Njia bora zaidi za kupunguza uzito 3-4 kg kwa mwezi kwa njia ya lishe

Doctor MD

Senior Member
Jan 10, 2020
129
147
LISHE BORA KWA AFYA
Fuata maelekezo haya ili uweze kujua aina za vyakula ili kuboresha afya yako.

1. Ulaji wa mboga za majani na matunda mbalimbali ambayo yana rangi tofauti tofauti. Hii husaidia kuzuia magonjwa mbalimbali ambayo ni sugu kwa hiyo fanya ulaji wa matunda kuwa sehemu ya mlo wako wa kila siku.

2. Punguza ulaji wa vyakula vilivyopuliziwa dawa au kuzalishwa kwa madawa mbalimbali kama

3. Acha au punguza matumizi ya nafaka zilizokobolewa. Hii husaidia kupunguza kiwango cha sukari mwilini hovyo kuleta msawazo wa kiwango bora cha sukari katika mwili.

4. Kupunguza ulaji wa nyama kwa rika zote za umri hii hupunguza wingi wa mafuta katika mwili wa binadamu hivyo kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na saratani.

Kula chakula sahihi kwa kupunguza vyakula vya mafuta haswa mafuta ya wanyama kama nyama
5. Punguza ulaji wa vyakula vya chumvi nyingi, jifunze ulaji wa chakula kisicho na chumvi wakati mwingine itakusaididia sana.

6. Punguza au acha kula vyakula vilivyoongezwa flavour kama vile soda, pia acha kula vyakula vilivyoodheshwa ili kujengwa mwili mzuri Zaidi.

7. Punguza au acha kula vyakula ambavyo si salama katika utunzaji wake ili kuweza kuwa salama Zaidi kutoka katika magonjwa ya mlipuko.

8. Kunywa maji mengi nay a kutosha hii itasaidia mwili wakomkuwa salama Zaidi.

N.B; ulaji wa vyakula vyenye fiber kwa wingi huongeza kupungua uzito kwa haraka
Endapo njia hizo hapo juu hazikusaidii Basi Kuna supplement zisizo na madhara kwa mwili na zinaweza kupunguza uzito kwa haraka Sana

BY DR. MSOKWA
Ukihitaji msaada zaidi tupigie kupitia/WhatsApp 0757160773
Email: devidakimu@gmail.com
 
LISHE BORA KWA AFYA
Fuata maelekezo haya ili uweze kujua aina za vyakula ili kuboresha afya yako.
1. Ulaji wa mboga za majani na matunda mbalimbali ambayo yana rangi tofauti tofauti. Hii husaidia kuzuia magonjwa mbalimbali ambayo ni sugu kwa hiyo fanya ulaji wa matunda kuwa sehemu ya mlo wako wa kila siku.
2. Punguza ulaji wa vyakula vilivyopuliziwa dawa au kuzalishwa kwa madawa mbalimbali kama
3. Acha au punguza matumizi ya nafaka zilizokobolewa. Hii husaidia kupunguza kiwango cha sukari mwilini hovyo kuleta msawazo wa kiwango bora cha sukari katika mwili
4. Kupunguza ulaji wa nyama kwa rika zote za umri hii hupunguza wingi wa mafuta katika mwili wa binadamu hivyo kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na saratani.
Kula chakula sahihi kwa kupunguza vyakula vya mafuta haswa mafuta ya wanyama kama nyama
5. Punguza ulaji wa vyakula vya chumvi nyingi, jifunze ulaji wa chakula kisicho na chumvi wakati mwingine itakusaididia sana
6. Punguza au acha kula vyakula vilivyoongezwa flavour kama vile soda, pia acha kula vyakula vilivyoodheshwa ili kujengwa mwili mzuri Zaidi
7. Punguza au acha kula vyakula ambavyo si salama katika utunzaji wake ili kuweza kuwa salama Zaidi kutoka katika magonjwa ya mlipuko
8. Kunywa maji mengi nay a kutosha hii itasaidia mwili wakomkuwa salama Zaidi.
N.B; ulaji wa vyakula vyenye fiber kwa wingi huongeza kupungua uzito kwa haraka
Endapo njia hizo hapo juu hazikusaidii Basi Kuna supplement zisizo na madhara kwa mwili na zinaweza kupunguza uzito kwa haraka Sana

BY DR. MSOKWA
Ukihitaji msaada zaidi tupigie kupitia/WhatsApp 0757160773
Email: devidakimu@gmail.com
SIO RAHISI KAMA ULIVYOANDIKA HAPA

USITUPANGE KABISAA
 
Kwa mwenye dhamira Ana weza master
Cha msingi hapo Kama mtu akifel ku master Basi Kuna dawa maalum ambazo zinaweza fanya hiyo kazi
Karibu Sana
Point nzima ya bandiko lako iko hapa mkuu. Umezunguka sana bure tu
 
Point nzima ya bandiko lako iko hapa mkuu. Umezunguka sana bure tu
Brother Kuna njia nyingi za kupunguza uzito Kama ifuatavyo

1. Lifestyle modifications Kama vile Vyakula na mazoezi(ndio Kama nlivoandika kwenye huu Uzi)

2. Virutubisho ambayo navyo hufanya hiyo kazi ndio nlikuwa namwambia jamaa Kama akishindwa namba 1 Basi njoo namba 2

3. Halafu Kuna botanical medicine nazo ziko effective Sana Kama mtu akihitaji

4. Pia Kuna dawa za hospitalini Aina ya statin mfano atovastatin, simvastatin
 
LISHE BORA KWA AFYA
Fuata maelekezo haya ili uweze kujua aina za vyakula ili kuboresha afya yako.
1. Ulaji wa mboga za majani na matunda mbalimbali ambayo yana rangi tofauti tofauti. Hii husaidia kuzuia magonjwa mbalimbali ambayo ni sugu kwa hiyo fanya ulaji wa matunda kuwa sehemu ya mlo wako wa kila siku.
2. Punguza ulaji wa vyakula vilivyopuliziwa dawa au kuzalishwa kwa madawa mbalimbali kama
3. Acha au punguza matumizi ya nafaka zilizokobolewa. Hii husaidia kupunguza kiwango cha sukari mwilini hovyo kuleta msawazo wa kiwango bora cha sukari katika mwili
4. Kupunguza ulaji wa nyama kwa rika zote za umri hii hupunguza wingi wa mafuta katika mwili wa binadamu hivyo kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na saratani.
Kula chakula sahihi kwa kupunguza vyakula vya mafuta haswa mafuta ya wanyama kama nyama
5. Punguza ulaji wa vyakula vya chumvi nyingi, jifunze ulaji wa chakula kisicho na chumvi wakati mwingine itakusaididia sana
6. Punguza au acha kula vyakula vilivyoongezwa flavour kama vile soda, pia acha kula vyakula vilivyoodheshwa ili kujengwa mwili mzuri Zaidi
7. Punguza au acha kula vyakula ambavyo si salama katika utunzaji wake ili kuweza kuwa salama Zaidi kutoka katika magonjwa ya mlipuko
8. Kunywa maji mengi nay a kutosha hii itasaidia mwili wakomkuwa salama Zaidi.
N.B; ulaji wa vyakula vyenye fiber kwa wingi huongeza kupungua uzito kwa haraka
Endapo njia hizo hapo juu hazikusaidii Basi Kuna supplement zisizo na madhara kwa mwili na zinaweza kupunguza uzito kwa haraka Sana

BY DR. MSOKWA
Ukihitaji msaada zaidi tupigie kupitia/WhatsApp 0757160773
Email: devidakimu@gmail.com
Namba sita haijaeleweka
 
Back
Top Bottom