Njia wazitumia wanawake kutupiga mizinga.

Njia wazitumia wanawake kutupiga mizinga.

Inashangaza sana.

Hata mtaani tu, mtu akuuguliwa mnaweza kumpa pole ya hela, akifiwa rambi rambi. Sasa kwenye mapenzi ya kileo haadi rambirambi ni hongo?

wakiendelea na tabia zao hizi, wataishia kuangalia wenzao tu wanavyoenjoy malavidav.
 
Matatizo wana wake tu? Mbona wanaume hatusem? Hata kama mwana mke matunzo. Nenda kwa vigogo a.k.a vikun uka pate matunzo na ngwengwe upendeze nayo mtaani.
 
Nishawahi ambiwa baby yani mwenzio hata cjielewi 2likuwa 2na type kazi ambayo twatakiwa kui submitt kesho na Marry kwenye laptop ya best ye2 m1 hivi anaitwa Anna sasa c bahati mbaya Marry c akaingusha yani screen yote imevunjika nyan'ganyan'gaaaaa...mwenyewe ataka tumlipe laki4...sasa yabidi 2lipe mie na Marry, nimemuomba mama ameni2mia laki naomba uniazime laki nitakurudishia nikipata plz my lov naomba uniokoe...lov u u u u
Nimeipenda.. ... I love you too...., unamalizia
 
Back
Top Bottom