"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

"Njoo Ghetto"... Imezua balaa

Qute cherry

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
294
Reaction score
136
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hivi jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.
 
Hana lolote huyo si RB wala kukupiga,anakutisha tu utetereke ukamuombe radhi amalize shughuli.
Angekuwa na RB ungeshakamatwa maana anajua pa kukupata na kama ni wa kukupiga angekupiga hapo ulipomtia makonzi ya mwiko!
Relax. Ila hili liwe funzo kwako,mwanaume si wa kumuamini hata kama ni nduguyo!!!!
 
Hahaha mgumu wewe?? Huyo jamaa duh sijui ndio domo zege hahaha
 
Sista duu usibane sana lete zali kwa mentali!!

Unajua kilichomkuta Lulu wa kanumba?

Umempga angekufa mtoto wa mwanamke mwenzio ungeweza kwenda kuishi Segerea??

Ungempga na bikini au ungevua sidiria na kumchapa nayo!!!
 
Nawe dada si ungempa tu hata kamoja,
sio vizuri ulivyomfanyia!
Kwani ungempa hata kidogo then ukamwambia asimwambie mtu.,
 
mfumo wa maisha baina yenu ndio uliompa ujasiri huyo jamaa. Huo urafiki wenu ulifikia hatua ambayo ilimfanya jamaa ahisi umeishaelekea kibra hivyo kilichoaki ni mgegedo tu! Siku nyingine kama huna feelings zozote na mwanaume fulani usiruhusu mahusiano yenu yafikie hatua hiyo.
 
Hahaha mgumu wewe?? Huyo jamaa duh sijui ndio domo zege hahaha

Ndio hao hao baradhuli kabisa mkuu. Yaani unampenda mwanamke unashindwa kumwambia hadi umbake? Mpuuzi kabisa.
Na wewe bibie usihofu lolote hakuna cha RB wala nini.Wewe tulia tu uliona wapi mtu akuchukulie RB halafu akwambie? Ili utoroke? Hajaenda hata hospitali anatakuwa kaishia pharmacy tu.
 
Habari za weekend wana MMU.
mwenzenu Leo yamenikuta makubwa.

Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na akaomba niende kwake(Ghetto) ili tukajadiliane kuhusu business tunayotaka kuianzisha kama Partnership business.

Basi kwa vile niliona ni idea nzuri sana na tukifanikiwa tutatoka kimaisha, nikaona ni vyema niende tukajadili.
Basi Leo kufika pale Ghetto kukaa kidogo tu(hata soda aliyoninunulia sijamaliza kuinywa) heee!...jamaa akaanza kunishika kimahaba.

Business issues ikageuka kuwa Sex issues. Si akaanza oh unajua tangu siku nyingi nakupenda sana na nashukuru sana Leo umekuja kwangu... Nikamwambia wewe ni rafiki yangu wa siku nyingi na hatujawahi kukubaliana chochote kuhusu mapenzi, sasa inakuwa Leo unajiamulia mwenyewe?.

Jamaa akawa hanielewi anazidi tu kunishika kimahaba mara akanibeba juujuu nlipokuwa nimekaa kwenye sofa akawa ananipeleka chumbani kwake.Ghetto lake ukitoka sebuleni unakuja jikoni then ndo chumbani, Asante Mungu pale jikoni nlifanikiwa kushika mwiko wa ugali nikampiga nao akaniachia,nikamrudishia tena kwenye paji la uso(safari hii hadi mwiko ulivunjika) .nikafanikiwa kukimbia nje nikasepa zangu.

Sasa now kaniwhatsapp kwamba ameshonwa nyuzi nne usoni na amenichukulia RB ya kunikamata na anajidai kisa ana ndugu yake ana cheo kikubwa tu mahakamani so anasema atanikomesha Na kama la basi lazima nipate kichapo toka kwake.

Hv jamani wanaMMU hapa nani anayestahili kumkamata mwenzake?.na akinikamata nikasema alikuwa ananibaka si nitakuwa sahihi?. Ushauri wako tafadhali,Nisolve vipi hii issue.ASaNTE.

hapo kuna kesi ya shambulio la kudhuru mwili......... Vp ww una evidence yoyote inayoonyesha kuwa alitaka kukubaka?? Lakin usiogope kesi ndogo sana hyo wala haiendi popote
 
Hana lolote huyo si RB wala kukupiga,anakutisha tu utetereke ukamuombe radhi amalize shughuli.
Angekuwa na RB ungeshakamatwa maana anajua pa kukupata na kama ni wa kukupiga angekupiga hapo ulipomtia makonzi ya mwiko!
Relax. Ila hili liwe funzo kwako,mwanaume si wa kumuamini hata kama ni nduguyo!!!!
kweli.mwanaume si wa kumwamini! Asante sana ndugu kwa ushauri
 
Kumbe uko huko muda wote me nakutafuta hiyo kesi imefunguliwa hapa kituoni na me ndio ninaeifuatilia..
 
hapo kuna kesi ya shambulio la kudhuru mwili......... Vp ww una evidence yoyote inayoonyesha kuwa alitaka kukubaka?? Lakin usiogope kesi ndogo sana hyo wala haiendi popote

niko na mesages zake whatsapp alizonitumia kusisitiza lengo la kukutana kwetu kwamba ni for business issues and not otherwise. kama tutafikishana mahakamani hope hizi mesage zake zitanisaidia
 
Sista duu usibane sana lete zali kwa mentali!!

Unajua kilichomkuta Lulu wa kanumba?

Umempga angekufa mtoto wa mwanamke mwenzio ungeweza kwenda kuishi Segerea??

Ungempga na bikini au ungevua sidiria na kumchapa nayo!!!

na yeye alitaka kuniua kwa ukimwi maana huwezi jua kama ni muathirika je?
 
Nawe dada si ungempa tu hata kamoja,
sio vizuri ulivyomfanyia!
Kwani ungempa hata kidogo then ukamwambia asimwambie mtu.,

hii mambo inaenda kwa feelings mkuu.Mimi kama sikufeel kimapenzi mgegedo hupati, labda mtu anibake labda.
 
mfumo wa maisha baina yenu ndio uliompa ujasiri huyo jamaa. Huo urafiki wenu ulifikia hatua ambayo ilimfanya jamaa ahisi umeishaelekea kibra hivyo kilichoaki ni mgegedo tu! Siku nyingine kama huna feelings zozote na mwanaume fulani usiruhusu mahusiano yenu yafikie hatua hiyo.

exactly mkuu,maana kiukweli huwa tuko close,tunasaidiana na kushauriana pia,so nahisi jamaa alijua akibonyeza tu kitu kinatiki,kumbe mwenzake siko huko.
 
Back
Top Bottom