Njoo na hoja ya msingi kulipinga hili

Njoo na hoja ya msingi kulipinga hili

Msiikuze sana sex.. watu wazima lazima wafanye ngono.. waliopita naye na uliopita nao ni bygones.. na wanasema acha bygones ziwe bygones.. enjoy maisha ya leo badala ya kutumia leo kustress kuhusu jana.

Ni upotevu wa muda.
 
Sikutegemea ww mkuu uwe upande wao. Unataka kuniambia ww huwajui hawa jinsia ke na mambo yao ya sirini
 
hii ni kweli TUPU kabisa mkuurugenzi, km sikumbikir mm huyo ni m*laya tu, halafu eti unakuta kavaa gauni jeupe na shela kuashiria ubikra wake, kumbe upuuz mtupu.
 
Back
Top Bottom