Rdj Shibo
Member
- Jan 5, 2018
- 71
- 40
Ndugu zangu wengi tunapenda kufanya manunuzi ya vitu mtandaoni mfano Alibaba na Kikuu ila je tunapataje vitu
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu.
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane
1:Njia gani salama za kutumia kuletewat mzigo
2:je anuani gani au utambulisho gani natuma ili mzigo ufike kwenye eneo husika
3:je gharama gani nitatoa au kulipia nitakapo pokea mzigo
4:je usalama wa hizo njia mfano posta je endapo mzigo wangu ukaibiwa
5:muda gani uchukua hadi nipate mzigo wangu.
6:je posta zetu zinapokea mzigo toka nje na je kuna ufanisi kweli wa usalama na ni mizogo gani,kiwango au uzito
Karibuni tusaidiane