Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,621
Steve unajua utatuua na pressure wenzioWakuu, nimekujaa!
Steve unajua utatuua na pressure wenzioWakuu, nimekujaa!
Nshafuta mkuu. Natuma nyingineMkuu Steve mollel umerudia mkuu
Hahaha pole Tumosa. Presha yani na mie nipo hapa?Steve unajua utatuua na pressure wenzio
Nakuona mkuu wangu. Pamoja sana.Safi mkuu nakufuata kama kivuli mkuu
Karibu sana mkuu.Dah, kitu mujarabu kimetulia Sana, ahsante sana mkuu
Kweli tupo pamoja mzee.Rais mhuni sana,ila naiona njia yake ya kupinduliwa na kone.
Sasa siera mapinduzi, Liberia mapinduzi na Guinea napo mapinduzi yananukia
Hujaweka ya leo mkuu mana ni ijumaa jmosi na j2Karibu sana mkuu.
☆Steve
Presha ya kukosa utamuHahaha pole Tumosa. Presha yani na mie nipo hapa?
☆Steve
Nakuona mke mweee maeneo muhimu hkutivu sante
kweli kikulacho kinguoni mwako huyu raisi anamtuma kone makazi magumu kumbe ajivinjari na mkewe
halaf massawe ulisema raisi atakua anamkula huyo mwanamke
Leo huweki SteveKweli tupo pamoja mzee.
☆Steve