sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
- Thread starter
- #41
Mkuu wasaidie tu wakuelewe sbb hata mimi nakuunga mkono. Wanatusumbua sn hawa wanaume sbb akirud mara mbili tatu kwa mwanamke m1 tunackia keshabebesha mimba, mara mwanamke anapata ujasiri wa kupambana na mwenye mali (namaanisha mke wa jamaa) sababu tu wameshazoeana sn. Muwe mkigonga once hamrudiko tena!
Asante kwa kuelewa somo haraka.. Muache madam Karucee aendelee.. Ndo maana mchungaji wake wa upako alisema vijana wasioenda kanisani Jumapili na mafala... Sasa ngoja siku asiende hili tusi litamgusa moja kwa moja...