Mleta maada sidhani kama anauelewa wowote,na kama kweli unafundisha chuo basi naweza amini kuwa wanaofaulu kupitia kwako hawana chochote cha kufanyia kazi. Unajua inasikitisha sana kama kweli wewe ni una elimu then unashabikia jambo ambalo umeshindwa hata kuja na valid and or reliable evidence inayoweza kuthibitisha bila kuacha shaka juu ya hicho unachosema. Vinginevyo labda kama umeamua kujishusha grade makusudi kwa kiwango hicho