Njia za kupunguza hasira

Njia za kupunguza hasira

Fanya breathing meditation vuta pumzi kubwa tatu then relax ukiobserve pumzi yako
 
..namba mbili naitumia, nikikosana na mama watoto najiweka pembeni kidogo hasira zipungue..
 
1.kunywa maji mengi walau lita3
2.kaa mbali naaliye kuuzi walau mita 300
3.kula chakula unachokipenda
4.imba nyimbo za upendo
5.kunywa juice ya PILI na limao walau glass 3

mfano, MAREKANI ina hasira sana na IRAN juu ya suala la nyuklia na matumizi ya mabavu kwa raia wake,

je, unashauri nini hapo?
 
Dingi alimuuliza mwanawe. "hiv we mtoto, ninapokupigaga hasira zako unazimalizia wapi? Dogo akajibu: CHOONI. Dingi akauliza tn. Sasa chooni unamalizia vipi hasira zako? Dogo akajibu: KWA HASIRA HUWA NASAFISHA TUNDU LA CHOO KWA KUTUMIA MSWAKI WAKO".
 
Dingi alimuuliza mwanawe. "hiv we mtoto, ninapokupigaga hasira zako unazimalizia wapi? Dogo akajibu: CHOONI. Dingi akauliza tn. Sasa chooni unamalizia vipi hasira zako? Dogo akajibu: KWA HASIRA HUWA NASAFISHA TUNDU LA CHOO KWA KUTUMIA MSWAKI WAKO".

Ha ha ha mbavu zangu...
Dingi hakumpa kichapo
 
samahani huu ni utani au....? Excel hebu nisaidie...
 
Last edited by a moderator:
imagine umeingia ofisi fulani, umeenda mapokezi ili kupata info flani, ila huyo ambaye yuko hapo hakusaidii kabisa kibaya zaidi lugha yake inakera, mnazungumza wawili ila anapayuka kila mtu anasikia. MUNGU ananisaidia tu na hawa watu wa aina hii, natamani kuwazinguaga ila nashukuru nimeacha siku hizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom