moah
Member
- Oct 2, 2018
- 58
- 59
Wakuu nipo katika mchakato wa ujenzi wa Nyumba yangu maeneo ya mile moja kibaha lakini Nina shauku ya kujua Sana njia ipi nzuri ya kupunguza gharama ya ufundi Kati ya kumtafuta fundi na kumkabidhi kazi na ukubaliane nae Bei au utafute mafundi uwalipe per day ipi inapunguza gharama wakuu.