kubeba box maana yake nini?Humu jf zilikua zinashuka thread za kuwaponda wabeba box karibu kila siku....Hahahaaaa! Naona mmekaa sawa sasa,muda ni muamuzi mzuri sana aisee!!
kubeba box maana yake nini?Humu jf zilikua zinashuka thread za kuwaponda wabeba box karibu kila siku....Hahahaaaa! Naona mmekaa sawa sasa,muda ni muamuzi mzuri sana aisee!!
Hahahaaaaaaaaa,,mkuu umeua sanaaa.Popobawa kaingia mjini ni bora kubeba box kuliko kubaki huku..
ndugu yangu naomba niambie nchi ambazo wabongo visa ni free passport ninayo tayali hapa naungaunga nauli tu tena hiyo ya sweeden ndo nzuri maana ndo nchi nazosikia ninzuri kupiga boxTafta nauli tu, na passport
Anzia nchi ambazo sisi Tanzania visa ni free, au visa on arrival
Safi. Niliona kwa mfano kazi ya kujitolea kufanya kazi kwenye hostel miaka miwili sweden, ukipata hii vipi.
So jipange tu nauli hii njia ni tahsi sana
Haya mambo ya kulipia huwa yanakatisha tamaa!!
Usalama wa hayo malipo ukoje!!?Tatizo tunapenda slope sana waTz. Sasa wewe kulipia $26 ni kitu gani ukilinganisha na kulishwa na kulazwa say mwezi mzima ukiwa "mbele"
Huko ndio kujitolea sasa
Haaaa haaaaOyoooo! WA vi-wonder bye bye! I'll be back mkimaliza visasi
shukrani mkuuUbarikiwe pia. Toa feedback badae kuwapa watu moyo
Wadau, ni nchi gani nzuri kwenda kubeba box, huku ukipambana na fursa nyengine kama kusoma.?
brother nimepata shamba hapa magonza siendi tena ulaya nimeamua kulima.
brother nimepata shamba hapa magonza siendi tena ulaya nimeamua kulima.
maisha popote