIFA 19 ambayo ina 32.2GB.

Je, una PC ila washindwa kuipata hii Game sababu hauna External ya kukuwekea hii Game? Usiwaze, nina External, cha kufanya uje na Laptop yako tu, au kama una External basi wewe njoo na External yako tu.

Hii Game mimi mwenyewe nimesharun setup yake na nimeicheza ila haijanikaa saaana moyoni kama Battlefield 4.

Wakuu, nimetumia muda mrefu sana na gharama kuipata hii Game pendwa, sio vibaya kama ukaja na ela ya kula ugali.

Karibuni PM ama weka mawasiliano yako hapa mimi nitakutafuta.
Hii imetulia sana👍👍

Naomba kujua specs za PC yako ili nijue kama nikutafute au nianze upgrading kwanza kama hautojali mku..
 
Habari Wakuu!

Nimerudi tena baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.

Miaka ya nyuma nilikuwa natoa Games za PC humu ndani for FREE, yaani ni 0 price. Nikapotea katika uso wa Magame kutokana kwa kukosa Machine ya kuchezea, nimerudi tena hivi punde.

Sina mengi kwa sasa ila natoa offer ya hii Game FIFA 19 ambayo ina 32.2GB.

Je, una PC ila washindwa kuipata hii Game sababu hauna External ya kukuwekea hii Game? Usiwaze, nina External, cha kufanya uje na Laptop yako tu, au kama una External basi wewe njoo na External yako tu.

Hii Game mimi mwenyewe nimesharun setup yake na nimeicheza ila haijanikaa saaana moyoni kama Battlefield 4.

Wakuu, nimetumia muda mrefu sana na gharama kuipata hii Game pendwa, sio vibaya kama ukaja na ela ya kula ugali.

Karibuni PM ama weka mawasiliano yako hapa mimi nitakutafuta.
Kwa hiyo naweza kudownload hapa hapa siyo?
 
yako ni powered kuliko yangu, hapo itarun bila shida.
Acha uwongo ww! Pc ambayo haina dedicated graphics ina struggle ku run game za zamani kama pes 2012 ije kuwa fifa 19? ! Tafuta pc ww yenye dedicated gpu tena kama nvidia isiwe chini ya level 50 yani ( gtx 850, 950, 1050 & above) na amd iwe level ya juu zaidi kwa sababu zinakua weaker kidg uki compare na equivalent yake ya nvidia.hata uwe na processor ya core i9 huwez kurun fifa 19 bila gpu!
 
Acha uwongo ww! Pc ambayo haina dedicated graphics ina struggle ku run game za zamani kama pes 2012 ije kuwa fifa 19? ! Tafuta pc ww yenye dedicated gpu tena kama nvidia isiwe chini ya level 50 yani ( gtx 850, 950, 1050 & above) na amd iwe level ya juu zaidi kwa sababu zinakua weaker kidg uki compare na equivalent yake ya nvidia.hata uwe na processor ya core i9 huwez kurun fifa 19 bila gpu!
Mpaka PC inakuwa na uwezo kama huo sio rahisi ikawa na graphics zinazoshindwa kurun hiyo game ktk lower settings.
 
Back
Top Bottom