Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,026
- 1,622
Mery James Numbi, ameshtakiwa kwa kosa la kuomba na kupokea Rushwa kinyume na Kifungu cha 15(2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (cap 329 Re 2022)
Mshtakiwa akiwa Mtendaji wa Kijiji cha Lupembe Wilayani Njombe aliomba na kupokea rushwa ya Tsh. 200,000 kutoka kwa Irine Justine ili asimchukulie hatua za Kisheria kwa Mtoto wake kutopelekwa shule
Mshtakiwa alikana makosa yote na kupewa dhamana. Shauri hilo limepangwa kusikilizwa tena Aprili 17, 2024
Chanzo: TAKUKURU
Mshtakiwa akiwa Mtendaji wa Kijiji cha Lupembe Wilayani Njombe aliomba na kupokea rushwa ya Tsh. 200,000 kutoka kwa Irine Justine ili asimchukulie hatua za Kisheria kwa Mtoto wake kutopelekwa shule
Mshtakiwa alikana makosa yote na kupewa dhamana. Shauri hilo limepangwa kusikilizwa tena Aprili 17, 2024
Chanzo: TAKUKURU