BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Best angalia post number 82 on this page kisha uende huko. Haya mambo ya kuingiza vitu mwilini bila kujua athari zake hayahusu kitu. Unaweza kubaki unajuta kwa kipindi kirefu katika maisha yako.
ofcoz itakuwa spermicide manake ni kemikali. lakini sidhani kama ni sahihi manake hiyo ph ya ukeni inajitosheleza na kuingiza vitu vingine hukawii kuharibu utamu.
mie huwa siafiki vitu visivyofanyiwa tafiti. kama anataka spermicide zinauzwa phamacy nadhani kwa jina hilo hilo