Njia salama za kununua kiwanja kuepuka kuuziwa mbuzi kwenye gunia

Mtu Poa 2013

Member
Mar 26, 2013
86
45
habari zenu

Leo nimeona niongelee suala linalowagusa vijana wengi wanaoanza maisha na kujipanga ili waweze kuwa na makazi yao binafsi ya kwanza. Vijana wengi wamekuwa wakitapeliwa hasa Dar wakiuziwa viwanja ambavyo wameshauziwa watu wengine, na matokeo yakw kijana huyu akishajenga nyumba yake anakuja kusumbuliwa na watu wengine walioshauziwa eneo lile. Nimekuwa nikifikiria ipi ni njia salama ya kununua viwanja kwa usalama ili kuepuka matatizo kama hayo hapo juu. Unaweza nunua kiwanja kutoka kwa mtu kwa bei ya chini lakini hakina hati anakwambia ukakipime wewe mwenyewe. Hii faida yake ni kuwa unapata kiwanja cheap sema unaweza kuta ashauziwa mtu mwingine. Option ya pili ni kununua kutoka viwanja vilivyopimwa na serikali ambavyo kwa hapa kibaha ni sh. 6000 kwa mita ya mraba ambayo kwa sisi vijana tunaobangaiza ni expensive.

Kwa watu walioshapitia ishu za kununua viwanja, mnatushaur vipi sisi vijana wenzenu ambao hatuna hela nyingi ila hatutaki kutapeliwa na kuingia kwenye matatizo yasiyo ya lazima?

Asanteni
 
Mimi binafsi naamini kutapeliwa ni jambo unalolipanga mwenyewe. Hivi kweli umehangaika miaka mingi kutafuta pesa halafu leo mtu tu from no where anakutapeli?!.

Viwanja vilivyopimwa kwa Dar kwa mfano ni aghali sana na watu wanataka rahisi. Hii kazi ya kuuza viwanja kwa Dar ina changamoto sana na si rahisi kihivyo. Mimi ninakutana na mteja anataka kiwanja cha milioni tano halafu maeneo anayokutajia anataka huwezi kupata hata cha milioni 15, ukimtajia wapi atapata hicho cha milioni 5 anaona unamdanganya. Kuna maeneo hapa kiwanja tu si chini ya milioni 100. Kama wasemavyo watu siku zote vizuri ni gharama.

Ni kweli utasisitiza kiwanja kiwe na hati lakini watakaomudu bei yake ni wachache sana na kwa mazingira ya sasa huwezi kwani sehemu kubwa ya ardhi haijapimwa. Kuna ofisi za ardhi ngazi ya kijiji/mtaa hadi wizara ya ardhi hapa hapa, ni rahisi kwa mkazi wa Dar kufuatilia mwenyewe binafsi kimya kimya na kufanikiwa kutambua iwapo kiwanja kina mgogoro au la, huwezi kutoka mwanza leo kwa kutumia tangazo la jf moja kwa moja unaenda kununua kiwanja Dar! utatapeliwa tu, chukuwa muda na peleleza vya kutosha kabla.

Nadhani wengine waendelee kuchangia hatua za kufuatwa iwapo utaamua kununua chenye hati au kisicho na hati kwa manufaa ya sisi sote.
 
Mimi nimenunua viwanja vingi sana lakini kwa bahati nzuri sijawahi kutapeliwa japo nilishakutana na viwanja feki lakini nashtuka sasa basi mie utaratibu wangu wakununua viwanja ambavyo havijapimwa ni kama ufuatao:

1.Naenda kuangalia kiwanja chenyewe kama nitarizika napo

2.Naangalia kama kuna barabara ambayo iko well defined

3.Naagana na dalali namwambia anipe siku kama tatu hivi nipate pesa

4.Narudi baadae kivywanguvyangu naenda kuonana na majirani wote wa pande nne wanihakikishie kuwa kiwanja kiko ok na hakina tatizo na pia kama ni kweli ni cha huyo anayeniuzia.

5.Naenda kuonana na Mjumbe wa eneo hilo anihakikishie kuwa kiwanja hakina matatizo.

6.Naenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa nae napiga nae story kuhusu hilo eneo lazima ntapata data

7.Baada ya hayo naenda ardhi nachukua yule jamaa wa GPRS namlipa hela kidogo hardly 50,000/= anakuja na chombo chake anapima pembe zote nne za kiwanja anarudi ardhi anacheck kwenye master plan ananiambia kama hiyo sehemu imekua planned kama makazi au sehemu za public kama kanisa barabara n.k

8.Kama iko poa naenda serikali za mtaaa tunaandikishana na mashahidi wanakula 10% yao nimemaliza biashara.

Na kwa kutumia njia hii nimeweza kununua viwanja zaidi ya 10 bila matatizo yoyote matatizo yanayotokeaga ni madogomadogo tu kama jirani kamega kwako kidogo ambayo hayaninyimi usingizi.
 
Mimi nimenunua viwanja vingi sana lakini kwa bahati nzuri sijawahi kutapeliwa japo nilishakutana na viwanja feki lakini nashtuka sasa basi mie utaratibu wangu wakununua viwanja ambavyo havijapimwa ni kama ufuatao:

1.Naenda kuangalia kiwanja chenyewe kama nitarizika napo

2.Naangalia kama kuna barabara ambayo iko well defined

3.Naagana na dalali namwambia anipe siku kama tatu hivi nipate pesa

4.Narudi baadae kivywanguvyangu naenda kuonana na majirani wote wa pande nne wanihakikishie kuwa kiwanja kiko ok na hakina tatizo na pia kama ni kweli ni cha huyo anayeniuzia.

5.Naenda kuonana na Mjumbe wa eneo hilo anihakikishie kuwa kiwanja hakina matatizo.

6.Naenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa nae napiga nae story kuhusu hilo eneo lazima ntapata data

7.Baada ya hayo naenda ardhi nachukua yule jamaa wa GPRS namlipa hela kidogo hardly 50,000/= anakuja na chombo chake anapima pembe zote nne za kiwanja anarudi ardhi anacheck kwenye master plan ananiambia kama hiyo sehemu imekua planned kama makazi au sehemu za public kama kanisa barabara n.k

8.Kama iko poa naenda serikali za mtaaa tunaandikishana na mashahidi wanakula 10% yao nimemaliza biashara.

Na kwa kutumia njia hii nimeweza kununua viwanja zaidi ya 10 bila matatizo yoyote matatizo yanayotokeaga ni madogomadogo tu kama jirani kamega kwako kidogo ambayo hayaninyimi usingizi.

Mkuu [/MENTION]Ureni[/MENTION] nakushukuru sana kwa maelezo yako ya kina kuhusu ununuzi wa viwanja na kwamba una uzoefu katika biashara hii kwa sasa. Binafsi ninataka kununua kiwanja lakini kwa sasa niko nje ya nchi na nina rafiki yangu yuko Dar es Salaam ananiambia kwmba eneo la Kigamboni kuna viwanja na ekari moja inauzwa kati ya Mil. 6-7 na nusu inauzwa Mil. 3-5. Ananiambia bei ni maelewano.

Siku kadhaa zilizopita nilimuunganisha na mdogo wangu waende katika eneo hilo la viwanja na akanihakikishia ardhi haina mgogoro wowote na iko sawa kwa manunuzi. Hata hivyo roho yangu imekuwa nzito sana katiika kufikia maamuzi.

Unaweza kunishauri jambo katika hili hasa ikizingatiwa sipo nchini na ninataka kumtumia rafiki yangu huyo kwa manunuzi. Tupanuane mawazo mkuu
 
Mkuu Ureni nakushukuru sana kwa maelezo yako ya kina kuhusu ununuzi wa viwanja na kwamba una uzoefu katika biashara hii kwa sasa. Binafsi ninataka kununua kiwanja lakini kwa sasa niko nje ya nchi na nina rafiki yangu yuko Dar es Salaam ananiambia kwmba eneo la Kigamboni kuna viwanja na ekari moja inauzwa kati ya Mil. 6-7 na nusu inauzwa Mil. 3-5. Ananiambia bei ni maelewano.

Siku kadhaa zilizopita nilimuunganisha na mdogo wangu waende katika eneo hilo la viwanja na akanihakikishia ardhi haina mgogoro wowote na iko sawa kwa manunuzi. Hata hivyo roho yangu imekuwa nzito sana katiika kufikia maamuzi.

Unaweza kunishauri jambo katika hili hasa ikizingatiwa sipo nchini na ninataka kumtumia rafiki yangu huyo kwa manunuzi. Tupanuane mawazo mkuu
Mkuu,
Kigamboni ipi hasa?
 
Mimi nimenunua viwanja vingi sana lakini kwa bahati nzuri sijawahi kutapeliwa japo nilishakutana na viwanja feki lakini nashtuka sasa basi mie utaratibu wangu wakununua viwanja ambavyo havijapimwa ni kama ufuatao:

1.Naenda kuangalia kiwanja chenyewe kama nitarizika napo

2.Naangalia kama kuna barabara ambayo iko well defined

3.Naagana na dalali namwambia anipe siku kama tatu hivi nipate pesa

4.Narudi baadae kivywanguvyangu naenda kuonana na majirani wote wa pande nne wanihakikishie kuwa kiwanja kiko ok na hakina tatizo na pia kama ni kweli ni cha huyo anayeniuzia.

5.Naenda kuonana na Mjumbe wa eneo hilo anihakikishie kuwa kiwanja hakina matatizo.

6.Naenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa nae napiga nae story kuhusu hilo eneo lazima ntapata data

7.Baada ya hayo naenda ardhi nachukua yule jamaa wa GPRS namlipa hela kidogo hardly 50,000/= anakuja na chombo chake anapima pembe zote nne za kiwanja anarudi ardhi anacheck kwenye master plan ananiambia kama hiyo sehemu imekua planned kama makazi au sehemu za public kama kanisa barabara n.k

8.Kama iko poa naenda serikali za mtaaa tunaandikishana na mashahidi wanakula 10% yao nimemaliza biashara.

Na kwa kutumia njia hii nimeweza kununua viwanja zaidi ya 10 bila matatizo yoyote matatizo yanayotokeaga ni madogomadogo tu kama jirani kamega kwako kidogo ambayo hayaninyimi usingizi.


umenena kaka, mim pia hua sinunui kiwanja on the spot hua nafuata kanuni hizhizi, hadi sasa kuna mwenye kiwanja ananisumbua kumbe hajui mim niko kwenye intelejensia ya kiwanja chake. well said mkuu pamoja sana
 
Mkuu Ureni nakushukuru sana kwa maelezo yako ya kina kuhusu ununuzi wa viwanja na kwamba una uzoefu katika biashara hii kwa sasa. Binafsi ninataka kununua kiwanja lakini kwa sasa niko nje ya nchi na nina rafiki yangu yuko Dar es Salaam ananiambia kwmba eneo la Kigamboni kuna viwanja na ekari moja inauzwa kati ya Mil. 6-7 na nusu inauzwa Mil. 3-5. Ananiambia bei ni maelewano.

Siku kadhaa zilizopita nilimuunganisha na mdogo wangu waende katika eneo hilo la viwanja na akanihakikishia ardhi haina mgogoro wowote na iko sawa kwa manunuzi. Hata hivyo roho yangu imekuwa nzito sana katiika kufikia maamuzi.

Unaweza kunishauri jambo katika hili hasa ikizingatiwa sipo nchini na ninataka kumtumia rafiki yangu huyo kwa manunuzi. Tupanuane mawazo mkuu

Kigamboni achana nayo imeshanunuliwa na bushi inajengwa kule newcity na wenyeji wa kule wameshapigwa stop order ya kudevelop yale maeneo uatatapeliwa vibaya sana
 
habari zenu

Leo nimeona niongelee suala linalowagusa vijana wengi wanaoanza maisha na kujipanga ili waweze kuwa na makazi yao binafsi ya kwanza. Vijana wengi wamekuwa wakitapeliwa hasa Dar wakiuziwa viwanja ambavyo wameshauziwa watu wengine, na matokeo yakw kijana huyu akishajenga nyumba yake anakuja kusumbuliwa na watu wengine walioshauziwa eneo lile. Nimekuwa nikifikiria ipi ni njia salama ya kununua viwanja kwa usalama ili kuepuka matatizo kama hayo hapo juu. Unaweza nunua kiwanja kutoka kwa mtu kwa bei ya chini lakini hakina hati anakwambia ukakipime wewe mwenyewe. Hii faida yake ni kuwa unapata kiwanja cheap sema unaweza kuta ashauziwa mtu mwingine. Option ya pili ni kununua kutoka viwanja vilivyopimwa na serikali ambavyo kwa hapa kibaha ni sh. 6000 kwa mita ya mraba ambayo kwa sisi vijana tunaobangaiza ni expensive.

Kwa watu walioshapitia ishu za kununua viwanja, mnatushaur vipi sisi vijana wenzenu ambao hatuna hela nyingi ila hatutaki kutapeliwa na kuingia kwenye matatizo yasiyo ya lazima?

Asanteni

Kweli utapeli Uko Mkubwa kwenye hili la Viwanja, vitu vya muhimu kufanya wakati unanunua kiwanja ni kama ifuatavyo:

1) Ukishapelekwa kwenye eneo husika na kiwanja ukakiona inakupasha utafute GPS na kuchukua coordinates za eneo husika, kisha unaenda nazo pale wizarani ili kuangalia masterplan inasemaje, kama eneo limepangwa kuwa residencial na hata kama bado alijapimwa kukatwa viwanja, unaweza kununua hilo eneo na unaweza kulipima mwenyewe, lakini kama Hakuna Master plan, hauwezi kupimiwa hilo eneo kabisa, hivyo unaweza kujenga bila kuwa na Hati

2) Ukishapata status ya eneo na kama uko tayari kulinunu, plz usione ubahili wa kuishirikisha serikali ya Mitaa, Majirani, Mjumbe na ikiwezekana unaweza kulipia Laywer ili awe msimamizi wa hayo mauziano, kama kulikuwa na Lengo la kutapeliwa na ukizungumza habari ya kumshirikisha mwanasheria utaona kila mtu anakula Kona,

3) Fanya uchunguzi binafsi kama hao majirani unaoonyeshwa na huyo mjumbe unaeonyeshwa ni wa kweli ama wa kiutapeli tu?

4) Epuka kabisa kufanya mauziano kienyeji, Mihuri ya serikali, simu namba (zilizosajiliwa, picha na hata vitambulisho wa wahusika ni vizuri kuwa navyo kwenye mkataba
 
Mkuu nimeelezwa ni Kigamboni eneo linaloitwa Mwongozo ni kama KM 20 kutoka Kigamboni. Litakiuwa salama kweli? cc ureni

Kigamboni si yote iliyo kwenye mpango mji..Mwongozo..Kibada...Kimbiji..Mwasonga viwanja vipo na bei yake ni ya kawaida sana pia haipo kwenye hiyo plan,kama unaitaji nunua sasa maana mafisadi sasa wamevamia ukienda kimbiji imejengwa nyumba za ajabu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimeelezwa ni Kigamboni eneo linaloitwa Mwongozo ni kama KM 20 kutoka Kigamboni. Litakiuwa salama kweli? cc ureni

Poa ili kujirizisha fuata hizo steps 1-8 utapata ukweli manake utaanzia kwa majirani kuwauliza kama hakuna atakayekueleza utaenda kwa mjumbe kama mjumbe nae kanunuliwa utaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kama na mwenyekiti nae atakua na taarifa zisizo sahihi mwisho wa mchezo ni yule jamaa wa ardhi akupimie kwa kutumia GPRS na kucheck kwenye master plan kama kiwanja hicho kiko kwenye mradi wa new city atakuambia mara moja manake itaonekana kwenye master plan na umwambie akuprintie ramani kabisa.Naamini ukifuata steps zote nilizozieleza hapo juu utafanikiwa kupata kiwanja bila kutapeliwa.
 
Kweli utapeli Uko Mkubwa kwenye hili la Viwanja, vitu vya muhimu kufanya wakati unanunua kiwanja ni kama ifuatavyo:

1) Ukishapelekwa kwenye eneo husika na kiwanja ukakiona inakupasha utafute GPS na kuchukua coordinates za eneo husika, kisha unaenda nazo pale wizarani ili kuangalia masterplan inasemaje, kama eneo limepangwa kuwa residencial na hata kama bado alijapimwa kukatwa viwanja, unaweza kununua hilo eneo na unaweza kulipima mwenyewe, lakini kama Hakuna Master plan, hauwezi kupimiwa hilo eneo kabisa, hivyo unaweza kujenga bila kuwa na Hati

2) Ukishapata status ya eneo na kama uko tayari kulinunu, plz usione ubahili wa kuishirikisha serikali ya Mitaa, Majirani, Mjumbe na ikiwezekana unaweza kulipia Laywer ili awe msimamizi wa hayo mauziano, kama kulikuwa na Lengo la kutapeliwa na ukizungumza habari ya kumshirikisha mwanasheria utaona kila mtu anakula Kona,

3) Fanya uchunguzi binafsi kama hao majirani unaoonyeshwa na huyo mjumbe unaeonyeshwa ni wa kweli ama wa kiutapeli tu?

4) Epuka kabisa kufanya mauziano kienyeji, Mihuri ya serikali, simu namba (zilizosajiliwa, picha na hata vitambulisho wa wahusika ni vizuri kuwa navyo kwenye mkataba

Mkuu, ukipeleka hizo coordinates, hao wahusika wanaweza kukuambia hapafai, afu wao wakamtamfuta mmiliki wakakinunua, afu wakaja wakawapiga watu hela ya maana.
 
Mimi nimenunua viwanja vingi sana lakini kwa bahati nzuri sijawahi kutapeliwa japo nilishakutana na viwanja feki lakini nashtuka sasa basi mie utaratibu wangu wakununua viwanja ambavyo havijapimwa ni kama ufuatao:

1.Naenda kuangalia kiwanja chenyewe kama nitarizika napo

2.Naangalia kama kuna barabara ambayo iko well defined

3.Naagana na dalali namwambia anipe siku kama tatu hivi nipate pesa

4.Narudi baadae kivywanguvyangu naenda kuonana na majirani wote wa pande nne wanihakikishie kuwa kiwanja kiko ok na hakina tatizo na pia kama ni kweli ni cha huyo anayeniuzia.

5.Naenda kuonana na Mjumbe wa eneo hilo anihakikishie kuwa kiwanja hakina matatizo.

6.Naenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa nae napiga nae story kuhusu hilo eneo lazima ntapata data

7.Baada ya hayo naenda ardhi nachukua yule jamaa wa GPRS namlipa hela kidogo hardly 50,000/= anakuja na chombo chake anapima pembe zote nne za kiwanja anarudi ardhi anacheck kwenye master plan ananiambia kama hiyo sehemu imekua planned kama makazi au sehemu za public kama kanisa barabara n.k

8.Kama iko poa naenda serikali za mtaaa tunaandikishana na mashahidi wanakula 10% yao nimemaliza biashara.

Na kwa kutumia njia hii nimeweza kununua viwanja zaidi ya 10 bila matatizo yoyote matatizo yanayotokeaga ni madogomadogo tu kama jirani kamega kwako kidogo ambayo hayaninyimi usingizi.

Yaani mashahidi 10% khaa huu wizi sasa. Yaani ninunue kiwanja kwa say 3 milions, then ushahidi tu sh laki 3!! Nkt
 
...wajumbe wengine nao wanashiriki utapeli mfano maeneo ya Sala-sala-Tegeta
 
Kweli viwanja vimekuwa matatizo,,kuna mzee wangu alinunua kiwanja mwaka 1990,,,lakini cha ajabu akaja mzee mmoja mwaka 2011,,anadai lile lilikuwa eneo lake na anataka alipwe mazao yaliyokuwa pale,,yani minazi,miembe,korosho,,eneo lilikuwa boko basihaya,,kwakwe tuliona kama maajabu,,,mzee alichokifanya nikumtishia atampiga risasi kama atamuona tena pale,,paka leo huyo mzee hajaonekana,,
 
kweli utapeli uko mkubwa kwenye hili la viwanja, vitu vya muhimu kufanya wakati unanunua kiwanja ni kama ifuatavyo:

1) ukishapelekwa kwenye eneo husika na kiwanja ukakiona inakupasha utafute gps na kuchukua coordinates za eneo husika, kisha unaenda nazo pale wizarani ili kuangalia masterplan inasemaje, kama eneo limepangwa kuwa residencial na hata kama bado alijapimwa kukatwa viwanja, unaweza kununua hilo eneo na unaweza kulipima mwenyewe, lakini kama hakuna master plan, hauwezi kupimiwa hilo eneo kabisa, hivyo unaweza kujenga bila kuwa na hati

2) ukishapata status ya eneo na kama uko tayari kulinunu, plz usione ubahili wa kuishirikisha serikali ya mitaa, majirani, mjumbe na ikiwezekana unaweza kulipia laywer ili awe msimamizi wa hayo mauziano, kama kulikuwa na lengo la kutapeliwa na ukizungumza habari ya kumshirikisha mwanasheria utaona kila mtu anakula kona,

3) fanya uchunguzi binafsi kama hao majirani unaoonyeshwa na huyo mjumbe unaeonyeshwa ni wa kweli ama wa kiutapeli tu?

4) epuka kabisa kufanya mauziano kienyeji, mihuri ya serikali, simu namba (zilizosajiliwa, picha na hata vitambulisho wa wahusika ni vizuri kuwa navyo kwenye mkataba

kwakweli umenipa mwongozo wakutosha ,,sita fanya kosa tena.
 
Wadau,,,inakuaje kuhusu viwanja venye migogoro yakifamilia,,mfano viwanja vya urisi,,,unakuta mwanandugu mmoja mjanja mjanja,,anawazunguka wanafamilia na document,,anakuja kuuza.
 
Back
Top Bottom