Njia gani itumike kwa huyu ili afanye mtihani wa form 6??

Nywilla

JF-Expert Member
Dec 2, 2016
379
349
Kuna kijana hapa mtahani ila amesoma tuition advance na alimaliza 4m 4 mwaka 2011 sasa anataka afanye mtihani wa six je atumie utaratibu upi aweze kufanya mtihani?, na je atafanya kama PC au SC?. Natanguliza shukrani kwa yeyote mwenye ujuzi wowote juu ya ili jambo!.
 
Back
Top Bottom