The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
Hata kama ana salio usijiachie..jitegemeeNdio mana mm nachukuwa mabint wenye salio
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hata kama ana salio usijiachie..jitegemeeNdio mana mm nachukuwa mabint wenye salio
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Inashangaza sana.
Hata mtaani tu, mtu akuuguliwa mnaweza kumpa pole ya hela, akifiwa rambi rambi. Sasa kwenye mapenzi ya kileo haadi rambirambi ni hongo?
Nimeipenda.. ... I love you too...., unamaliziaNishawahi ambiwa baby yani mwenzio hata cjielewi 2likuwa 2na type kazi ambayo twatakiwa kui submitt kesho na Marry kwenye laptop ya best ye2 m1 hivi anaitwa Anna sasa c bahati mbaya Marry c akaingusha yani screen yote imevunjika nyan'ganyan'gaaaaa...mwenyewe ataka tumlipe laki4...sasa yabidi 2lipe mie na Marry, nimemuomba mama ameni2mia laki naomba uniazime laki nitakurudishia nikipata plz my lov naomba uniokoe...lov u u u u
Date independent women