ijumaa, jmosi na jpili. ila jpili siku hizi haweki sijajua sababu ingawa ratiba alipanga mwenyewe steveDuh mkuu nikumbushe rariba ilivyo maana kila baada ya lisaa nakagua
Naona mzee ndo leo alhamisi nasubiria mieeeSiku za kurushwa simulizi zitakuwa Alhamis na Jumamosi!
☆Steve
Mkuu habar,naomba nami unitag,asanteUsijali mwana kolomije.
☆Steve
Tupia nondo
Steve kwema?punga hata mkono tujue bacHaya njoeni wazee. Nimewatumia ya Ijumaa na Jumamosi.
☆Steve
Shusha vitu mkuuMpaka na PM jamani.
umekuja mbona hatukuoni mzeeMpaka na PM jamani.
Wakuu, nimekujaa!