Itikia wito wa ICC achakurukaruka.wakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Mwisho wenu umekaribia. By any meanswakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Huwezi kuamini ni yule mjamaa halisia na msema kweli na mtenda haki ? Kweli njaa mbayaa sanaaProfessor Kabudi sasa ni wakili wa wauaji wa Oct 29
Njaa mbaya wazee wamukula matapishi yao.Professor Kabudi sasa ni wakili wa wauaji wa Oct 29
Nilitegemea ungefafanua ni wakili wa wauaji kivipi,?, Prof Palamagamba John, Aidan Mwaluko Kabudi, ni Professor wa sheria aliyehudumu kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na amepika maelfu ya wanafunzi , nikiwemo mimi, huwezi kumvunjia heshima kumuita wakili wa wauaji bila kuufafanua uwakili kivipi na wauaji gani. Huku sio kumtendea haki mwalimu wetu.Professor Kabudi sasa ni wakili wa wauaji wa Oct 29
Kama ni Prof.Kabudi ndiye wakili wa Gaidi Samia .Samuya anafungwa Prof.Kabudi anauwezo mdogo sana kwenye maswala ya mahakama
Kumbe ndio maana.Nilitegemea ungefafanua ni wakili wa wauaji kivipi,?, Prof Palamagamba John, Aidan Mwaluko Kabudi, ni Professor wa sheria aliyehudumu kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na amepika maelfu ya wanafunzi , nikiwemo mimi, huwezi kumvunjia heshima kumuita wakili wa wauaji bila kuufafanua uwakili kivipi na wauaji gani. Huku sio kumtendea haki mwalimu wetu.
P
Pumbavu limefundishwa na pumbavu pro max. What do you expect?Kumbe ndio maana.
Asee nilikua najiuliza maswali mengi sana lakini leo umenijibu vizuri.
Asee hongera kwa kufundishwa na huyu jamaa, ulifundishwa ukafundishika.
Wee mzee sometimes uwage hata na chembe ya aibu au haya.Nilitegemea ungefafanua ni wakili wa wauaji kivipi,?, Prof Palamagamba John, Aidan Mwaluko Kabudi, ni Professor wa sheria aliyehudumu kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na amepika maelfu ya wanafunzi , nikiwemo mimi, huwezi kumvunjia heshima kumuita wakili wa wauaji bila kuufafanua uwakili kivipi na wauaji gani. Huku sio kumtendea haki mwalimu wetu.
P
😂😂😂😂😂Pumbavu limefundishwa na pumbavu pro max. What do you expect?
They’re both dipshits.
Ndio utakavyoenda kujitetea Huko ICC huyo Bibi yenu Muuaji...wakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Kama watu wa namna hii ndio waalimu wa chuo kikuu, tuna tatizo kubwa kuliko inavyofikirika.