Njia nitakazotumia kupunguza deni la taifa

Njia nitakazotumia kupunguza deni la taifa

Ikiwa utaanza na kubadilisha culture ndo utaifanya nchi kukaa katika mfumo wa kujiletea maendeleo.

Ningependa Leo ujifungie maktaba ujaribu kuandika kuhusu swala la culture
Kuna uzi ntauleta utakuwa na title Tanzania culture revolution bado nauandaa ukikamilika ntaupost na kukutag
 
Mimi nikiwa raisi kutakuwa na wabunge. 30,mawaziri 12 ,hakuna naibu waziri,
Kuwa mbunge ni lazima uwe na masters na kuendelea,lazima umiliki walau m 100,nitafuta wakuu wa wilaya na makatibu wao,nitafuta ma ded kwenye halmashauri,Kila mbunge atalipwa flat rate 4000000/,Gari zitakuwa za umma ukistaafu unaacha ofisini.nitawekeza sana kwenye sekta ya kilimo cha nafaka na matunda,
Rushwa itakuwa ni wimbo uliosahaulika.watu wataajiriwa kulingana na ufaulu wao na weledi wao.wazee wote watatunzwa kwenye maeneo maalumu kwa hiyari.nitashusha sana ushuru wa vyombo vya moto ili Kila mtanzania amiliki gari au piki piki.vitu kama trecta vitaingia free.nitajenga makazi ya nchi nzima,hakuna Tena Kila mtu kumiliki nyumba yake,badala yake Kodi ya kumiliki nyumba zitakuwa maradufu ,lakini nyumba za serikali zitapatikana kwa Kodi nafuu sana .hakutakuwa na makahaba Wala mashoga,nitahakikisha literacy rate inafikia 98% .waalimu watakuwa ndio wenye mshahara mkubwa kuliko sekta zote.veta zote zitakuwa ni bure.miji yote itapangwa kikamilifu.kutakuwa na viwanda vya kimkakati vya nguo ,magari pamoja na bidhaa za kielectronics
 
Usishangae kuna majimbo marekani yana income tax ambayo ni flat rate kwa jina lingine inaitwa proportional tax
Kaz kwelikweli. Yaani bongo ufananishe na marekani??? Hio suggestion ni upuuzi alafu naomba nitajie jimbo mojawapo la marekani. Regressive is the best model for taxation especially in countries with high Lorenz curve kma tz.Swal Lang la mwisho we ni mjamaa au mbepari?
 
Nyongeza ni lazima uhakikishe sekta ya KILIMO na MADINI zina kua kwa kasi ya ajabu tena ziwe chini ya wa Tz wenyewe. Ili wawe na mazao mengi yatakayo watosha wao na wakauze nje pia hivyo hivyo kwenye MADINI. sekta za madini zimilikuwe na wazawa wenyewe (Bukinafaso kwa sasa wamesimama wenyewe kwenye madini yao. Juzi nimesikia taarifa tangu Traore abinafsishe migodi wameingiza dolla billioni 18 😁 can you imagine, kama hizo taarifa ni za kweli si wana songa mbele aisee...
 
Mimi nikiwa raisi kutakuwa na wabunge. 30,mawaziri 12 ,hakuna naibu waziri,
Kuwa mbunge ni lazima uwe na masters na kuendelea,lazima umiliki walau m 100,nitafuta wakuu wa wilaya na makatibu wao,nitafuta ma ded kwenye halmashauri,Kila mbunge atalipwa flat rate 4000000/,Gari zitakuwa za umma ukistaafu unaacha ofisini.nitawekeza sana kwenye sekta ya kilimo cha nafaka na matunda,
Rushwa itakuwa ni wimbo uliosahaulika.watu wataajiriwa kulingana na ufaulu wao na weledi wao.wazee wote watatunzwa kwenye maeneo maalumu kwa hiyari.nitashusha sana ushuru wa vyombo vya moto ili Kila mtanzania amiliki gari au piki piki.vitu kama trecta vitaingia free.nitajenga makazi ya nchi nzima,hakuna Tena Kila mtu kumiliki nyumba yake,badala yake Kodi ya kumiliki nyumba zitakuwa maradufu ,lakini nyumba za serikali zitapatikana kwa Kodi nafuu sana .hakutakuwa na makahaba Wala mashoga,nitahakikisha literacy rate inafikia 98% .waalimu watakuwa ndio wenye mshahara mkubwa kuliko sekta zote.veta zote zitakuwa ni bure.miji yote itapangwa kikamilifu.kutakuwa na viwanda vya kimkakati vya nguo ,magari pamoja na bidhaa za kielectronics
Dah wewe una mawazo mazuri sana .
 
Kaz kwelikweli. Yaani bongo ufananishe na marekani??? Hio suggestion ni upuuzi alafu naomba nitajie jimbo mojawapo la marekani. Regressive is the best model for taxation especially in countries with high Lorenz curve kma tz.Swal Lang la mwisho we ni mjamaa au mbepari?
Nimeongelea tax
Dunia nzima tax ni zile zile haijalishi ni nchi tajiri au maskini
Kwenye income tax naamini iwe proportional tax

Haya majimbo yana flat individual income tax (proportional individual income tax) ni colorado, Illinois, Michigan, and Pennsylvania
 
Dah wewe una mawazo mazuri sana .
Asilimia kubwa ya alichokiongelea nimeshaongelea kwenye nyuzi zangu ambazo zinafika 60+

Umwagiliaji nimeshaongelea ntaanzisha scheme kubwa za umwagiliajia nyuzi zipo

Kutakua na masterplan ya nchi nzima ambayo itakuwa kwenye 3d na kuanzia mwenye kiti atakuwa na hardcopy ya mtaa wake

Na mengine mengi na mengine yanakuja
 
Deni la Taifa limekua sana na kila mtu analalamika kivyake lengo la uzi sio kutupia lawama sehemu yeyote ile bali kuja na siluhisho

Mimi nina mpango wa kuwa Rais wa Tanzania zifuatazo ni njia ntakazotumia Kupunguza ukuaji wa deni la Taifa
  1. Kupunguza kodi (mfano VAT asilimia, corporate tax asilimia 8, individual income tax asilimia 5 flat rate)
  2. Kupunguza mishahara ya wabunge na kuwa million 7 take or leave it
  3. Kuondoa mikopo ya gari kwa wabunge wakitaka magari watanunua kimpango wao kama ilivyo kwa watumishi wengine
  4. Kupunguza misafara ya viongozi na kuwa midogo
  5. Ni kosa la jinai kwa watumishi wa umma kufanya kazi nje ya ofisi kwa malengo ya kufosi per diem lazima uwe na sababu za msingi
  6. Miradi yote mikubwa kama treni, barabara, flyover itafanywa na makampuni ya watanzania Hakutakuwa na compromise lengo kuhakikisha fedha yote inayotumika kwenye ujenzi ambayo ni nyingi sana inabaki Tanzania ili kubost Multiplier effects. Imagine zile Trillion 15 na zaidi zilizotumika kuwalipa makampuni ya nje zingebaki hapa Tanzania ni wazi zingeboost ukuaji wa uchumi
  7. Magari ya serikali yatakuwa yananunuliwa mara moja kila baada ya miaka 5 na sio kila mwaka kama ilivyo sahivi
  8. Serikali kufanya biashara, ukienda nchi za gulf moja ya mafanikio yao ya haraka sana ni pale Serikali zao zilipofanya biashara mfamo mashirika ya Emirates, etihad, oramco ceo wao ni wazungu. Kwa Tanzania mashirika kama ya TANESCO, MWENDOKASI, MIGODI N.K maceo wao watakuwa ni foreigner ambao watawekewa target lengo ni kuhakikisha yanakuwa na faida na inabaki hapa Tanzania


Hoja zako za kupunguza deni la taifa ziko na mapungufu makubwa ambayo yanazidi kuonyesha ukosefu wa mipango thabiti na uelewa wa hali halisi ya Tanzania!
  1. Kupunguza kodi (VAT, corporate tax 8%, individual income tax 5% flat rate): Unaota nini? Kupunguza kodi kwa kiwango hicho ni kujiua kiuchumi! Mapato ya serikali yatapungua vibaya, na utarudi kulalamika deni linakua tena kwa sababu hakuna fedha za kutosha!
  2. Kupunguza mishahara ya wabunge kuwa milioni 7: Milioni 7 bado ni pesa nyingi sana kwa wabunge ambao wengi wao hawafanyi kazi ya maana! Hii itawavutia wanasiasa wa kurukaruka tu, na utawala utakuwa mbovu zaidi!
  3. Kuondoa mikopo ya gari kwa wabunge: Fikiria kidogo! Wabunge wengi wako vijijini, watawezaje kufika maeneo yao bila magari? Hili ni wazo la kipumbavu lisilo na mkakati wa kumudu usafiri wao!
  4. Kupunguza misafara ya viongozi: Wazo lako ni zuri lakini linakosa miguu! Bila sheria za wazi za kusimamia ukubwa wa misafara, viongozi wataendelea kufanya wanavyotaka, na utabaki kulia tu!
  5. Kosa la jinai kwa watumishi wa umma kufanya kazi nje ya ofisi: Hii ni upumbavu mtupu! Unawazuia watumishi wa umma kama madaktari au walimu kufanya kazi muhimu nje ya ofisi kwa sababu ya per diem? Utaharibu huduma za umma kabisa!
  6. Miradi mikubwa kwa makampuni ya Watanzania pekee: Una akili gani? Makampuni ya ndani hayana uwezo wa kutekeleza miradi mikubwa kama treni au barabara za kimataifa! Hii itasababisha ucheleweshaji, ubora duni, na gharama za ziada—fedha za Watanzania zitapotea tu!
  7. Magari ya serikali kununuliwa kila baada ya miaka 5: Hilo ni wazo la kijinga! Bila bajeti ya matengenezo, magari yatachakaa haraka, na serikali itarudi kununua mapya kabla ya miaka 5—hii si kuokoa, ni kupoteza zaidi!
  8. Serikali kufanya biashara na CEOs wazungu: Una ndoto za mchana! Tanzania sio Ghuba; hatuna miundombinu wala mazingira ya kisheria ya kuendesha biashara za serikali kwa staili hiyo. Na kuajiri wazungu kunaweza kuamsha chuki za kisiasa na kuwakataza wataalamu wa ndani fursa!
Hitimisho: Hoja zako zina nia nzuri lakini ziko mbali na uhalisia wa Tanzania! Zimejaa mapungufu, hazina mkakati wa utekelezaji, na zinaweza kuongeza machafuko badala ya kupunguza deni. Fikiria upya kabla ya kuota kuwa Rais!
 
Hoja zako za kupunguza deni la taifa ziko na mapungufu makubwa ambayo yanazidi kuonyesha ukosefu wa mipango thabiti na uelewa wa hali halisi ya Tanzania!
  1. Kupunguza kodi (VAT, corporate tax 8%, individual income tax 5% flat rate): Unaota nini? Kupunguza kodi kwa kiwango hicho ni kujiua kiuchumi! Mapato ya serikali yatapungua vibaya, na utarudi kulalamika deni linakua tena kwa sababu hakuna fedha za kutosha!
  2. Kupunguza mishahara ya wabunge kuwa milioni 7: Milioni 7 bado ni pesa nyingi sana kwa wabunge ambao wengi wao hawafanyi kazi ya maana! Hii itawavutia wanasiasa wa kurukaruka tu, na utawala utakuwa mbovu zaidi!
  3. Kuondoa mikopo ya gari kwa wabunge: Fikiria kidogo! Wabunge wengi wako vijijini, watawezaje kufika maeneo yao bila magari? Hili ni wazo la kipumbavu lisilo na mkakati wa kumudu usafiri wao!
  4. Kupunguza misafara ya viongozi: Wazo lako ni zuri lakini linakosa miguu! Bila sheria za wazi za kusimamia ukubwa wa misafara, viongozi wataendelea kufanya wanavyotaka, na utabaki kulia tu!
  5. Kosa la jinai kwa watumishi wa umma kufanya kazi nje ya ofisi: Hii ni upumbavu mtupu! Unawazuia watumishi wa umma kama madaktari au walimu kufanya kazi muhimu nje ya ofisi kwa sababu ya per diem? Utaharibu huduma za umma kabisa!
  6. Miradi mikubwa kwa makampuni ya Watanzania pekee: Una akili gani? Makampuni ya ndani hayana uwezo wa kutekeleza miradi mikubwa kama treni au barabara za kimataifa! Hii itasababisha ucheleweshaji, ubora duni, na gharama za ziada—fedha za Watanzania zitapotea tu!
  7. Magari ya serikali kununuliwa kila baada ya miaka 5: Hilo ni wazo la kijinga! Bila bajeti ya matengenezo, magari yatachakaa haraka, na serikali itarudi kununua mapya kabla ya miaka 5—hii si kuokoa, ni kupoteza zaidi!
  8. Serikali kufanya biashara na CEOs wazungu: Una ndoto za mchana! Tanzania sio Ghuba; hatuna miundombinu wala mazingira ya kisheria ya kuendesha biashara za serikali kwa staili hiyo. Na kuajiri wazungu kunaweza kuamsha chuki za kisiasa na kuwakataza wataalamu wa ndani fursa!
Hitimisho: Hoja zako zina nia nzuri lakini ziko mbali na uhalisia wa Tanzania! Zimejaa mapungufu, hazina mkakati wa utekelezaji, na zinaweza kuongeza machafuko badala ya kupunguza deni. Fikiria upya kabla ya kuota kuwa Rais!
Hakuna mabadiliko yatafurahiwa na watu
 
Nimeongelea tax
Dunia nzima tax ni zile zile haijalishi ni nchi tajiri au maskini
Kwenye income tax naamini iwe proportional tax

Haya majimbo yana flat individual income tax (proportional individual income tax) ni colorado, Illinois, Michigan, and Pennsylvania
why do you believe in proportional and not progressive or regressive? naomba pia unijibu maswal yang mengine pia. Na mwisho unajua Lorenz curve ya hayo majimbo?
 
Deni la Taifa limekua sana na kila mtu analalamika kivyake lengo la uzi sio kutupia lawama sehemu yeyote ile bali kuja na siluhisho

Mimi nina mpango wa kuwa Rais wa Tanzania zifuatazo ni njia ntakazotumia Kupunguza ukuaji wa deni la Taifa
  1. Kupunguza kodi (mfano VAT asilimia, corporate tax asilimia 8, individual income tax asilimia 5 flat rate/proportional tax)
  2. Kupunguza mishahara ya wabunge na kuwa million 7 take or leave it
  3. Kuondoa mikopo ya gari kwa wabunge wakitaka magari watanunua kimpango wao kama ilivyo kwa watumishi wengine
  4. Kupunguza misafara ya viongozi na kuwa midogo
  5. Ni kosa la jinai kwa watumishi wa umma kufanya kazi nje ya ofisi kwa malengo ya kufosi per diem lazima uwe na sababu za msingi
  6. Miradi yote mikubwa kama treni, barabara, flyover itafanywa na makampuni ya watanzania Hakutakuwa na compromise lengo kuhakikisha fedha yote inayotumika kwenye ujenzi ambayo ni nyingi sana inabaki Tanzania ili kubost Multiplier effects. Imagine zile Trillion 15 na zaidi zilizotumika kuwalipa makampuni ya nje zingebaki hapa Tanzania ni wazi zingeboost ukuaji wa uchumi
  7. Magari ya serikali yatakuwa yananunuliwa mara moja kila baada ya miaka 5 na sio kila mwaka kama ilivyo sahivi
  8. Serikali kufanya biashara, ukienda nchi za gulf moja ya mafanikio yao ya haraka sana ni pale Serikali zao zilipofanya biashara mfamo mashirika ya Emirates, etihad, oramco ceo wao ni wazungu. Kwa Tanzania mashirika kama ya TANESCO, MWENDOKASI, MIGODI N.K maceo wao watakuwa ni foreigner ambao watawekewa target lengo ni kuhakikisha yanakuwa na faida na inabaki hapa Tanzania
Mh. Rais wa mchongo!
 
why do you believe in proportional and not progressive or regressive? naomba pia unijibu maswal yang mengine pia. Na mwisho unajua Lorenz curve ya hayo majimbo?
Economic is an art avoid mambo ya kukariri
Proportional tax inafaida zake na hasara zake hakuna tax system ambayo ipo perfect

Jambo ambalo wanalipa individual income tax hawazidi hata million 3 wengi wako wapo kwenye informal sector ila kodi ikiwa iko direct na inaeleweka ni rahisi kueleweka

Tatizo la progressive tax inakuwa na bracket nyingi sana na ni ngumu kueleweka ni nzuri kwenye makaratasi ila sio kwenye implementation

In long run both proportional na progressive tax zinakuwa regressive
 
Njia kubwa kuliko zote ya kupunguza deni ni kuhakikisha unazalisha hapa nchini bidhaa unazoagiza. Hii ndiyo namba moja.
 
Economic is an art avoid mambo ya kukariri
Proportional tax inafaida zake na hasara zake hakuna tax system ambayo ipo perfect

Jambo ambalo wanalipa individual income tax hawazidi hata million 3 wengi wako wapo kwenye informal sector ila kodi ikiwa iko direct na inaeleweka ni rahisi kueleweka

Tatizo la progressive tax inakuwa na bracket nyingi sana na ni ngumu kueleweka ni nzuri kwenye makaratasi ila sio kwenye implementation

In long run both proportional na progressive tax zinakuwa regressive
Maswal yangu hujibu badala yake unaniaccuse ety nakariri like serious me nakariri ety. By the way, Economics is both an art and science. usiwe mjinga kuona colaroda kuna proportional bas naapa unaleta proportional bila kuangalia factors nyinginezo kama hio ya income inequality and tax base. Kuhusu kueleweka kumbuka tunazungumzia PAYE sasa waajiriwa weng niwasomi na wanaelewa na haiathri kwasababu huchajiwa before kufika mikononi mwao. By the way una safar ndefu sana ya kujifunza tax sio umesoma economics ya advance ndo ukajiona we ni guru wa tax! Acha huo ujinga kabsa.. Jifunze na acha ubishi unazidi kujioshenya ulivyo mjinga....Mwisho, suggestions nying tu ulizotoa hapo ni UTOPIAN
 
Maswal yangu hujibu badala yake unaniaccuse ety nakariri like serious me nakariri ety. By the way, Economics is both an art and science. usiwe mjinga kuona colaroda kuna proportional bas naapa unaleta proportional bila kuangalia factors nyinginezo kama hio ya income inequality and tax base. Kuhusu kueleweka kumbuka tunazungumzia PAYE sasa waajiriwa weng niwasomi na wanaelewa na haiathri kwasababu huchajiwa before kufika mikononi mwao. By the way una safar ndefu sana ya kujifunza tax sio umesoma economics ya advance ndo ukajiona we ni guru wa tax! Acha huo ujinga kabsa.. Jifunze na acha ubishi unazidi kujioshenya ulivyo mjinga....Mwisho, suggestions nying tu ulizotoa hapo ni UTOPIAN
Unataka mtu ajibu unavyotaka wewe

Wewe endelea kuamini unachoamini na mimi niache niendelee kuamini nachoamini

Wewe kusema suggestion nilizotoa ni UTOPIAN ni mawazo yako na sio sheria
 
Back
Top Bottom