Niwakumbushe mabomu ya machozi hayafanyi kazi kwenye mvua

Niwakumbushe mabomu ya machozi hayafanyi kazi kwenye mvua

Dogo punguza presha mbona kama umeanza kuingia baridi?
 
Yasijekuwa yaleyale ya Kinjekitile Ngwale na risasi za Mjerumani kugeuka maji,maana kuingizana chaka hakujaanza leo hapa Bongo country.
 
Wakija na vile vimbwa vyao koko, vitupieni tu makongoro! Kutokana na njaa, vitakula na kuacha kuwabwekea.
 
Back
Top Bottom