laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
Du masikini sijui tuwafiche wapi wadogo zetu wa kiume jameni....
kwisha habari hapo
Tena inawezekana mume wa mtu huyu uwiii sijui wife unakimbilia wapi balaa hili
Yaani ni kuomba msaada wa Mungu tu!
so jamaa alikuwa anadinywa na dogo!!?
yan ni Mungu tu..watoto wetu jamani...
mi nikiona hivi akili inapaa sijui hawa watoto tuwaweke wapi