Wanawake katika harakati zao za kuchuna na kuhongwa wanatumia njia nyingi japo wapo wengine ambao huomba hela moja kwa moja ila wengine hutumia lugha ya picha mfano
1.Nimemuona rafiki yangu amevaa nguo nzuri imempendeza hapo anataka umpe hela na yeye akanunue.
2.Baby nimeibiwa/nimepoteza pesa hata sijui mwezi huu nitaishije.
3.Nikopeshe kama laki 3 nitakurudishia mwisho wa mwezi hapo ujue umeliwa kama utatoa.
4.Nimekopa nguo/viatu/pesa nimeshindwa kulipa hapo anataka umpe akalipe.
5.Kodi ya chumba inaisha mwezi ujao mimi mwenyewe sina pesa sijui nitatoa wapi nilipe, hapo anataka utoe hela ulipie chumba/nyumba.
Je wewe mwanaume ni njia anatumia kukupiga mizinga na wanawake mnatumie njia/mbinu zipi kutupiga mizinga.
cc lara1
1.Nimemuona rafiki yangu amevaa nguo nzuri imempendeza hapo anataka umpe hela na yeye akanunue.
2.Baby nimeibiwa/nimepoteza pesa hata sijui mwezi huu nitaishije.
3.Nikopeshe kama laki 3 nitakurudishia mwisho wa mwezi hapo ujue umeliwa kama utatoa.
4.Nimekopa nguo/viatu/pesa nimeshindwa kulipa hapo anataka umpe akalipe.
5.Kodi ya chumba inaisha mwezi ujao mimi mwenyewe sina pesa sijui nitatoa wapi nilipe, hapo anataka utoe hela ulipie chumba/nyumba.
Je wewe mwanaume ni njia anatumia kukupiga mizinga na wanawake mnatumie njia/mbinu zipi kutupiga mizinga.
cc lara1
Last edited by a moderator: