Njia za kumsahau mpenzi tuliachana

Njia za kumsahau mpenzi tuliachana

Mimi92

Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
36
Reaction score
11
Jaman wana jf nisaidieni how can i move on na kusahau mtu niliempenda akaishia kunitenda na kuniumiza
 
Jipe muda mkuu.. Utamsahau tu!!
 
Ni ngumu sana.Hata ukapata mwingine akakupenda zaidi yake bado kivuli chake utakuwa unakiona tu.
 
Mmmnh itakuchukua muda san kama utajiindekeza so be strong na ufanye mambo yako yatakayokuletea maendeleo
 
Jieke busy sana either wt studies ama work, avoid kukaa peke yako hii itapelekea kua mpweke, muhimu zaidi tegemea muda, time heels all wounds, pole sana
 
kwani bado unakumbuka utamu wa maziwa ya mama yako?
 
usiku huu mmekosana? subiri asubuhi mtapatana acha papara
 
Jiweke busy,then ukihisi kama unataka kumkumbuka vile jipe shughuli ya kufanya,pia usipende kukaa pekeyako muda mwingi..Polee.
 
Nnachokijua mim ni kwamba real love never die!! kuwa na subira kwa kuendesha maendeleo yako binafsi na mwisho wa siku kitaeleweka alafu burudani ya muziki sana tu! kama gospal au zingnezo
 
wengi wetu tunaamini huwezi kumsahau mtu ulieachana nae nae ila unaweza kabisa ni kujiendekeza tu,futa contact yake hata kama unaikumbuka kwa kichwa mak sure humtafuti kama alikuwa friend wako fb au popote muunfriend kama utaona hiiyo ni uamuzi mgumu basi hide activity zake anachokifanya yeye huoni,jiweke busy na kitu unachokifanya amini ulimpenda na situationa imewaforce mtengane so hamuwezi kuwa tena pamoja you gotta move on!!! hata kama ulimpenda vipi ipo siku utakuja kumsahau na kuishi happpy life kama wenzako,
 
Back
Top Bottom