Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,011
Ukitaka kugundua asali iliyochakachuliwa kuna njia tatu!
Ni hayo tu wadau!
- Weka maji kwenye glass then tia tone la asali. Kwa asali isiyochakachuliwa, asali hiyo itaenda moja kwa moja hadi chini kwenye kitako cha glass
- Chukua njiti ya kiberiti, iloweke kwenye asali, ukiwasha lazima njiti iwake
- Chukua karatasi plain, weka asali juu yake, karatasi hiyo haitalowa upande wa pili tofauti na asali iliyochakachuliwa!
Asante sana mkuu kwa kujitolea kutoa darasa!
Mimi ni mdau ktk biashara ya kuuza asali ya jumla kuanzia lita 20 na kuendelea. Nanunua kwa uaminifu tu toka kwa watu watatu tofauti bila kutumia tests kama hizi. At least umenifumbua macho! Sasa nauliza, hivi muuzaji asali akichakachua kwa kuchanganya lita moja ya maji kwa kila dumu moja la lita 20 la asali, je mimi mnunuaji naweza tumia tests zako nikagundua kuwa asali imechakachuliwa?