finance2014
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 314
- 79
HIVI KWA NINI MLIKIMBIA BIOLOGY????
MASWALA YA KUANGAIKA MAJIVU AMBAYO PRACTICALLY YANAENDA KUREACT NA KIZAZI MAANA NDO ENEO LA TUKIO(according to mleta mada) USIJARIBU JARIBU MADUDE KWENYE KIZAZI EBOOO
tumia KALENDA UELEWE MWILI WAKO KWANZA THEN USE KALENDA LAKINI ujaolewa bado unaanza kuangaika nani kakwambia natural way ni majivu??? natural way ni kalenda tu
HUJAOLEWA DONT DO IT OR USE CONDOM
UKIOLEWA USE KALENDA
Wengine breed zetu haziko stable sasa ukitushauri kutumia kalenda tutazaa kila mwaka