Habar ya Leo, Naomba kushare na WA Tanzania wenzangu Kuna aina ya wizi mpya umeanza kushamili,
Iko hivi
Jana nikiwa nimekaa na familia yangu majira ya jion nilipigiwa simu na namba ngeni, nilipopokea sauti ilikuwa ya kiume ikiniita Mkuu samahani naomba unisaidie namba ya boda boda ambaye unamwamini nahitaji aniletee chakula eneo la new park range,
nikamjibu sawa mkuu mda si mrefu nikamutumia Ile namba ya bodaboda ambaye Mimi Huwa ananisaidia kazi, kumbe baada tu yakutumia namba alimpigia yule boda akamwambia namba
nimepewa na flani hivyo nahitaji kukuagiza chips uniletee na kweli yule bodaboda alikubali akaenda kuchoma chips wakati anachoma chips alipokea simu nyingne kutoka kwenye Ile namba
akamwambia naomba uniwekee shilling elf 30,000/ kwenye namba yangu hii ukiwa unaleta chips bas utakuja kuipata pesa Yako, kweli bodaboda alifanya hivyo Kwa kumuwekea pesa hiyo kwenye namba hiyo, na
Badaye aliendelea kuchoma chips baada tu yakumaliza kuchoma anampigia simu namba haipokelewi, alipiga Mara 3 namba haipokelewi akasema afike eneo alilotajiwa hakukuta mtu yeyote nipo alipo nitafta na kuniuliza nikawaambia ni kweli mtu huyo alinipigia na Mimi ndiye niliyemtumia namba nikajaribu Kumpigia Kwa namba yangu pia hakupokea, baada ya mda kidogo ndipo nilipogundua amemtapeli bodaboda Kwa kupitia Mimi,
Please ndg zangu naomba share kadri uwezavyo watu wapate uelewa huo.
Iko hivi
Jana nikiwa nimekaa na familia yangu majira ya jion nilipigiwa simu na namba ngeni, nilipopokea sauti ilikuwa ya kiume ikiniita Mkuu samahani naomba unisaidie namba ya boda boda ambaye unamwamini nahitaji aniletee chakula eneo la new park range,
nikamjibu sawa mkuu mda si mrefu nikamutumia Ile namba ya bodaboda ambaye Mimi Huwa ananisaidia kazi, kumbe baada tu yakutumia namba alimpigia yule boda akamwambia namba
nimepewa na flani hivyo nahitaji kukuagiza chips uniletee na kweli yule bodaboda alikubali akaenda kuchoma chips wakati anachoma chips alipokea simu nyingne kutoka kwenye Ile namba
akamwambia naomba uniwekee shilling elf 30,000/ kwenye namba yangu hii ukiwa unaleta chips bas utakuja kuipata pesa Yako, kweli bodaboda alifanya hivyo Kwa kumuwekea pesa hiyo kwenye namba hiyo, na
Badaye aliendelea kuchoma chips baada tu yakumaliza kuchoma anampigia simu namba haipokelewi, alipiga Mara 3 namba haipokelewi akasema afike eneo alilotajiwa hakukuta mtu yeyote nipo alipo nitafta na kuniuliza nikawaambia ni kweli mtu huyo alinipigia na Mimi ndiye niliyemtumia namba nikajaribu Kumpigia Kwa namba yangu pia hakupokea, baada ya mda kidogo ndipo nilipogundua amemtapeli bodaboda Kwa kupitia Mimi,
Please ndg zangu naomba share kadri uwezavyo watu wapate uelewa huo.