Teknolojia rahisi inayoweza kupatikana na Watanzania wote inapatikana. Tukiitumia, tutaachana na MGAO WA UMEME kwa kuwa tutamiliki miundombinu yetu ya kuzalisha umeme. Kuwa watu wanaojitegemea kwa suala la nishati si lazima tuingoje Serikali au TANESCO, kwani wao wameshindwa. Kwa anayetaka kujiunga kwenye Operesheni Fukuza TANESCO, awasiliane nami kupitia namba ya simu 0786-019019. UKISHANG'OA service line ya TANESCO, huna haja tena ya kuuliza, MGAO ni saa ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.