SoC01 Njia nyepesi ya kuuondoa umasikini

Stories of Change - 2021 Competition

Mulokozi GG

Member
Jul 14, 2021
34
44
Uwepo wa kila kilichopo semehu kilipo ni matokeo ya muunganiko wa mihimili kadhaa. Hivyo hivyo maisha ya binadamu katika hii dunia yanayo mihimili yake, moja kati ya mhimili wa mhimu katika haya maisha yetu ya leo unaotufanya tuishi tunavyo ishi ni uchumi.

Uchumi katika ulimwengu umekuwa nyenzo mhimu ya kuinua au kuangusha mtu au Taifa lolote. Katika mchakato wa kuinua na kuimalisha uchumi watu na Mataifa mbalimbali hutumia nyenzo tofauti tofauti, moja wapo ni mikopo au madeni.

Mwaka 2020 deni la Tanzania lilikuwa trilion 59 shilingi za kitanzania, serikali ya Tanzania ilitangaza hili kupitia bunge lake (Jamii forums, February 2021). Hizi siyo million au billion ni trillion, je ni nani anaidai Tanzania.!?

Kwa mjibu wa ukrasa wa visualcapitalist ripoti ya IMF iliyotolewa mwezi wa nane 2019 China ilikuwa na deni la trillion 6.8 dola za kimarekani, Uingereza ilikuwa na deni la trillion 2.5 dola za kimarekani, Marekani ilikuwa na deni la trillion 21.5 dola za kimarekani ( baadhi ya vyanzo na waandishi binafusi wanadai deni halisi la Marekani ni zaidi ya trillion 100 dola za kimarekani) na deni la mataifa yote duniani lilikuwa trillion 69.3 dola za kimarekani. Asilimia tisini ya deni lote lilikuwa katika mabara yenye mataifa yaliyo endelea kiuchumi.
Hivyo unaye waza labuda Mataifa yaliyo endelea ndiyo yanaidai Tanzania tu na hayadaiwi tafakari tena!.

Hivi umeisha wahi kujiuliza, nani anayadai haya Mataifa hizi trillion za pesa zinazo ongezekaga kila kukicha.?

Ukifuatilia chanzo na mzunguko wa pesa duniani kwa umakini itakuwa rahisi kuona kuwa taasisi binafusi na za kimataifa kama benki ya dunia(WB), IMF na benki nyingine kubwa duniani ndio waanzilishi na wakopeshaji wakubwa Duniani.

Maswali, je hizi taasisi za kimataifa kama WB na IMF mmiliki wake ni nani, kama serikali za Mataifa karibia yote duniani zinadaiwa?, hivi huyu mkopaji wa serikali za mataifa karibia yote duniani yeye pesa anazitoa wapi.?
Wanao kopwa(serikali) hawawezi kujichukulia wenyewe pesa wanapo zichukua wao(wakopaji) hadi wachukue wao wawakope?, hivi mwisho wa haya madeni ni upi?.

Madhala ya hii mikopo ni makubwa sana kwa binaadamu hasa wale wa kipato cha kati na kipato cha chini. Gharama za maisha hasa zile za mahitaji ya muhimu zinaongezeka kila siku, siyo kwa sababu thamani ya mahitaji hayo inaongezeka bali wenye dhamana ya usimamizi wa mahitaji hayo wanaongeza gharama ili kupata pesa ya kuendeleza mzunguko wa mahitaji husika.

Mfano, Tanzania mwaka 2013 ilikuwa na deni la trilion 27 shilingi za kitanzania(ukurasa wa demokrasia, January 2014). Hapa majukumu ya kila siku ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali yalikuwa yanaendelea kawaida kutokana na kodi za Watanzania.

Kutokana na uhitaji wa miundo mbinu na mazingira yanayo endana na mabadiliko ya dunia(modernity) zilihitajika pesa za ziada ili kutekeleza maboresho hayo. Badala ya serikali inayo endesha shughuli zake kwa jasho la Watanzania, kutengeneza karatasi (pesa) zitakazo tumika kama nyenzo ya kutimiza mahitaji yake ilienda kwenye taasisi inazo zisimamia yenyewe(kama benki) kukopa na matokeo yake deni likaongezeka.

Deni lilivyo ongezeka serikali ilihitaji pesa(kodi) zaidi ili kuendeleza shughuli za kila siku na wakati huo huo ikifanya marejesho ya deni la nyuma na lile ililo liongeza, matokeo yake serikali ikapandisha kodi kwenye baadhi ya vitu kukidhi mahitaji.
Machakato huu unafanywa kwa kujirudia rudia kila linapo tokea hitaji lolote, huku madeni ya nyuma yakiwa yanazidi kuongezeka riba sababu ya malipo yake kutokamilika.

Hivyo mfumuko wa bei, ongezeko la gharama za maisha na umasikini kwa masikini ni suala ambalo halikwepeki ndani ya huu mfumo. Hata iwe serikali gani masikini wataendele kuwa masikini huku wakiongezeka na matajiri watazidi kuwa matajiri huku wakipungua. Sababu daraja/nafasi iliyopo kutoka kwenye umasikini kwenda kwenye utajiri ni kubwa, ndefu na inazidi kurefushwa kila iitwayo leo sababu ya huu mufumo unao tumika.

Unaweza ukajiuliza kama wengine wengi kuwa, je wanauchumi wetu hawaoni kuwa mfumo tunaoutumia sahivi una mapungufu mengi kiasi hiki!?

Jibu la hili swali na mengine mengi ya hivi ni jepesi. Mashuleni (formal education) wanafunzi hawajifunzi kile wanacho kitaka au kile kitakacho wasaidia bali wanafundishwa na kuaminishwa kile kilichopo kwenye shule na kwenye mfumo husika.

Kwahiyo wenye mamlaka zaidi kwenye mfumo wa elimu ndio wanao amua kipi kifundishwe na kifundishwe je?, wengine wote wanaitikia tu.

Sababu lengo kuu la kusoma au kupata elimu(kwa walio wengi) ni kuajiriwa, kupewa mishahara mikubwa n.k. Inakuwa ni vigumu kwa Jamii na wasomi(walio wengi) walio kesha wakikalili kile walicho pewa tu kwa ajiri ya mishahara kwa miaka zaidi ya 16 kubadilisha mtazamo wao na kuanza kusimama kwa ajiri ya masilahi ya wengi na jamii kwa moyo mmoja.

Katika uhalisia inaumiza na inashangaza kuwa njia ya kubadilishana huduma tuliyo nayo sahivi (pesa). Licha ya ukweli kuwa haina thamani yoyote ndani yake(intristic value), watengenezaji wake pia wanaitengeza kutoka hewani. Kwa maneno mengine inawagharimu sufuri(gharama ndogo sana) kutengeneza karatasi wanazo zipa thamani ya mabilioni ya rasilimali halisi za jamii ndani ya akili za watu.

Pia tupo ndani ya mfumo ambao leo hii watu wakiacha kukopa, pesa zote zinapotea ndani ya Taifa husika. Kwa maneno mengine ili karatasi yoyote iliyo chapishwa kama pesa iingie kwenye mzunguko ni lazima akopeshwe mtu hiyo karatasi (karatasi inakuwa na inabaki kuwa karatasi hadi pale tu anapo ikopa mtu). Madeni yote yakilipwa hivyo hivyo pesa inaisha katika mzunguko. Kwahiyo kwa njia yoyote wakopeshaji lazima wawashawishi, wawabembeleze au hata wawalazimishe wakopwaji kwa njia zilizo au zisizo halali madeni yaendelee kuwepo.

Kizazi cha binaadamu sahivi kinatumia nguvu na juhudi kubwa kuutumikia na kuuendeleza mfumo uliopo. Mbaya zaidi hizo nguvu na juhudi zinaishia kuwanufaisha watu wachache kama malipo yenye sura ya riba, kodi au mfumuko wa bei na kuacha wimbi kubwa la binaadamu wakitaabika katika Taifa, Bara na dunia hii yenye kila aina ya rasilimali.

Ni mfumo mwepesi lakini jamii inafichwa ukweli kuhusu mfumo huu katika njia na maneno ambayo siyo rahisi walio wengi kuyaelewa. Watu wanatumikishwa, Mataifa ni vibaraka, umasikini kwa walio wengi na machafuko vinaongezeka kwa manufaa ya wachache.

Njia kubwa maalumu zinazopaswa kutumika kutatua changamoto hii kwa gharama yoyote ni; Moja; kuwaelimisha watu na jamii juu ya mapungufu ya mfumo wa kubadilishiana huduma (monetary system), mbili; kupata viongozi majasiri na makini wanao uelewa huu mfumo na tatu; kutengeneza mfumo utakao wafanya Wanachi kuzifanyia kazi Nchi na serikali zao. Siyo kuzifanyia kazi taasisi binafusi (kufanya kazi, kulipa kodi ili kulipa madeni).

Hapa serikali zidai au idai mamlaka ya kutengeneza pesa zake yenyewe na kusambaza kwenye taasisi zenye mamlaka (kama benki) kulingana na uwezo au mzunguko wa Taifa husika.
Kwa njia hii serikali zitakuwa na uwezo wa kuendesha shughuli zake zenyewe na Wananchi watakuwa wanafanya kazi kwa ajiri ya Mataifa yao na siyo kuwafanyia kazi wakopeshaji wa Mataifa yao.
 
Ni mfumo ulianzishwa kwa makusudi na mataifa ya kibeberu.

Mfumo huu ni dume; wanasiasa, wachumi, wasomi wote wanadanganywa, kujidanganya na pia kudanganyana kulingana na silika zao zao tamaa, uchu wa madaraka, ujasiriamali mifumo na 'ukupe katika mifumo' ya umma...

Mfumo wa 'utumwa wa mikopo' unadumishwa na 'siasa za uchumi' ambazo kisingi ni mbovu; lakini kwa kuwa 'wafanya maamuzi' wengi huwa ni watu wa kawaida, wakitegemea 'kushauriwa' basi 'kuingizana choo cha kike' ni jambo linaloendelea kila uchao...

Pesa ni 'Mwanaharamu'...

Wanatoa mikopo nao ni 'wahuni'; wanajua jambo wanalolifanya, wanajua 'unyonge' wa 'wanaowaendea kunyenyekea' ni wakati upi watafuatwa -- na kimsingi wanajua 'madeni kwa marefu ya vipindi vya muda' hayalipiki... Ila 'kwa ufundi mkubwa' wa hadaa za mikutano na majukwaa ya uchumi na fedha wanaendelea 'kuchezesha mchezo'...

Diplomasia za hadaa zimetamalaki katika dunia yetu leo...

Ikiwa watu wanaweka hatma za maisha yao kwa 'wanasiasa', 'watawala' na 'wataalam'; kudhani ndio wako salama; kuna mawili -- ni mara chache sana wanaweza 'kulamba dume la shupaza'... Karibia mara zote, hawa hubaki na 'magalasa' ya mchezo...

Kuna wakati, mabadiliko huja kimya kimya, huja na mtikisiko wa hapa na pale... Lakini kwa ujumla, ikiwa watu wachache wenye dhamira njema na waliongozwa vema na 'mkono wa kheri' -- hata angali wao ni manahodha wasio na jaala ya kaimaliza safari, chombo kitasonga na wasafiri watavuka salama...

Sasa, tumeingia kwenye 'maendeleo kwa kuchangia'--HARAMBEE... Busara fulani kitumika, tutaenda kuumaliza umaskini. Ndiyo, niajabu kusema uwezekano wa mabadiliko makubwa ya vyombo ya makusanyo na mifuko ya hazina za nchi lakini hili pekee yake halitoshi... Sekta binafsi hapa nchini kwetu bado ni hafifu kirasilimali watu na mizingira ya viwanda. Ili kuleta maendeleo, tutahitaji 'ufikirifu mifumo' na si 'uchambuzi' kwa mzizi wa 'fitina ya mambo'...

Wataalam wetu wa leo kwa sehemu kubwa ni 'wachumia matumbo'; ndivyo kwa nini husemwa kama jambo halijakaa sawa, kuna dalili za makusudio yenye kuharibika, basi 'fuatilia pesa'... Hata kupanga kwa kutegemea 'pesa ya mzungu' ni laana ya kuendekeza 'matumbo' kuliko suluhu za kudumu kwa changamato za jamii zetu.

Lipo hitaji la 'kufungua akili' watu ili wapate kuwa na ufundi na umahiri wa pambanua ukweli wa mambo na si kuwa 'wasubiri matamko'... Vivyo hivyo, kwa kuwawezesha hawa kutambua kuwa mabadiliko ni zao ya 'maua mapya ya tabia na fikara' juu ya mambo. Tabia zinaufundi wake mahsusi wa kuzingatiwa pale jamii inapoelekea kunasibishwa na mageuzi makubwa ya kiuchumi, jamii, mazingira na ikolojia. Inaposemwaga 'Elimu itolewe...' hili hufungamishwa na kutengeneza mazingira kwa jamii 'kuridhia' mabadiliko fulani -- lakini karibia mara zote, kwa hapa kwetu tunajichanganya kufikiri 'elimu' ni 'kuhamasisha watu'...

Umaskini una mizizi katika 'akili' na basi sakia za watu.

Sisi watu ni maskini kwa kuwa tuna akili za kimaskini; hata watalaam wetu na viongozi wetu wa taasisi mbalimbali wana akili za kimaskini. Hadi pale tutakapojishtukia kuwa 'tunaendekeza akili ya kimaskini' -- na kukiri kuwa hii ndiyo sumu inayotuchanganya; basi tunakosa pakuanzia kujinasua na kutafuta uelekeo mpya.

Akili ya kimaskini ina muktadha tofauti kwa 'msomi' na 'asiye msomi'; kwa msomi ni akili tu ya kufuata mkumbo wa 'wenyekuonekana kama ni wasomi' kukuzidi, ama wale wanaotoka 'nchi za mbele'. Ni akili ya ujanja ujanja na kuigaiga kwa minajili ya 'usahihi wa kisiasa'. Ni akili ya 'kujikataa na kujibeza' halafu kufumba macho kwa mambo yanayosumbua akili zaidi ya hapo ulipo. Kwa upande mwingine, akili ya kimaskini ya 'mtu asiye msomi' ni akili ya 'upambe'... Upambe ni kule kuwa mwepesi 'kuuziwa kambi'... Kudhani umepata na kumbe umepatikana...

Mtego wa Noti...

 
Ni mfumo ulianzishwa kwa makusudi na mataifa ya kibeberu.

Mfumo huu ni dume; wanasiasa, wachumi, wasomi wote wanadanganywa, kujidanganya na pia kudanganyana kulingana na silika zao zao tamaa, uchu wa madaraka, ujasiriamali mifumo na 'ukupe katika mifumo' ya umma...

Mfumo wa 'utumwa wa mikopo' unadumishwa na 'siasa za uchumi' ambazo kisingi ni mbovu; lakini kwa kuwa 'wafanya maamuzi' wengi huwa ni watu wa kawaida, wakitegemea 'kushauriwa' basi 'kuingizana choo cha kike' ni jambo linaloendelea kila uchao...

Pesa ni 'Mwanaharamu'...

Wanatoa mikopo nao ni 'wahuni'; wanajua jambo wanalolifanya, wanajua 'unyonge' wa 'wanaowaendea kunyenyekea' ni wakati upi watafuatwa -- na kimsingi wanajua 'madeni kwa marefu ya vipindi vya muda' hayalipiki... Ila 'kwa ufundi mkubwa' wa hadaa za mikutano na majukwaa ya uchumi na fedha wanaendelea 'kuchezesha mchezo'...

Diplomasia za hadaa zimetamalaki katika dunia yetu leo...

Ikiwa watu wanaweka hatma za maisha yao kwa 'wanasiasa', 'watawala' na 'wataalam'; kudhani ndio wako salama; kuna mawili -- ni mara chache sana wanaweza 'kulamba dume la shupaza'... Karibia mara zote, hawa hubaki na 'magalasa' ya mchezo...

Kuna wakati, mabadiliko huja kimya kimya, huja na mtikisiko wa hapa na pale... Lakini kwa ujumla, ikiwa watu wachache wenye dhamira njema na waliongozwa vema na 'mkono wa kheri' -- hata angali wao ni manahodha wasio na jaala ya kaimaliza safari, chombo kitasonga na wasafiri watavuka salama...

Sasa, tumeingia kwenye 'maendeleo kwa kuchangia'--HARAMBEE... Busara fulani kitumika, tutaenda kuumaliza umaskini. Ndiyo, niajabu kusema uwezekano wa mabadiliko makubwa ya vyombo ya makusanyo na mifuko ya hazina za nchi lakini hili pekee yake halitoshi... Sekta binafsi hapa nchini kwetu bado ni hafifu kirasilimali watu na mizingira ya viwanda. Ili kuleta maendeleo, tutahitaji 'ufikirifu mifumo' na si 'uchambuzi' kwa mzizi wa 'fitina ya mambo'...

Wataalam wetu wa leo kwa sehemu kubwa ni 'wachumia matumbo'; ndivyo kwa nini husemwa kama jambo halijakaa sawa, kuna dalili za makusudio yenye kuharibika, basi 'fuatilia pesa'... Hata kupanga kwa kutegemea 'pesa ya mzungu' ni laana ya kuendekeza 'matumbo' kuliko suluhu za kudumu kwa changamato za jamii zetu.

Lipo hitaji la 'kufungua akili' watu ili wapate kuwa na ufundi na umahiri wa pambanua ukweli wa mambo na si kuwa 'wasubiri matamko'... Vivyo hivyo, kwa kuwawezesha hawa kutambua kuwa mabadiliko ni zao ya 'maua mapya ya tabia na fikara' juu ya mambo. Tabia zinaufundi wake mahsusi wa kuzingatiwa pale jamii inapoelekea kunasibishwa na mageuzi makubwa ya kiuchumi, jamii, mazingira na ikolojia. Inaposemwaga 'Elimu itolewe...' hili hufungamishwa na kutengeneza mazingira kwa jamii 'kuridhia' mabadiliko fulani -- lakini karibia mara zote, kwa hapa kwetu tunajichanganya kufikiri 'elimu' ni 'kuhamasisha watu'...

Umaskini una mizizi katika 'akili' na basi sakia za watu.

Sisi watu ni maskini kwa kuwa tuna akili za kimaskini; hata watalaam wetu na viongozi wetu wa taasisi mbalimbali wana akili za kimaskini. Hadi pale tutakapojishtukia kuwa 'tunaendekeza akili ya kimaskini' -- na kukiri kuwa hii ndiyo sumu inayotuchanganya; basi tunakosa pakuanzia kujinasua na kutafuta uelekeo mpya.

Akili ya kimaskini ina muktadha tofauti kwa 'msomi' na 'asiye msomi'; kwa msomi ni akili tu ya kufuata mkumbo wa 'wenyekuonekana kama ni wasomi' kukuzidi, ama wale wanaotoka 'nchi za mbele'. Ni akili ya ujanja ujanja na kuigaiga kwa minajili ya 'usahihi wa kisiasa'. Ni akili ya 'kujikataa na kujibeza' halafu kufumba macho kwa mambo yanayosumbua akili zaidi ya hapo ulipo. Kwa upande mwingine, akili ya kimaskini ya 'mtu asiye msomi' ni akili ya 'upambe'... Upambe ni kule kuwa mwepesi 'kuuziwa kambi'... Kudhani umepata na kumbe umepatikana...

Mtego wa Noti...

Exactly, umeiweka vyema kabisa hii thread, BTW hadi hatuq ya kuweza kujitambua na kukataa ukoloni wa mikopo ni karne na karne hasa kwa third world countries, kwani watu wenye kujitokeza na kuukataa huu ukoloni hupondwa mawe na mwisho wao ni kifo na kaburi,
Jasiri yoyote yule ni adui wa wajanja wajanja wa dunia hii,
Wasomi wetu ni chumia tumbo na wepesi kukana ukweli na kujiunga upande ovu ili tu matumbo yao yaneemeke,

Anyway, tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
IMG-20210804-WA0022.jpg
 
Ni mfumo ulianzishwa kwa makusudi na mataifa ya kibeberu.

Mfumo huu ni dume; wanasiasa, wachumi, wasomi wote wanadanganywa, kujidanganya na pia kudanganyana kulingana na silika zao zao tamaa, uchu wa madaraka, ujasiriamali mifumo na 'ukupe katika mifumo' ya umma...

Mfumo wa 'utumwa wa mikopo' unadumishwa na 'siasa za uchumi' ambazo kisingi ni mbovu; lakini kwa kuwa 'wafanya maamuzi' wengi huwa ni watu wa kawaida, wakitegemea 'kushauriwa' basi 'kuingizana choo cha kike' ni jambo linaloendelea kila uchao...

Pesa ni 'Mwanaharamu'...

Wanatoa mikopo nao ni 'wahuni'; wanajua jambo wanalolifanya, wanajua 'unyonge' wa 'wanaowaendea kunyenyekea' ni wakati upi watafuatwa -- na kimsingi wanajua 'madeni kwa marefu ya vipindi vya muda' hayalipiki... Ila 'kwa ufundi mkubwa' wa hadaa za mikutano na majukwaa ya uchumi na fedha wanaendelea 'kuchezesha mchezo'...

Diplomasia za hadaa zimetamalaki katika dunia yetu leo...

Ikiwa watu wanaweka hatma za maisha yao kwa 'wanasiasa', 'watawala' na 'wataalam'; kudhani ndio wako salama; kuna mawili -- ni mara chache sana wanaweza 'kulamba dume la shupaza'... Karibia mara zote, hawa hubaki na 'magalasa' ya mchezo...

Kuna wakati, mabadiliko huja kimya kimya, huja na mtikisiko wa hapa na pale... Lakini kwa ujumla, ikiwa watu wachache wenye dhamira njema na waliongozwa vema na 'mkono wa kheri' -- hata angali wao ni manahodha wasio na jaala ya kaimaliza safari, chombo kitasonga na wasafiri watavuka salama...

Sasa, tumeingia kwenye 'maendeleo kwa kuchangia'--HARAMBEE... Busara fulani kitumika, tutaenda kuumaliza umaskini. Ndiyo, niajabu kusema uwezekano wa mabadiliko makubwa ya vyombo ya makusanyo na mifuko ya hazina za nchi lakini hili pekee yake halitoshi... Sekta binafsi hapa nchini kwetu bado ni hafifu kirasilimali watu na mizingira ya viwanda. Ili kuleta maendeleo, tutahitaji 'ufikirifu mifumo' na si 'uchambuzi' kwa mzizi wa 'fitina ya mambo'...

Wataalam wetu wa leo kwa sehemu kubwa ni 'wachumia matumbo'; ndivyo kwa nini husemwa kama jambo halijakaa sawa, kuna dalili za makusudio yenye kuharibika, basi 'fuatilia pesa'... Hata kupanga kwa kutegemea 'pesa ya mzungu' ni laana ya kuendekeza 'matumbo' kuliko suluhu za kudumu kwa changamato za jamii zetu.

Lipo hitaji la 'kufungua akili' watu ili wapate kuwa na ufundi na umahiri wa pambanua ukweli wa mambo na si kuwa 'wasubiri matamko'... Vivyo hivyo, kwa kuwawezesha hawa kutambua kuwa mabadiliko ni zao ya 'maua mapya ya tabia na fikara' juu ya mambo. Tabia zinaufundi wake mahsusi wa kuzingatiwa pale jamii inapoelekea kunasibishwa na mageuzi makubwa ya kiuchumi, jamii, mazingira na ikolojia. Inaposemwaga 'Elimu itolewe...' hili hufungamishwa na kutengeneza mazingira kwa jamii 'kuridhia' mabadiliko fulani -- lakini karibia mara zote, kwa hapa kwetu tunajichanganya kufikiri 'elimu' ni 'kuhamasisha watu'...

Umaskini una mizizi katika 'akili' na basi sakia za watu.

Sisi watu ni maskini kwa kuwa tuna akili za kimaskini; hata watalaam wetu na viongozi wetu wa taasisi mbalimbali wana akili za kimaskini. Hadi pale tutakapojishtukia kuwa 'tunaendekeza akili ya kimaskini' -- na kukiri kuwa hii ndiyo sumu inayotuchanganya; basi tunakosa pakuanzia kujinasua na kutafuta uelekeo mpya.

Akili ya kimaskini ina muktadha tofauti kwa 'msomi' na 'asiye msomi'; kwa msomi ni akili tu ya kufuata mkumbo wa 'wenyekuonekana kama ni wasomi' kukuzidi, ama wale wanaotoka 'nchi za mbele'. Ni akili ya ujanja ujanja na kuigaiga kwa minajili ya 'usahihi wa kisiasa'. Ni akili ya 'kujikataa na kujibeza' halafu kufumba macho kwa mambo yanayosumbua akili zaidi ya hapo ulipo. Kwa upande mwingine, akili ya kimaskini ya 'mtu asiye msomi' ni akili ya 'upambe'... Upambe ni kule kuwa mwepesi 'kuuziwa kambi'... Kudhani umepata na kumbe umepatikana...

Mtego wa Noti...


Asante saana, umeongeza kilicho bora saana.

Licha ya udongo na uchache wa hatua tunazo piga kuelekea katika mifumo sahihi, tusikate tamaa tuendeleze juhudi za dhati katika kuelimishana na kutenda yaliyo sahihi kadiri tunavyo weza.

Tusikubali kuendelea kurithishana matatizo na mifumo mibovu kwa vizazi vyetu vijavyo sababu ya muonekano wa ukubwa wa tatizo.

Hata ukoloni haukuondoka ndani ya kizazi kimoja Afrika, ulikuwepo kwa zaidi ya karne nne hivi. Uhuru tulio nao leo ni matokeo ya juhudi za wote walio upinga ukoloni miaka na miaka.

Hivyo na sisi tuendeleze juhudi zetu kwa uwezo wetu wote na vizazi vijavyo vitajivunia juhudi zetu za Leo.
🙏🏾🌳🌳...
 
Exactly, umeiweka vyema kabisa hii thread, BTW hadi hatuq ya kuweza kujitambua na kukataa ukoloni wa mikopo ni karne na karne hasa kwa third world countries, kwani watu wenye kujitokeza na kuukataa huu ukoloni hupondwa mawe na mwisho wao ni kifo na kaburi,
Jasiri yoyote yule ni adui wa wajanja wajanja wa dunia hii,
Wasomi wetu ni chumia tumbo na wepesi kukana ukweli na kujiunga upande ovu ili tu matumbo yao yaneemeke,

Anyway, tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini View attachment 1906346
Shukurani saana kwa kuwa na uwezo pamoja na ujasiri pia wa kusema hili.

Naamini kila kilichopo ni matokeo ya tendo/kitu flani, hivo na sisi licha ya uchache, ugumu na giza linalo onekana kutanda mbele tusikate tamaa na kukubali kuishi kama watumwa/vibaraka ndani ya nchi/bara/dunia huru.

Tuweke juhudi za dhati katika kuelimisha na kutenda kadiri ya uwezo wetu, tusipo kamilisha ndani ya kizazi chetu basi zao la kizazi chetu litaendeleza juhudi na wasipo kamilisha wao, zao la kizazi chao litaendeleza juhudi hadi lengo litimie.

Changamoto hii ni yetu sote kama binaadamu, siyo ya chama chochote, kabila au ukanda. Bali ni changamoto ya Taifa, Bara na Dunia kwa ujumla sote tu wamoja. Tunaweza kutatua hii changamoto kwa kuanzia hapa tulipo(Tanzania).

Na Juhudizetu ni lazima na ndiyo mkombozi wetu wa pekee.
🙏🏾🌳🌳...
 
Asante saana, umeongeza kilicho bora saana.

Licha ya udongo na uchache wa hatua tunazo piga kuelekea katika mifumo sahihi, tusikate tamaa tuendeleze juhudi za dhati katika kuelimishana na kutenda yaliyo sahihi kadiri tunavyo weza.

Tusikubali kuendelea kurithishana matatizo na mifumo mibovu kwa vizazi vyetu vijavyo sababu ya muonekano wa ukubwa wa tatizo.

Hata ukoloni haukuondoka ndani ya kizazi kimoja Afrika, ulikuwepo kwa zaidi ya karne nne hivi. Uhuru tulio nao leo ni matokeo ya juhudi za wote walio upinga ukoloni miaka na miaka.

Hivyo na sisi tuendeleze juhudi zetu kwa uwezo wetu wote na vizazi vijavyo vitajivunia juhudi zetu za Leo.
🙏🏾🌳🌳...
Sahihi.

Mabadiliko yatachukua vizazi viwili... Ukiondoa jitihada sahihi za moja kwa moja.

Hii ni kwa kuwa mabadiliko ni zao la mikakati na kujengea jamii uwezo.

Ona kwa makini; kungine umepata umepata kusikia ya pembetatu ya 'siasa za nchi', 'mipango ya utumishi' na 'kujengea jamii uwezo'... Sasa, sikiliza kwa makini maneno katika hiyo media ya Mzee Mkapa... Anasema kuhusu 'Paradaimu ya sasa si ya kiuendelevu... Hakuna nchi kama ya daraja letu inaweza kuendana nayo sawa kwa heshima na utu'... Ukitazama media ya 'dependence theory' basi ndiyo ujue, hapa tulipo nchi zilizoendelea zipo hapo kwa 'kututegemea sisi' lakini zikitumia ufundi wa mifumo ya fedha na sarafu kututawala... Hii ni kwa kuwa, nchi zilizoendelea, za kati ya katikati, wamehodhi tekinolojia na sikuwa hawa wako tayari kushiriki matunda ya sayansi na ubunifu eti kufutilia mbali 'ufukara' na 'maradhi' kwa idadi ya watu wa dunia... Hawa ni wanafaika wa mambo yalivyo... Kwa namna fulani, uwepo wa dhiki, magonjwa, vita na machafuko hapa na pale duniani, huwanufaisha wao...

Sasa, ni kweli kabisa; kamwe tusijidanganye kudhani 'tunapendwa sana' eti kwa sababu tunapewa 'misaada'... Tawala za nchi zilizoendelea hazina budi kutumia 'misaada' kudanganyia 'chumi' zao... Kwa kuwa hata wao wanahitaji 'masoko' kwa bidhaa zao -- kwa hijimoni za kisiasa, kwa kubidi kuwa mstari wa mbele na kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali za dunia ziwe 'mali' kwa mashirika yao ya kibepari. Hili ndilo Mzee Mkapa kwenye video anazungumza namna gani Mataifa ya Magharibi yanatazama nchi zetu kama 'bustani zao za uani', hata vilivyoko kwetu bado ni vyao... Mafuta, Gesi, Metali n.k. Pia anazungumza tatizo la Diplomasia za Hadaa na kuingiliana: Namna ambavyo mara nyingi tu hata balozi nyingi hugeuka kuwa 'walimu' kwa viongozi wa Afrika "Tutorship--fanya hivi, fanya vile" utadhani sisi si sovereini... Hii yote ni sababu ya 'UTEGEMEZI'.

Sasa, tatizo la 'Uchumia Tumbo' ni adha ya 'mpandiano wa kimahitaji'; kwenye nadharia za maendeleo kuna mtu wa kuitwa Maslow... Huyu alipata kubaini sura fulani ya ukweli wa mambo, namna gani kila mwanadamu ana mahitaji ya chini hadi ya juu -- kuanza na ya kimaumbile, kuja hisia hadi kinafsi... Shida ya sisi tulionyuma kimaendeleo hatuwi wakweli na changamoto zetu bali tupo hata kudanganyana na mzungu ili tupate 'misaada'. Mzungu naye ni mhuni, anajifanya haoni kumbe anajua fika namna anavyotutia kwenye 'mtego wa noti'... Kwenye hiyo video, mzee Mkapa anazungumza tatizo alilopata kujifunza mara baada ya utawala wake... Siyo kwamba sisi tulionyuma hatujui kupanga... Shida ni kuwa tunapanga kwa 'pesa za wengine'; ndiyo maana hatuendelei...

Sasa, wewe unafikiria ya 'kujitengenezea pesa zetu'... Kwenye media ya Mzee Mkapa, mwishoni, kwa bashasha anazungumzia alilopata kuvutiwa nalo juu ya watu fulani wa mitaji na mikopo miaka ya sitini alipokuwa masomoni ng'ambo -- wale waliotengeneza usemi: "Tunatengeneza pesa zetu kizamani, tunakunja chetu mfukoni"

Kwa mfumo wa fedha na biashara za kimataifa, hatuwezi kushindana na waliombele -- hatuwezi kutoboa...

Ipo namna hata hivyo...

Tukidhamiria kuachana na 'Ujanja wa Mzungu'... Magufuli alikuwa na dhamira; lakini tujifunze kutokana na makosa... Tusiache 'Misimamo Mkali na Maono' vibebwe na mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache; hili si salama kwa viongozi na hata serikali iliyoko madarakani. Tujisahihishe vile vile na mambo kutegemea 'kuongozwa na dikteta'... Basi tukamie kuwa na taasisi zinazojijenga na kusimama imara -- zenye uwazi na uwajibikaji katika haki na usawa.

Moja ambalo lina matumaini makubwa, hata kama Magufuli kaondoka, ni hili la 'Maendeleo kwa Kuchangia'--HARAMBEE...

Kiongozi wa sasa, anaweza kutuletea na mengine, kupitia washauri wake, ambayo taratibu yatatuengua na kutegemea suluhu toka nje ya nchi; kwa kuwa hata sasa, kwa yeyote ana busara hili lapaswa kuwa wazi kwake: si lazima awe 'kinyume na dunia' ili 'liendeleze umaarufu'... Na wala siyo haki 'kumsakama' eti nayeye 'anabana wanasiasa'... Tafakari ya 'Siasa za Nchi' na changamoto zake za 'chokochoko'... Ndiyo na yeye ni mtu, kama 'ana hofu' lakini anakupa wewe uhuru wa kuchagua, basi chagua vizuri -- 'la kwake la hofu' mwachie... Ila usisite kuonesha ujasiri; labda na yeye ni kama 'ana hofu' lakini hana hofu yoyote--utajua?

Hmmm
 
Sahihi.

Mabadiliko yatachukua vizazi viwili... Ukiondoa jitihada sahihi za moja kwa moja.

Hii ni kwa kuwa mabadiliko ni zao la mikakati na kujengea jamii uwezo.

Ona kwa makini; kungine umepata umepata kusikia ya pembetatu ya 'siasa za nchi', 'mipango ya utumishi' na 'kujengea jamii uwezo'... Sasa, sikiliza kwa makini maneno katika hiyo media ya Mzee Mkapa... Anasema kuhusu 'Paradaimu ya sasa si ya kiuendelevu... Hakuna nchi kama ya daraja letu inaweza kuendana nayo sawa kwa heshima na utu'... Ukitazama media ya 'dependence theory' basi ndiyo ujue, hapa tulipo nchi zilizoendelea zipo hapo kwa 'kututegemea sisi' lakini zikitumia ufundi wa mifumo ya fedha na sarafu kututawala... Hii ni kwa kuwa, nchi zilizoendelea, za kati ya katikati, wamehodhi tekinolojia na sikuwa hawa wako tayari kushiriki matunda ya sayansi na ubunifu eti kufutilia mbali 'ufukara' na 'maradhi' kwa idadi ya watu wa dunia... Hawa ni wanafaika wa mambo yalivyo... Kwa namna fulani, uwepo wa dhiki, magonjwa, vita na machafuko hapa na pale duniani, huwanufaisha wao...

Sasa, ni kweli kabisa; kamwe tusijidanganye kudhani 'tunapendwa sana' eti kwa sababu tunapewa 'misaada'... Tawala za nchi zilizoendelea hazina budi kutumia 'misaada' kudanganyia 'chumi' zao... Kwa kuwa hata wao wanahitaji 'masoko' kwa bidhaa zao -- kwa hijimoni za kisiasa, kwa kubidi kuwa mstari wa mbele na kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali za dunia ziwe 'mali' kwa mashirika yao ya kibepari. Hili ndilo Mzee Mkapa kwenye video anazungumza namna gani Mataifa ya Magharibi yanatazama nchi zetu kama 'bustani zao za uani', hata vilivyoko kwetu bado ni vyao... Mafuta, Gesi, Metali n.k. Pia anazungumza tatizo la Diplomasia za Hadaa na kuingiliana: Namna ambavyo mara nyingi tu hata balozi nyingi hugeuka kuwa 'walimu' kwa viongozi wa Afrika "Tutorship--fanya hivi, fanya vile" utadhani sisi si sovereini... Hii yote ni sababu ya 'UTEGEMEZI'.

Sasa, tatizo la 'Uchumia Tumbo' ni adha ya 'mpandiano wa kimahitaji'; kwenye nadharia za maendeleo kuna mtu wa kuitwa Maslow... Huyu alipata kubaini sura fulani ya ukweli wa mambo, namna gani kila mwanadamu ana mahitaji ya chini hadi ya juu -- kuanza na ya kimaumbile, kuja hisia hadi kinafsi... Shida ya sisi tulionyuma kimaendeleo hatuwi wakweli na changamoto zetu bali tupo hata kudanganyana na mzungu ili tupate 'misaada'. Mzungu naye ni mhuni, anajifanya haoni kumbe anajua fika namna anavyotutia kwenye 'mtego wa noti'... Kwenye hiyo video, mzee Mkapa anazungumza tatizo alilopata kujifunza mara baada ya utawala wake... Siyo kwamba sisi tulionyuma hatujui kupanga... Shida ni kuwa tunapanga kwa 'pesa za wengine'; ndiyo maana hatuendelei...

Sasa, wewe unafikiria ya 'kujitengenezea pesa zetu'... Kwenye media ya Mzee Mkapa, mwishoni, kwa bashasha anazungumzia alilopata kuvutiwa nalo juu ya watu fulani wa mitaji na mikopo miaka ya sitini alipokuwa masomoni ng'ambo -- wale waliotengeneza usemi: "Tunatengeneza pesa zetu kizamani, tunakunja chetu mfukoni"

Kwa mfumo wa fedha na biashara za kimataifa, hatuwezi kushindana na waliombele -- hatuwezi kutoboa...

Ipo namna hata hivyo...

Tukidhamiria kuachana na 'Ujanja wa Mzungu'... Magufuli alikuwa na dhamira; lakini tujifunze kutokana na makosa... Tusiache 'Misimamo Mkali na Maono' vibebwe na mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache; hili si salama kwa viongozi na hata serikali iliyoko madarakani. Tujisahihishe vile vile na mambo kutegemea 'kuongozwa na dikteta'... Basi tukamie kuwa na taasisi zinazojijenga na kusimama imara -- zenye uwazi na uwajibikaji katika haki na usawa.

Moja ambalo lina matumaini makubwa, hata kama Magufuli kaondoka, ni hili la 'Maendeleo kwa Kuchangia'--HARAMBEE...

Kiongozi wa sasa, anaweza kutuletea na mengine, kupitia washauri wake, ambayo taratibu yatatuengua na kutegemea suluhu toka nje ya nchi; kwa kuwa hata sasa, kwa yeyote ana busara hili lapaswa kuwa wazi kwake: si lazima awe 'kinyume na dunia' ili 'liendeleze umaarufu'... Na wala siyo haki 'kumsakama' eti nayeye 'anabana wanasiasa'... Tafakari ya 'Siasa za Nchi' na changamoto zake za 'chokochoko'... Ndiyo na yeye ni mtu, kama 'ana hofu' lakini anakupa wewe uhuru wa kuchagua, basi chagua vizuri -- 'la kwake la hofu' mwachie... Ila usisite kuonesha ujasiri; labda na yeye ni kama 'ana hofu' lakini hana hofu yoyote--utajua?

Hmmm
Asante kwa nyongeza ya maoni yenye minofu kede kede. Imani yangu ni TUTAFIKA tu, uhuru na uwajibikaji kwa usawa ni haki ya kila aliye umbwa...
🙏🏾🌳🌳....
 
Uwepo wa kila kilichopo semehu kilipo ni matokeo ya muunganiko wa mihimili kadhaa. Hivyo hivyo Maisha ya binaadamu katika hii Dunia yanayo mihimili yake, moja kati ya mhimili wa mhimu katika haya maisha yetu ya leo unaotufanya tuishi tunavyo ishi ni uchumi.

Uchumi katika ulimwengu umekuwa nyenzo mhimu ya kuinua au kuangusha mtu au Taifa lolote. Katika mchakato wa kuinua na kuimalisha uchumi watu na mataifa mbali mbali hutumia nyenzo tofauti tofauti moja wapo ni mikopo/madeni.

Mwaka 2020 deni la Tanzania lilikuwa Trilion 59 shilingi za kitanzania, serikali ya Tanzania ilitangaza hili kupitia bunge lake (Jamii Forums February 2021). Hizi siyo million au billion ni Trillion, je ni nani anaidai Tanzania.!?

Kwa mjibu wa ukrasa wa visualcapitalist ripoti ya IMF iliyotolewa mwezi wa nane 2019 China ilikuwa na deni la trillion 6.8 dola za kimarekani, Uingereza trillion 2.5 dola za kimarekani, Marekani ilikuwa na deni la trillion 21.5 dola za kimarekani ( baadhi ya vyanzo na waandishi binafusi wanadai deni halisi la Marekani ni zaidi ya trillion 100 dola za kimarekani) na deni la mataifa yote Duniani lilikuwa Trillion 69.3 dola za kimarekani. 90% ya deni lote lipo katika mabara yenye mataifa yaliyo endelea kiuchumi.
Hivyo unaye waza labuda Mataifa yaliyo endelea ndiyo yanaidai Tanzania tu na hayadaiwi tafakari tena!.

Hivi umeisha wahi kujiuliza, Nani anayadai haya Mataifa hizi trillion za pesa zinazo ongezekaga kila kukicha?.

Ukifuatilia chanzo na mzunguko wa pesa Duniani kwa umakini itakuwa rahisi kuona kuwa taasisi binafusi hasa za kimataifa kama Benki ya Dunia(WB), IMF na bank nyingine kubwa Duniani ndio waanzilishi na wakopeshaji wakubwa Duniani.

Maswali ni je hizi taasisi za kimataifa kama WB na IMF mmiliki wake ni nani, kama serikali za mataifa karibia yote Duniani zinadaiwa?
Hivi huyu mkopaji wa serikali za mataifa karibia yote Duniani yeye pesa anazitoa wapi?
Wanao kopwa(serikali) hawawezi kujichukulia wenyewe pesa anako zichukua yeye hadi achukue yeye awakope?
Hivi mwisho wa haya madeni ni upi?.

Madhala ya hii mikopo ni makubwa sana kwa binaadamu hasa wale wa kipato cha kati na kipato cha chini. Gharama za maisha hasa zile za mahitaji ya muhimu zinaongezeka kila siku, siyo kwa sababu thamani ya mahitaji hayo inaongezeka bali wenye dhamana ya usimamizi wa mahitaji hayo wanaongeza gharama ili kupata pesa ya kuendeleza mzunguko wa mahitaji husika.

Mfano Tanzania mwaka 2013 ilikuwa na deni la Trilion 27 shilingi za kitanzania(ukurasa wa demokirasia January 2014). Hapa majukumu ya kila siku ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali yalikuwa yanaendelea kawaida kutokana na kodi za Watanzania.
Kutokana na uhitaji wa miundo mbinu na mazingira yanayo endana na mabadiliko ya Dunia(modernity) zilihitajika pesa za ziada ili kutekeleza maboresho hayo. Badala ya serikali inayo endesha shughuli zake kwa jasho la Watanzania, kutengeneza karatasi (pesa) zitakazo tumika kama nyenzo ya kutimiza mahitaji yake ilienda kwenye taasisi inazo zisimamia yenyewe(Bank) kukopa na matokeo yake deni likaongezeka.

Hivyo deni lilivyo ongezeka serikali ilihitaji pesa(kodi) zaidi ili kuendeleza shughuli za kila siku na wakati huo huo ikifanya marejesho ya deni la nyuma na lile ililo liongeza, matokeo yake serikali ikapandisha kodi kwenye baadhi ya vitu kukidhi mahitaji.
Machakato huu unafanywa kwa kujirudia rudia kila linapo tokea hitaji lolote, huku madeni ya nyuma yakiwa yanazidi kuongezeka riba sababu ya malipo yake kutokamilika.

Hivyo mfumuko wa bei, ongezeko la gharama za maisha na umasikini kwa masikini ni suala ambalo halikwepeki ndani ya huu mfumo. Hata iwe serikali gani masikini wataendele kuwa masikini huku wakiongezeka na matajiri watazidi kuwa matajiri huku wakipungua. Sababu nafasi (daraja) iliyopo kutoka kwenye umasikini kwenda kwenye utajiri ni kubwa, ndefu na inazidi kurefushwa kila iitwayo leo sababu ya huu mufumo unao tumika.

Njia kubwa maalumu zinazoweza kutumika kutatua changamoto hii na ndiyo inabidi zitumike kwa gharama yoyote ni; Moja kuwaelimisha watu/jamii juu ya mapungufu ya mfumo wa uanzishaji na mzunguko wa pesa unao tumika, mbili kupata viongozi majasiri na makini wanao uelewa huu mfumo na tatu kutengeneza mfumo utakao wafanya Wanachi kuzifanyia kazi Nchi na serikali zao. Siyo kuzifanyia kazi taasisi binafusi (kufanya kazi/kulipa kodi ili kulipa madeni).

Hapa serikali idai/ziada iwe/ziwe na mamlaka ya kutengeneza pesa zake yenyewe na kusambaza kwenye taasisi zenye mamlaka (bank) kulingana na uwezo/mzunguko wa Taifa husika.
Kwa njia hii serikali zitakuwa na uwezo wa kuendesha shughuli zake zenyewe na Wananchi watakuwa wanafanya kazi kwa ajiri ya Mataifa yao na siyo kuwafanyia kazi wakopeshaji wa Mataifa yao.

Lisipo badilishwa hili kuzuia mfumuko wa bei, ongezeko la gharama za maisha na kuuondoa umasikini ni vigumu na ni ndoto ya mchana kwenye Taifa lolote.
Unaweza ukajiuliza kama wengine wengi kuwa, je wanauchumi wetu hawaoni kuwa mfumo tunaoutumia sahivi una mapungufu mengi kiasi hiki...!?

Jibu la hili swali na mengine mengi ya hivi ni jepesi saana. Mashuleni (formal education system) wanafunzi hawajifunzi kile wanacho taka au kile kitakacho wasaidia bali wanafundishwa na kuaminishwa kile kilichopo kwenye shule/mfumo husika.

Kwahiyo hapa yule mwenye mamlaka zaidi kwenye mfumo wa elimu husika ndiye atakaye amua kipi kifundishwe na kifundishwe je, wengine wote wanafuta tu mkumbo.

Mfano wanafunzi hawafundishwi jinsi wanavyo weza kutengeneza mfumo wa mzunguko wa pesa ulio bora zaidi bali wanaaminishwa kuwa mfumo uliopo ndio huu na hauwezi kubadirika kwahiyo lazima kuendana nao tu. Jambo ambalo siyo kweli hata chembe!.

Sababu lengo kuu la kusoma/kupata elimu(kwa walio wengi) ni kuajiriwa, kupewa mishahara mikubwa n.k

Hatufundishwi utu, Upendo, usawa, umoja, mshikamano n.k, katika maisha haya mafupi tuliyo nayo hapa Duniani.

Hivyo inakuwa ni vigumu kwa Jamii na wasomi(walio wengi) walio kesha wakikalili vitabu na vitabu kwa ajiri ya mishahara kwa miaka zaidi ya 15 kubadilisha mtazamo wao na kuanza kusimama kwa ajiri ya masilahi ya wengi na jamii kwa moyo mmoja.

Tukirudi katika kutoa mwanga zaidi juu ya mfumo wa pesa tulio nao sahivi (monetary system).

Inaumiza na inashangaza kuwa njia ya kubadilishana huduma tuliyo nayo sahivi (pesa).
Licha ya ukweli kuwa hazina thamani yoyote ndani yake(intristic value), watengenezaji wake pia wanazitengeza kutoka hewani(nimekosa neno zuri zaidi la kutumia, lakini namaanisha inawagharimu sufuri kutengeneza karatasi wanazo zipa thamani ya mabilioni ya rasilimali halisi za jamii ndani ya akili za watu).

Pia tupo ndani ya mfumo ambao leo hii watu wakiacha kukopa basi pesa zote zinapotea ndani ya Taifa husika. Kwa maneno mengine ili karatasi yoyote iliyo chapishwa kama pesa iingie kwenye mzunguko ni lazima akopeshwe mtu hiyo pesa. Na madeni yote yakilipwa hivyo hivyo pesa inaisha katika mzunguko. Kwahiyo kwa namna yoyote wakopeshaji lazima wawashawishiwe, wawabembelezwe au hata wawalazimishwe wakopwaji kwa njia halali au zisizo halali madeni yaendelee kuwepo.

Kila anaye tumia karatasi husika(pesa) analipa kodi(sehemu ya thamani ya huduma aliyo toa) moja kwa moja kwa aliye tengeneza karatasi (pesa)hiyo bila yeye kujua. Hii kodi ni tofauti ni kodi nyingine zozote za serikali zinazo lipa. Kwa maneno mengine kizazi cha binaadamu sahivi kinatumia nguvu na juhudi kubwa saana kuliko kawaida kuendeleza mfumo uliopo. Mbaya zaidi hizo nguvu na juhudi zinaishia kwenye mifuko/akaunti za watu wachache kama kodi zenye sura ya riba, mfumuko wa bei n.k na kuacha wimbi kubwa la binaadamu wakitaabika katika Taifa, Bara na Dunia hii yenye kila aina ya rasilimali.

Ni mfumo mwepesi ukisha uelewa lakini jamii inafichwa ukweli kuhusu mfumo huu. Watu wanatumikishwa, Mataifa ni vibaraka, umasikini kwa walio wengi na machafuko vinaongezeka kwa manufaa ya wachache.

Kama Taifa tusimame pamoja tunao uwezo wa kuisaidia Jamii yetu.
🙏🏾🌳🌳...
 
Unaweza ukajiuliza kama wengine wengi kuwa, je wanauchumi wetu hawaoni kuwa mfumo tunaoutumia sahivi una mapungufu mengi kiasi hiki...!?

Jibu la hili swali na mengine mengi ya hivi ni jepesi saana. Mashuleni (formal education system) wanafunzi hawajifunzi kile wanacho taka au kile kitakacho wasaidia bali wanafundishwa na kuaminishwa kile kilichopo kwenye shule/mfumo husika.

Kwahiyo hapa yule mwenye mamlaka zaidi kwenye mfumo wa elimu husika ndiye atakaye amua kipi kifundishwe na kifundishwe je, wengine wote wanafuta tu mkumbo.

Mfano wanafunzi hawafundishwi jinsi wanavyo weza kutengeneza mfumo wa mzunguko wa pesa ulio bora zaidi bali wanaaminishwa kuwa mfumo uliopo ndio huu na hauwezi kubadirika kwahiyo lazima kuendana nao tu. Jambo ambalo siyo kweli hata chembe!.

Sababu lengo kuu la kusoma/kupata elimu(kwa walio wengi) ni kuajiriwa, kupewa mishahara mikubwa n.k

Hatufundishwi utu, Upendo, usawa, umoja, mshikamano n.k, katika maisha haya mafupi tuliyo nayo hapa Duniani.

Hivyo inakuwa ni vigumu kwa Jamii na wasomi(walio wengi) walio kesha wakikalili vitabu na vitabu kwa ajiri ya mishahara kwa miaka zaidi ya 15 kubadilisha mtazamo wao na kuanza kusimama kwa ajiri ya masilahi ya wengi na jamii kwa moyo mmoja.

Tukirudi katika kutoa mwanga zaidi juu ya mfumo wa pesa tulio nao sahivi (monetary system).

Inaumiza na inashangaza kuwa njia ya kubadilishana huduma tuliyo nayo sahivi (pesa).
Licha ya ukweli kuwa hazina thamani yoyote ndani yake(intristic value), watengenezaji wake pia wanazitengeza kutoka hewani(nimekosa neno zuri zaidi la kutumia, lakini namaanisha inawagharimu sufuri kutengeneza karatasi wanazo zipa thamani ya mabilioni ya rasilimali halisi za jamii ndani ya akili za watu).

Pia tupo ndani ya mfumo ambao leo hii watu wakiacha kukopa basi pesa zote zinapotea ndani ya Taifa husika. Kwa maneno mengine ili karatasi yoyote iliyo chapishwa kama pesa iingie kwenye mzunguko ni lazima akopeshwe mtu hiyo pesa. Na madeni yote yakilipwa hivyo hivyo pesa inaisha katika mzunguko. Kwahiyo kwa namna yoyote wakopeshaji lazima wawashawishiwe, wawabembelezwe au hata wawalazimishwe wakopwaji kwa njia halali au zisizo halali madeni yaendelee kuwepo.

Kila anaye tumia karatasi husika(pesa) analipa kodi(sehemu ya thamani ya huduma aliyo toa) moja kwa moja kwa aliye tengeneza karatasi (pesa)hiyo bila yeye kujua. Hii kodi ni tofauti ni kodi nyingine zozote za serikali zinazo lipa. Kwa maneno mengine kizazi cha binaadamu sahivi kinatumia nguvu na juhudi kubwa saana kuliko kawaida kuendeleza mfumo uliopo. Mbaya zaidi hizo nguvu na juhudi zinaishia kwenye mifuko/akaunti za watu wachache kama kodi zenye sura ya riba, mfumuko wa bei n.k na kuacha wimbi kubwa la binaadamu wakitaabika katika Taifa, Bara na Dunia hii yenye kila aina ya rasilimali.

Ni mfumo mwepesi ukisha uelewa lakini jamii inafichwa ukweli kuhusu mfumo huu. Watu wanatumikishwa, Mataifa ni vibaraka, umasikini kwa walio wengi na machafuko vinaongezeka kwa manufaa ya wachache.

Kama Taifa tusimame pamoja tunao uwezo wa kuisaidia Jamii yetu.
🙏🏾🌳🌳...
Ndiyo mfumo uliopo sasa wa uchumi duniani una matatizo na ndiyo maana unazaa 'mikutano, mashauri na makubaliano juu ya biashara za kimataifa na mahusiano ya kimataifa yasiyokoma'; na huku matatizo zaidi yakijitokeza ama kuongezeka kwa 'sura ya migogoro, machafuko na siasa za mabavu chini ya mwamvuli wa diplomasia za kimataifa'...

Kulibaini hili vema, rejea neno juu ya 'akili ya kimaskini' kama muktadha; na 'kiini cha ufahamu' kama kitovu cha kwa nguvu za uakisiko wa hali halisi.

Kwa kuwa akili ni 'injini' kwa saikia katika mtu, mtu hutawaliwa matendo yake na 'hali ya kujisikia'--huku kunafanyika kwa 'ukazo wa fikra na hisia' kama wazo likadirishalo vitendo. Vitendo vya mtu, kikundi cha watu ama jamii ndiyo jambo linalokadilisha 'sura na mienendo ya jamii', vile pia kusema 'mabadiliko' -- yawe chanya ama hasi, ya kupendeza ama ya kusikitisha...

Sasa, 'Kujisikia' mahala pengine umepata kuona huwa katika 'ulali wa siasa za nchi' -- 'kujisikia' na 'vina vya tafsiri'... Kwa wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalitaja haya kama 'sense-abilities' na 'depths of rationality'... Mizania ya ulali huu ni kitovu kwa daraja la 'kujitambua' katika mtu, kikundi cha watu ama jamii kama 'taasisi'... Ndiyo huleta 'ontolojia ya Taasisi'...

'Kujisikia', ukiwa na ufikirifu wa kitopografia, huleta seti ya kubaini mnyororo wa mengi yanayohusiana na 'ushawishi' ama shurti ya vitendo kwa mujibu wa 'mazoea' ama 'vinasaba' vya zana za 'kiakili na kimaumbo'. Sisi wabantu kwa mfano tuna usemi 'kawaida ni kama sheria'... Jambo lililojengeka akilini mwako kama 'ni sawa' ama 'kukubalika' basi daima litakuongoza wewe kutenda 'kama ilivyo/ikusudiwavyo' na basi kuleta 'mazoea ya kitabia na mwenendo' kwa 'kawaida ya jambo'. Kwa wenyekuzungumza lugha ya kiingereza wangalitaja hili kama 'specific norms'... Vivyo hivyo, kwa kudra ya maumbo, vitendo vyetu havina budi kendana na viungo vyetu tulivyokuwa navyo kiakili, kivinasaba vya mwili, kimwili -- hivi vyote huingiliana na 'saikia'... Binadamu tunatembea kwa 'miguu' na si kwa 'miguu na mikono' kama sokwe mtu...

'Kujisikia' ndiyo muktadha wa 'usifaakili wa kiimosha'--wenye kuzungumza hili kwa lugha ya kiingereza wangalirejea hili kwa kutaja 'emotional intelligence'. Mtu na mtu, kundi na kundi, jamii na jamii nyingine wanaweza kushiriki 'maua akili na tabia' lakini kimsingi kila mtu ana 'usifaakili wa kiimosha' wa kipekee, kulingana na 'kumbukumbu na uzoefu', ukiachiliambali unasaba na uwezo -- kuanzia kibayolojia na akili yenyewe kama 'injini'...

'kujisikia' ni zao la kognisha na saikia... Katika muingiliano wa hivi, saikia ya mtu ni kama 'negativu ya picha'ya sinema. Pale ambapo kurunzi la mwangaza limulikapo 'mkanda wa sinema/negativu', taswira yaweza kujitokeza ukutani ambayo yaakisi taswira iliyoko kwenye 'negativu'. Kwa hivyo, mtu kupitia matendo yake ndivyo ajidhirishavyo, kujipambanua na kujitambua 'nafsi' yake katika mazingira yake ya kijamii, kiuchumi, utamaduni na ikolojia...

'Kujisikia', kwa visomo vya sosholojia, ndiyo huja na lile jambo la 'muingiliano wa alama oanivu'; wanasosholojia walau 'wamepatia' kuyabayanisha jamii kwa misingi ya (1) Ufanusi jamii (2) Nadharia Migogoro na (3) muingiliano wa alama uoanivu. Wenye kufanya visomo vya sosholojia, katika lugha ya kiingereza, ndiyo hutaja haya kama functionalism, Conflict theory na Symbolic interaction... Lakini ushamba wa sisi wabantu kujichelewesha na ung'ang'anizi wa visomo kwa lugha iliyokuja kwa meli umetufanya mambo fulani yatupite kushoto daima na hali uwezo wa kujua haya yote hata ilivyobora daima upo miongoni mwetu. Kwa hivi, imekuwa si ajabu kwamba usomi wetu umekuwa kwenye madaftari na mitihani na michezo mingine ya karatasi za kiakademi...

'Kujisikia' ndicho ambacho kikiaguliwa vema katika mtu ama jamii ndipo tunaweza kubaini mshipa wa fitina ya 'uchumia tumbo' unakujaje... Na hapo juu, Maslow amepatwa kutajwa, ambavyo yeye alijenga shauri kwa nadharia ya maendeleo ya kwamba : maendeleo ya jamii ni mfano wa pembetatu ya uhitaji ambapo ikiwa ni mfano wa mpandiano, basi kwa chini mtu anahitaji mambo ya kimwili: kula, kulala, kuvaa, halijoto nk, halafu juu yake yawa: usalama wa mazingira ya ustawi wake na mwili/famili/kaya; tena juu yake yawa: mahusiano ya kimwandani na urafiki... juu ya hili yawa: kujijengea heshima na hamasa; kisha kuwa: kujisimamisha wewe kama nani kwa minajili ya ukuu, utendaji ama sanaa... Hapa hili la 'ukuu..' lawa ndiyo kilele cha juu cha 'pembe tatu'... Kwa wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza basi ndiyo wangalitaja ukundi wa matatu: (1) Basic Needs (2) Physiological Needs na (3) Self-fulflillment needs...

'Kujisikia' ndiko hunasibisha mwanadamu na umungu... Nafsi ya mtu ni kama mbegu, ina mawili iishi na kufa; ama iishi na kupitiliza 'mauti'. Tofauti ya hayawani wengine na mwanadamu, kwa mfano, ni ukweli kwamba wa kwanza huishi na hata kujitengenezea makazi juu ya nchi lakini wa pili yeye haridhiki na makazi ya mwili tu -- wanadamu tunajenga nyumba za ibada, matambiko na imani. Hili ndilo hata huleta chachu kwa sura za jamii na tamaduni zetu kutoka sehemu moja hadi ingine, wakati mmoja hata mwingine. Kwa hivyo, kuna mawili: tunaweza kufanya kisomo cha kubaini ni kwa jinsi gani dini zote za wanadamu ni 'mbinu/njia' za kujitahidi na kujinasibisha na 'kilicho kikuu zaidi' kusudi mtu/jamii/waaminiao wapate 'upendeleo' wa 'Aliyejuu/Kilicho ni Hasa'... Na basi 'Hicho' ndicho hukadirisha pembetatu ya 'Jaala, Kudra na Karama'... Kudra huja na maumbile ya asili, visomo vya sayansi ya asili si lolote ila kujijengea uwezo wa kubaini tabia za maumbo hai na yasiyohai ya ulimwengu. Karama huja na upeo na mapaji ya akili... Mwanasayansi anayekanusha 'uwepo wa mungu' afanya hivyo kwa kuwa 'mapendeleo yake' yangalikuwa ni kwa umahiri na uhodari wa 'ujuaji wa mambo' kusudi aweze kuwa 'nahodha wa jaala yake' mwenyewe... Muumini anayesadiki 'uwepo wa mungu' ni kwa kuwa 'mapendeleo' yake ni 'Jaala' yake kuwa 'mikononi mwa Uweza Zaidi' kadri ya yeye ashawishikavyo kuamini hili ama lile lijalo kwa mapokeo yake ya taasisi za dini ama imani fulani... Japo kimsingi na kiufundi, sayansi si 'ujuaji kamili' kadri vile pia 'dini/mapokeo' si 'ukweli hasa wa mambo' ila tu 'utumikivu wa paradaimu' katika mtu/jamii/jumuiya kufaa 'vina vya tafsiri'...

'Kujisikia' ni namna ya mawili -- fikra/uono na hisia/kusikia. Akili zetu kwa 'mawazo' yetu ni haya yote mawili. Tunafikiria kwa picha na hisia; fahamu zetu za uono kwa mfano 'ni kama vile si za kiwakati' hasa lakini kusikia ni 'fahamu ya kiwakati'... Kwa kuona 'habari' nyingi zinaweza kutukifia akilini 'kwa wakati na kwa tukio moja' tunalolirejea kama 'kognisha'. Kusikiliza sauti, khotuba ama muziki ni jambo la 'mapana ya wakati/kipindi cha muda' ili 'kognisha' ilete ubainifu fasaha. Basi hili lituletee maana fulani juu ya jambo, akili zetu hutenda kazi kwa 'vizio vya habari na ujuaji' vilivyo na muoano wa 'kinafasishi na muda' -- tutunge istilahi kwa jambo hili kwa kulisema uegamia 'supasha na temporari'... Supasha ni mapelekeo ya hadhi ya kuwa na sifa za upana, kina na kimo na temporari hadhi ya kuwa na sifa ya 'muda'... Kwa hivyo basi tunayonasibu ya 'usifakili wa kisupasha na kitemporari'; wenye kuzungumza hili kwa lugha ya kiingereza wangalitaja hili kama: 'Temporal and Spatial Intelligence'...

'Kujisikia' ndivyo basi, kwa ufikirifu wa kitopografia, hutuletea 'fumbo' lenye kunasa 'dini' ama 'sayansi' kwa minajili ya mambo ya wakati na yale yanayopitiliza wakati na umbali. Watu hujinasibu na dini, sayansi na imani kwa kuwa ipo namna hakuna mwanadamu anayezaliwa 'mtupu kabisa' kichwani. Ipo namna ambavyo inaweza kuthibitika binadamu wote, tuna namna ya akili inayoingiliana... Carl Jung, ni mmoja wa watu waliopata kubaini hili mapema mnamo karne ya 20. Kwa hivi yeye ndiye aliyetuletea istilahi za 'saikia' na 'akitipu' katika visomo vya 'akili' kama injini ya 'kognisha' kupitia Ufahamu. Saikia ni 'nafsi' ya utu ambavyo ni muktadha wa 'ufahamu-jua binafsi, utofahamu-jua binafsi na Utofahamu-jua kumbaizi'... Kwa maana hii, huwa upo ushahidi ni jinsi gani alama za dini, imani, ngano na mafundisho hufanana kwa namna fulani kutoka tamaduni moja hadi ingine hata kama jamii hizo hazipata kukutana wala kuchangama... Hili litujuze jambo, kujua ni alama... Tuna huku kujua kwa kuwa akili zetu huchakata habari kwa alama; alama ni 'mafumbo ya akili' na hapo hapo ni ufunguo kwa 'kognisha'...



SASA, akili ya kimaskini, nusu tunayo kwa kuwa duniani kote tunatawaliwa na akitipu mbovu... Itabidi watu wachache 'waamke' na 'kukazia' akitipu bora kwa 'dhamira', 'matendo' na 'karama bora' juu ya uponyaji, kufunda na kuwa chachu ya mabadiliko yenye kheri kwa watu wote kufaa madhumuni ya taasisi na jamii zao...

Ili, akili ya kimaskini iondoke, hatuna budi kuwa mfano wa viumbe vinavyopaswa kufa ili kuzaliwa upya, kuwa kiumbe kipya; ya zamani kuwa yamepita. Ni kujinasibu na 'metamofosia' ya nafsi... Ulimwengu tunaoishi sasa ni ya mfano wa metafo ya 'Babiloni'... Tunaishi kutafuta kujenga 'minara' batili, huku tukihadaiana 'ukuu' na 'umwamba'; hata kugeuzana watumwa katika mifumo ya kinyonyaji na 'kunyonyana damu'...

Ili, akili ya kimaskini iondoke, siri ya mabadiliko siyo 'matamko' na 'uhamasishaji'... Ni kila mtu kuwa 'Taa na Nuru ya Ulimwengu'... Ni kuwa chumvi ya dunia... Mageuzi ya ukweli ya kijamii, uchumi, utamaduni na mazingira yatatimia kwa kuwa watu wenye kujitambua watainuka na kuianza safari ya KUTOKA Babiloni...

Ili, akili ya kimaskini iondoke, hatuna budi kujimulika sisi wenyewe na kumalizana na 'mapepo' yetu wenyewe yanayotufanya tuhadaike na kupagawa na mambo batili... Nafsi zetu zisizotaamulika ndiyo mkataba wetu na mapungufu ya mifumo isiyo na neema ya kweli ila 'kulishana upepo'. Kungine umepata kuyasikia ya 'fanusi na Mahusiano'... Kwa hivyo, kwa kadri ya ilimu ya saikia, ujue kuna kitu kama 'fanusi Ibilisi' na kuna 'fanusi Malaika'; viwili hivi vinatutawala sisi wanadamu kupitia 'utofahamu-jua kumbaizi'...

Kwa kuwa tumezungumza ya Maslow, basi yafaa vile vile kupambanua zaidi ya 'uhitaji' na 'matendo yetu'. Ikiwa mtu anajinasibu na Uweza Zaidi--wenye kujaalia, na tena kwa imani hiyo, basi ajue: Tamanio Lako Safi kabisa kutoka katika kina na kina cha Moyo na Akili yako ni tamanio la Mungu... Chochote kilicho cha juu juu kwa kuwa tu 'hautambui' misingi ya dhamira zako, jua hicho kwa kukatisha kipindi cha wakati, kitadhahirisha ubatili katika sura, mwenendo na ustawi wa jamii... 'Usafi wa Moyo' huandaa makazi kwa 'Pendo lenye Ukombozi'... Usafi wa Moyo tunaufanyia kwetu tukiwa na roho ya kusamehe na kujisamehe... Pendo hili la kutukomboa ndilo litakalo tutakasa na kutuinua tuwe 'lulu' na 'hazina' kwa mambo yaliyodhahiri na yale yasiyodhahiri...

Ili, akili ya kimaskini ishughulikiwe, hatuna budi kuazmia kufanya macho yetu mawili kuwa jicho moja... Jicho la Upaji... Unusu nusu wa sayansi, kupitia 'Jicho la Upaji', sayansi nayo 'itazaliwa upya'... Na akili kama injini ya kognisha inaweza kutupatia suluhu ya mengi ambayo kwa leo tunayatazama kwa 'macho mawili' -- adha za 'kupata' na 'kukosa'... Tutakapoanza kujua 'Mzungu anazungushana nasi Jangwani', njia ya kuchomoka ni 'Akili ya Usanisi'

Na hata hapa nchini mwetu, tunahitaji kuwajengea watu wengi iwezekanavyo, uwezo wa 'kiufikirifu mifumo'...



Tayari miongoni mwetu yapo maarifa ya kujenga upya Taifa, na kubadili 'mkosi' kuwa 'bahati'...

Hmmm
 
Hakikisha una card ya chama cha mboga mboga
Pengine hiyo inaweza kumsaidia aliye nayo kupata mboga mboga, lakini siyo kigezo cha msingi katika kuweka msingi bora kwa maendeleo ya jamii.

Aliye na kadi ya aina yoyote na asiye na kadi ya aina yoyote sote ni wamoja tukiwa na uelewa mkubwa kiasi cha kutanguliza masilahi ya jamii/Taifa na ubinaadamu/utu kwa ujumla zaidi ya mboga mboga kwa ajili ya tumbo la mwenye tumbo tu.
🙏🏾🌳🌳....
 
Sasa, tumeingia kwenye 'maendeleo kwa kuchangia'--HARAMBEE... Busara fulani kitumika, tutaenda kuumaliza umaskini. Ndiyo, niajabu kusema uwezekano wa mabadiliko makubwa ya vyombo ya makusanyo na mifuko ya hazina za nchi lakini hili pekee yake halitoshi... Sekta binafsi hapa nchini kwetu bado ni hafifu kirasilimali watu na mizingira ya viwanda. Ili kuleta maendeleo, tutahitaji 'ufikirifu mifumo' na si 'uchambuzi' kwa mzizi wa 'fitina ya mambo'...


Dhana ya #Maendeleo_kwa_Kuchangia ipo katika hatua za mwanzo...

Watu kama jamii wanayoadha fulani kitabia, mapokeo na vitendo inayowafanya 'kutopenda mabadiliko'.

Mabadiliko yana 'gharama'...

Katika jukwaa la tawala na menejimenti, kuna shughuli moja nzito pale chombo cha watu kinapojinasibu na 'mabadiliko' yanayogusa mfumo mzima wa chombo husika kujiendesha kwa manufaa--tena kwa kusudi jipya la kimaendeleo...

Nchi-Taifa pia ni chombo; cha watu wengi wanaojipambanua kiustawi na maendeleo yake--kati ya jumuiya pana ya kimataifa.

Siasa za Nchi, ni muakisiko wa 'machaguo ya kitaasisi'--kupitia mifumo ya mapokezano ya tawala, utumishi na miongozo kiwakati.

Duniani kote bado tuna mifumo 'punguza lawama' zaidi kuliko 'imarisha uwezo, kujituma na uwajibikaji': watendaji wengi katika utumishi, hata kama wanadhamira ya dhati ya kuleta mabadiliko, wao wanajikuta wapo katika mifumo isiyorafiki sana kwa mabadiliko ya 'ghafla'... Sasa, mabadiliko daima yana ama sura mbili; (1) ya kike na (2) ya kiume... Hayo ya kwanza, ndiyo namna ya mambo ya mabadiliko yenye kuja hatua kwa hatua, fupi fupi na taratibu... Ya pili, ni ndiyo ya 'jumla jumla' na kwa mkupuo mmoja...

Sisi watu, kama jamii, tungekuwa na siha njema, nidhamu na uwajibikaji, basi ni dhahiri daima tungeng'amua 'mifume dume' ni 'kansa kwa maendeleo ya kweli' popote pale duniani... Labda yaweza kuwa ni 'maendeleo ya vitu' lakini isiwe 'watu'. Kwa namna hii watu daima watabaki kuwa kama ni 'msafara wa Mamba, kenge nao wamo'...

Siasa za dunia leo hii, ni 'uwanja wa fisi'... Unafiki, kuliana taimingi, mbio za kuzidiana/kuzibiana nafasi/fursa n.k -- kwa upumbavu wa kudai eti ndiyo 'ushindani'; tena wenye kunasibisha 'Tija katika Maendeleo'--#URONGO WA KISOMI..,

Kesho haitakuwa hivi.

Takribani kufika 2050, tayari duniani tutakuwa sura mpya za tawala za maendeleo na ustawi. Mabadiliko haya tayari yako njiani, wenye macho, waliojiandaa na wanaondaliwa wanalijua hili kwa namna fulani ndani ya mioyo yao; na kwa wao kubaki na 'subira, sala na kazi' katika maisha yao.

Misingi ya itikadi za kusimama kitaifa, zilizoasisi na taifa la Tanzania na Kenya, kwa ukanda huu wa Afrika ndizo zenye 'ufunguo' wa Maendeleo ya kweli; ya watu na vitu: kauli mbiu za 'Uhuru na Umoja' na 'HARAMBEE'...

Bado kuna yanayosubiri...

Umma wa sisi watu wa Afrika Mashariki, bado hatujamka kubaini na kuitambua dhana ya 'Uhuru' --kwamba upo wa kiinje na wa hadi ndani. Kwa kiinje, uhuru unajinasibu na 'danganya toto kula kande mbichi' -- yaani hata yale mapelekeo yote ya 'siasa na ngendembw'e zote za ulimwengu wa 'demokrasia ya kiliberali'-- 'unafiki' wa mwendokasi wa #POROJO ZA KISOMI juu ya falsafa uwakilishi na mifumo -- Vile hata watu wanawezakudanganywa kwa makundi, kudhani wanayo 'ya kuchagua' na kumbe sivyo hasa-- SI HASA.

Uhuru wa kiundani, tuuite 'liberiti'; huu bado haujamea katika utu na nafsi zetu hasa. Ukifika basi kile Yesu alikitaja kama 'Kweli iwekayo mtu huru kweli kweli' itakuwa imewadia katika ustawi wetu; bado kidogo, inakuja na itafika...

Uhuru una mambo mawili, 'kutoka kwa'/'kwa ajili ya'; yaani kana kusema (1)kutoka kwenye hali moja iliyokufunga na hapo hapo (2)kuliendea 'jambo lako' ulitakalo --lipi? Ndivyo kwa nini Awamu ya Kwanza kwa Serikali ya Tanganyika ilikuwa na kauli mbiu 'Uhuru na Kazi'... Ulitakalo halina budi kufanyiwa kazi ama sivyo je, itawezekanaje kufafanua 'ukweli' na 'muktadha' wa uhuru wako?

Uhuru unakwenda sambamba na 'wito' na pia 'uwajibikaji'.

Huzuni, Machungu ni mwanzo wa utungu kwa jamii yenye nasibu ya kuhama kutoka ustawi wenye mateso kuelekea ustawi wenye 'Furaha' na 'Kheri ya kweli'... Sasa mtu haishi kwa 'mkate' tu, mtu anayo kheri na baraka anapong'amua yeye si 'mtumwa' katika mapana ya nchi na ustawi wake jumuizi-- isiyofikiri kupitiliza vikomo vyake vya 'kivina vya tafsiri' kwa mambo yake. 'Mkate' ni neno Yesu alilitumia siku za nyuma lakini karne hii tutalitambua fika kuwa ni metafo ya 'uchumi'--mapana yote ya 'uzalishaji' ama/na 'ulaji' kijamii. Na kupitia namna fulani ya 'hekima' tutaelewa fika, '#UJAZI' ni kitu 'kilichosahaulika' ambacho chafanya #HOJA_ZA_KISOMI, nyingi zake, kuonekana ni 'mushkeli', hususani KIUCHUMI na Uono wake kwa mambo; Yesu anajibu ambalo lafanya hata Wachumi wote wa Leo kuwa ni 'Washamba' kwa kuwa kiufundi alikuwa ni mtu aliyefanya 'macho mawili kuwa moja'...

Ujazi ni dhana kinyume na porojo na ushamba wote wa tasfiri na mapelekeo yote ya 'uhaba wa rasilimali'... Uhaba wa kirasimali si kwa vitu, malighafi na mbinu-kazi... '#Akili_ya_Kimaskini' kwa mfano, ni ugonjwa unaweza kuwa husu watu wote -- wasomi na hata wasio wasomi; na basi kuathiri nasibu za 'mielekeo' na 'machaguo ya kitaasisi' juu ya 'maendeleo ya kweli ya umma'...

Kwa mfano, wasomi na wataalam leo hii wanaweza kuchezeshwa 'sikinde-ngoma ya ukae' kwa paradaimu za rasilimali fedha, taasisi na mipango; na hawa wakakosa jukwaa la fikra mbadala juu ya 'uhitaji' na 'utoshelezi' kijamii. Hii ni kwa kuwa dunia imejaa wacheza ngoma wanaoigana kucheza ngoma, ubunifu na mbinu kwa mambo yale yale yenye 'mushkeli' katika 'vina vya tafsiri'. Hawa hucheza ngoma za mashetani wasiyoyajua... Na hao hao basi pia hugeuka 'mashetani' wenye kujivika 'mavazi ya malaika'--taasisi za umma zinazojikimu kwa 'utaalam' na 'mapeleko ya 'usomi wa kileo'...

#LIBERITI kufanyika katika sisi ni sawa na 'Kristu' kuja tena; katika hili tunafanyika 'watu wapya'; kung'ara na 'kuishi zaidi'. Kwa kwa kuwa 'kuishi zaidi' ndiyo mapelekeo ya 'ujazi' na mtu kuwa huru kweli kweli... Basi namna ya utambuzi ulio ni bora kuliko hivi leo, katika liberiti, ndiyo 'Ufahamu Kristu' katika mtu... Tukiwa nao huu, sisi twawa 'chumvi' na 'nuru' ya dunia--Yesu alipata kusema hivi siku za nyuma lakini leo hii, hili tulitambua fika kuwa ni metafo kwa 'Utamaduni'...

Utamaduni wa kweli na halisi si 'kutunza na kudumisha mila na desturi za wazee waliotutangulia' bali 'mtu kuwa taa na kiongoza kwa njia yake yeye mwenyewe'... Pale ambapo watu wanaongozwa toka ndani, kweli daima huwa ni 'moja'--hiyo tu ndiyo nuru ya uponyaji kwa utengano wetu na adha zote za 'kufikia' kijamii... Kwa hivyo hatuunganishwi na katiba, dini, kabila wala tamko/kauli mbiu zetu kitaifa bali 'nuru ya utu' kutokea ndani yetu... Kwa hivyo ipo nasibu siku moja, sisi watu wa Tanzania tunaweza kunasibu nchi yetu kuwa jimbo la '#Kwanzania' ndani ya Taifa la Afrika -- kutoka 'Tanzania' hadi 'Kwanza Nia' -- tutakapokuja kuelewa alama ya 'mwenge kwenye Mlima Kilimanjaro' ilikuwa na maana gani ya ndani kitopografia.... Uhuru na Umoja katika Liberiti...

Vivyo hivyo kwa #HARAMBEE...

Leo tuna Chuo Kikuu kimoja katika mteremko wa Mlima Kilimanjaro, tunakitambua kuwa ni Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi; tusilobaini leo hii ni kuwa hicho chuo chenye nasibu ya kuwa chuo cha kwanza kuja kufundisha namna mpya ya uchumi katika jamii inayojinasibu na 'Liberiti' -- #UCHUMI_MAMA... huu utakuwa ni usanisi wa Harambee na Liberiti... Huu wakati wake ukifika, itakuja kufahamika wazi Mwalimu Nyerere na wenzake walitoa wapi fikra ya 'Ujamaa na Kujitegemea'--ambayo bado ni itikadi ya Chama cha Mapinduzi na siku moja mkamilisho wake utafika. Harambee ni kwa Watu wenye kujitahidi pamoja kwa fanaka zao, ustawi na maendeleo--kwa pendo moja na amani... Uchumi mama utaleta paradaimu mpya ambapo kazi na maendeleo vitakwenda sambamba na fedha itakuwa ni 'changamsha damu'; fedha, mipango na kazi vitachukua sura fulani ya kipekee ambayo leo hichi cha 'tozo kuhusika' kwenye miamala yote ndiyo mwanzo wake hasa...

Amani ya Tanzania hata sasa ni tungalizi kwa jambo jingine linalokuja... Amani hiyo siyo kama hii ya leo iliyo ni tunda la unyonge na umaskini; katika kipindi hichi cha mpito, wacha hili libaki kuwa 'Tumaini'--lakini 'mwenge wa Uhuru' una maana ndaniyi...


Maendeleo kwa Kuchangia--HARAMBEE; ni mwanzo mgumu kidogo kwa jamii ya sasa tusomapo haya, lakini tutaanza kusaidiana katika 'nuru' ili watu wakubali 'Ubatizo Mpya' kwa moyo mkunjufu na Saburi... Uhuru ni Kujitegemea, lakini ulimwengu wa leo ni uwanja wa fujo--kujitegemea 100% ni muhari; kwa hiyo busara fulani itaendelea kutufikia ili kutusaidia sisi kufanya 'machaguo sahihi ya kitaasisi', 'matukio' na 'wakati'... Sasa tunasibike kutambua ulimwengu wa kesho ni wa 'mashirikiano' na si 'Ushidani'... Yesu aliposema: "tuwe werevu kama nyoka na wapole kama hua", hii ni metafo kwa ujuzi tunaouhitaji sana katika siku za leo ambapo tunahitaji kufikiri kama 'mashetani' na hapo hapo sisi kuwa ni 'wajumbe wa Amani'... Unaweza kujua yote kuhusu Uchumi na Siasa, lakini haya ni ya 'Kaizari'... Unaweza pia kuwa mtu ndani ya kaizari na kumbe wewe si wakaizari... Ichunge dhamira yako, kaza nia yako iwe ni 'nia ya Kristu'...

Moja la angalizo; mifumo ya fedha ya kidijitali inatunasibu na 'mtego mwingine wa noti'...

Sarafu-kripto siyo salama sana kama umma usiotaarifika hata viongozi kufikiri... Una 'wajanja' wake 'waliojikausha'; tusipojielewa kujiingiza na humo kichwa kichwa kuna 'nasibu ya mkondo mbaya' wa kuja kuwa 'mateka' katika uwanda wa matumizi na domaini ya 'Akili Bandia' siku za mbele....

Sera ya Tehama siku za mbele inatakiwa isukwe upya, kuwa sera ya uvichuali, ili itoe muongozo wa kukabiliana na vitisho vya domaini ya Akili Bandia; ama sivyo 'Mwenge wa Uhuru katika Mlima Kilimanjaro' utapotezwa na mkondo mbovu wa 'matukio ya kiwakati' kujipenyeza...

Hmmm
 
Back
Top Bottom