Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,768
- 2,156
Nauliza eti hizi njia za uzazi wa mpango kuna baadhi ya wanawake zinawaathiri wasiwe na hamu ya kufanya mapenzi au anatumia sababu hiyo kuninyima mbususu
Calendar method ni njia salama!Wanaofahamu njia salama ili kuokoka ndoa waweke hapa ..
Nadhani nyie waswahili na wanawake wa zama hizi mna akili ndogo Sana .Njia za mpango wa uzazi nyingi zinapoteza hisia za kufanya tendo...
Wanaofahamu njia salama ili kuokoka ndoa waweke hapa ..
Hizi njia zinesababisha wanaume kuchepuka
Leo nilitaka niende Tandika pale nikaopoe mmoja maana siyo kwa upwiru huuNjia za mpango wa uzazi nyingi zinapoteza hisia za kufanya tendo...
Wanaofahamu njia salama ili kuokoka ndoa waweke hapa ..
Hizi njia zinesababisha wanaume kuchepuka
Poor youLeo nilitaka niende Tandika pale nikaopoe mmoja maana siyo kwa upwiru huu
Njia ya kuhesabu kalenda is the bestNjia za mpango wa uzazi nyingi zinapoteza hisia za kufanya tendo...
Wanaofahamu njia salama ili kuokoka ndoa waweke hapa ..
Hizi njia zinesababisha wanaume kuchepuka
Sasa enzi za bibi ako unakuta bibi na chumba chake babu ana chake (uliza watu wazima) na wapo wote make hapo miti ya manati.Nadhani nyie waswahili na wanawake wa zama hizi mna akili ndogo Sana .
Huwa najiuliza Mimi bibi yangu Ana miaka 74 na Ana watoto 09 Ila watoto wake wote wamepishana miaka miwili miwili.
Na hao bibi zetu hawana Elimu kubwa sana Ila waliwezaje Ku -control uzazi wa mpango vizuri na nyie mshindwe.
Huwa nashangaa Sana na kumuona Mwanamke na Mme wake kama wajinga kushindwa kuwa na uzazi wa mpango mpaka wameze madawa na kuweka njiti plus sindano.
Calendar 🙄 siku ya hatari ndo unakua na upwiru kama kama vile ubakeCalendar method ni njia salama!
Mke wangu mambo?? I love you sweetheart.Sasa enzi za bibi ako unakuta bibi na chumba chake babu ana chake (uliza watu wazima) na wapo wote make hapo miti ya manati.
Wa sasa asubuhi mchana jioni imo....tutafananaje sasa
Ni kweli na ndio lengo la watu walioleta hizi dawa ûaweza ukahsi labda mke ana mchepuko lakini wapi hzi dawa hazifai mkuu ni hatari kwa afyaNauliza eti hizi njia za uzazi wa mpango kuna baadhi ya wanawake zinawaathiri wasiwe na hamu ya kufanya mapenzi au anatumia sababu hiyo kuninyima mbususu
Hatari bro 😁Calendar 🙄 siku ya hatari ndo unakua na upwiru kama kama vile ubake
Sawa endeleeni kumeza P2 kuweka njiti na kupigwa sindano kwakuwa ndo zama zenu mnakuwa Kama Kuku wa broila .Sasa enzi za bibi ako unakuta bibi na chumba chake babu ana chake (uliza watu wazima) na wapo wote make hapo miti ya manati.
Wa sasa asubuhi mchana jioni imo....tutafananaje sasa
Bro tena kwamba ni men huyoHatari bro 😁
Mengine yakupitage dada!Bro tena kwamba ni men huyo
TuacheSawa endeleeni kumeza P2 kuweka njiti na kupigwa sindano kwakuwa ndo zama zenu mnakuwa Kama Kuku wa broila .
Calendar 🙄 siku ya hatari ndo unakua na upwiru kama kama vile ubake
Sawa Ila msilalamike sasa na kusingizia hamtaki mjegejeTuache
Mi si dada ndugu yanguMengine yakupitage dada!