Njia rahisi za kupunguza msongo wa mawazo katika jamii zetu

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
May 31, 2018
8,638
16,568
Watu wengi sana humu mitaa tunamoishi wamekua wakisumbuliwa na msongongo wa mawazo ila kuna ambao wanaweza kuhandle na ambao hawawezi wanabaki na maumivu mioyoni mwao.

Chanzo cha msongo wa mawazo kinaweza kuwa ni maradhi, matukio ya aibu, kuibiwa, kutapeliwa, kukosa kipato, umaskini, mapenzi, kutotimiza malengo, migogoro ya family, kuwa na wasiwasi kupitiliza n.k

Kuna watu mitaani kwetu unapowaona wanakua na tabasamu kubwa kwenye face zao ila yaliomo ndani ya mioyo yao Mungu pekee ndio anafaham.

Njia rahisi ya kupunguza msongo wa mawazo

- Amini kila kitu ni (qadar) kimepangwa na kitapita
kwa sababu inawezekana ww unapanga Y but imeandikwa upate Z

- Tembelea mahospital hata kama huna mgonjwa utaona una afadhali.

- Ukikuta omba omba kaa chini muulize story yake yaweza kukufariji.

- Usijifungie ndani kakae kijiwe cha kahawa au shoe shine
Sikiliza story za wenzako na walichomokaje kwenye matatizo huenda ulikuwa unajipa stress buree.

- Tembelea NGO's zinazotoa msaada wa afya ya akili itakusaidia.

- Fanya mazoezi, kama kucheza mpira wa miguu, basketball , volleyball, kukimbia au hata kutembea beach

- Kumuona daktari sio lazima kidonda au malaria hata depression nenda wamesoma namna ya kutibu kwa kuongea nawe.

Kingine wakati unapanga maisha usiwe na expectations kubwa sana weka malengo kulingana na umri.

- Amini utaanza kumiliki buku ndio ije milioni.

Usiwaze kuwa kwenye forbes wakati kula matatizo
Na amini hio buku pia inaweza kupotea ukaanza mwanzo.

Ukianza kuamini mapema haitakusumbua

ZINGATIO
Usimueleze kila mtu shida zako coz wengine watakucheka na wanafurahia unavyopata shida na pia wanaweza wakazisema changamoto zako kwa watu wengine

Usijitie mawazo sana haya maisha ni mafupi sana na yakupita so ukipata time ya kufurahi basi furahi ata kama kilichosababisha furaha yako ni kidogo au thamani yake ni ndogo
 
Kujizoeza kwenda kwenye nyumba za ibada as many times as you can nayo ni tiba,tena ni ya kudumu,kuna vitu tunapokuwa na stress huwa vinatuelemea na kuanza kuhisi kuwa hakuna msaada,kwahiyo unapojikabidhi kwa Mungu wako atakubebea hiyo mizigo na kukuweka huru...
 
Mimi ni mhanga wa hilo tatizo, nashindwa kukwamuka kwa kweli. Nafikia muda mpaka naanza kuwaza mambo ya ajabu kabisa
 
Watu wengi sana humu mitaa tunamoishi wamekua wakisumbuliwa na msongongo wa mawazo ila kuna ambao wanaweza kuhandle na ambao hawawezi wanabaki na maumivu mioyoni mwao.

Chanzo cha msongo wa mawazo kinaweza kuwa ni maradhi, matukio ya aibu, kuibiwa, kutapeliwa, kukosa kipato, umaskini, mapenzi, kutotimiza malengo, migogoro ya family, kuwa na wasiwasi kupitiliza n.k

Kuna watu mitaani kwetu unapowaona wanakua na tabasamu kubwa kwenye face zao ila yaliomo ndani ya mioyo yao Mungu pekee ndio anafaham.

Njia rahisi ya kupunguza msongo wa mawazo

- Amini kila kitu ni (qadar) kimepangwa na kitapita
kwa sababu inawezekana ww unapanga Y but imeandikwa upate Z

- Tembelea mahospital hata kama huna mgonjwa utaona una afadhali.

- Ukikuta omba omba kaa chini muulize story yake yaweza kukufariji.

- Usijifungie ndani kakae kijiwe cha kahawa au shoe shine
Sikiliza story za wenzako na walichomokaje kwenye matatizo huenda ulikuwa unajipa stress buree.

- Tembelea NGO's zinazotoa msaada wa afya ya akili itakusaidia.

- Fanya mazoezi, kama kucheza mpira wa miguu, basketball , volleyball, kukimbia au hata kutembea beach

- Kumuona daktari sio lazima kidonda au malaria hata depression nenda wamesoma namna ya kutibu kwa kuongea nawe.

Kingine wakati unapanga maisha usiwe na expectations kubwa sana weka malengo kulingana na umri.

- Amini utaanza kumiliki buku ndio ije milioni.

Usiwaze kuwa kwenye forbes wakati kula matatizo
Na amini hio buku pia inaweza kupotea ukaanza mwanzo.

Ukianza kuamini mapema haitakusumbua

ZINGATIO
Usimueleze kila mtu shida zako coz wengine watakucheka na wanafurahia unavyopata shida na pia wanaweza wakazisema changamoto zako kwa watu wengine

Usijitie mawazo sana haya maisha ni mafupi sana na yakupita so ukipata time ya kufurahi basi furahi ata kama kilichosababisha furaha yako ni kidogo au thamani yake ni ndogo
Umetisha mkuu.
 
Back
Top Bottom