Strangest diet
Michel Lotito (France) (b. 15 June 1950) of Grenoble, France, known as Monsieur Mangetout, ate metal and glass from 1959 until his death last year. His diet since 1966 included 18 bicycles, 15 supermarket trolleys, seven TV sets, six chandeliers, two beds, a pair of skis, a low-calorie Cessna light aircraft and a computer. He is said to have provided the only example in history of a coffin (handles and all) ending up inside a man. By October 1997, he had eaten nearly nine tons of metal
Source:Telegraph
Ukiona documentaries za hawa watu wanaokula vitu vya ajabu ndio zinatisha zaidi. Ni aina ya kichaa lakini.
You could right. Kuna hali kitaalam wanaita PICA Pica (Eating Disorder): Treatments, Causes, Symptoms
lakini hii yakula vyuma na mbao nadhani imepitiliza. Lakini huwa inategemea aina ya bacteria aliozoesha tumbo lake kuwafuga au kujaaliwa kuwa nao, kwa sababau siellewi jinsi anavyoweza ku-digest baiskeli (of ni iron lakini amount ya mkupuo ni kubwa mno)
Just curious chooni anaendaje
King'asti, ulimwengu umesheheni watu wenye tabia za namna hii. Cheki hii link:Yaani mie naogopa kuona anakula nahisi atachomwa. Kama samaki tunakula kwa woga, seuze chuma? Kuna katoto niliangalia documentary kanakula tube lights.
ila mi nimesoma na mdada anatafuna toilet tissue. Yaani akienda class anabeba roll, anajichana taratibu