Payer
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 824
- 188
mwe! ni bora muwaone wataalamu kwa ushauri wa kitaalamu zaidi, ila kwa upande wangu sikushauri maana hapo hatujui side effect ya hayo majivu, mtakuta mwishowe mnatoboa vizazi bure, na kwanini muwaze majivu na wakati kuna njia nyingi tu salama.
Hata hii ni salama sana. Ndio maana wazee wetu wameishi umri mrefu zaidi