Bila CCM hii kutoka umasikini hautaisha

Bila CCM hii kutoka umasikini hautaisha

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,584
Reaction score
14,900
Umasikini hautaweza kuisha Tanzania chini ya CCM kwasababu imejegwa kwa maneno matupu, undugu, udikteta na ujamaa ambao hauzingatii sera za kuongeza uzalishaji na productivity. Wanaopenda CCM iendelee wajue umasikini utaendelea.

Omba omba itaendelea tu mpaka hiki chama na Tanzania kutokee mapinduzi kama ni ndani ya CCM na ndani ya vyombo vya usalama.

Misaada tunayopata leo kutoka hizo nchi tajiri ni kwasababu hatuzalishi chochote. Hatuwezi kuzalisha kwa mfumo huu wa CCM



View: https://youtube.com/shorts/XkNtfBr3BCk?is=IdS-Ni-zDwbncoSv
 
Huo ndio ukweli! Kwasasa wanajisemea "haya mashenz tunayaweza kivyovyote, tunafanya tunalotaka". Hapo tutasota had bac
 
Umasikini hautaweza kuisha Tanzania chini ya CCM kwasababu imejegwa kwa maneno matupu, undugu, udikteta na ujamaa ambao hauzingatii sera za kuongeza uzalishaji na productivity. Wanaopenda CCM iendelee wajue umasikini utaendelea. Omba omba itaendelea tu mpaka hiki chama na Tanzania kutokee mapinduzi kama ni ndani ya CCM na ndani ya vyombo vya usalama. Misaada tunayopata leo kutoka hizo nchi tajiri ni kwasababu hatuzalishi chochote. Hatuwezi kuzalisha kwa mfumo huu wa CCM



View: https://youtube.com/shorts/XkNtfBr3BCk?is=IdS-Ni-zDwbncoSv

completely nonsense 🐒
 
CCM bado ipo sana!
As long as yanga ipo na inabeba ubingwa,huwezi kuiondoa ccm.Familia zinazotawala nchi wote ni wana yanga na wana wafuasi lia lia.
Hata nchi ikifilisika ili mradi yanga bingwa ccm itaendelea kubaki madarakani.
Changamoto kubwa sana yetu ni upungufu wa akili.
Si ccm,chadema,wasomi au hata wananchi,tuna kiwango cha chini sana cha akili,inazidi kidogo tu akili za wanyama ila hatujafikia kiwango cha akili ya binadamu kamili.
Hili ni tatizo la baadhi ya nchi za Afrika.
 
Kwa hiyo hapo kwenu matajiri wametokana katika uongozi wa chadema? Acha kubeti fanya kazi
 
Kabla hutujainyooshea kidole ccm,inatakiwa tujitathmini sisi watanzania kwanza
 
Back
Top Bottom