The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,456
wakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Unajua maana ya Wakili au unajiandikia tu...?
wakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Serikali ipi? Tarehe 29 Samuya hakua Raiswakili wa wauaji ni yule aliyeanzisha maandamano ya kupindua serikali
Wakiki gani ambae hakuwai hata kufaulu mitihani ya Uwakili nchin (Bar Exams)?
Ndiyo huyu Profesa wenu kipindi cha JPM alisema "ametolewa jalalani", au nimechanganya!!Nilitegemea ungefafanua ni wakili wa wauaji kivipi,?, Prof Palamagamba John, Aidan Mwaluko Kabudi, ni Professor wa sheria aliyehudumu kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na amepika maelfu ya wanafunzi , nikiwemo mimi, huwezi kumvunjia heshima kumuita wakili wa wauaji bila kuufafanua uwakili kivipi na wauaji gani. Huku sio kumtendea haki mwalimu wetu.
P
ndivyo mlivyojidanganya hivyo?Serikali ipi? Tarehe 29 Samuya hakua Rais
Kabudi is a disgrace!! Kutokea kupambania Tanganyika kwenye tume ya warioba hadi kuwa kuwadi wa wanaoihujumu Tanganyika!! Then likishazeeka na kustafu utasikia linaandika vitabu vya majuto na malalamiko!!
Pascal MayallaPumbavu limefundishwa na pumbavu pro max. What do you expect?
They’re both dipshits.