Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ndio nataka nijue wale wanaume ambao huwa wanakubali kushare sababu kuu haswa huwa ni nini??
Teh teh shemeji tofauti ni kwamba wewe ndio unaeenda kutafuta mtu....
Mfano, kabla sijamalizaga kuwa mwanafunzi ilikuwa kila mwanamke unayemuona yupo occupied na mtu mwingine...
Kilichofuata ni kuvamia kambi za watu kuplay smart kisha ku ocupy jumla..
So unakubali kushea with the aim kwamba utamfanyia psychological transformatio awe wako jumla..
Kwa situation kama hiyo unakubali tuu,
kushare mbona kupo sana tu uraiani..
Mwanaume anyekuruhusu utembee na mwanaume mwingine kwa ajili ya pesa, ni wa kumuangalia sana. Wengi atakutumia kuchota pesa unazohongwa, siku akizichanga za kutosha, atakuacha kwenye mataa akatafute mtu wa Peke ake. Wanaume wana kinyaa sana, kushare tu bure bure mmh
Eeh na wapo kweli, maana kuna watu wana mahaba hadi mahaba yenyewe yanawashangaaIla wapo wanaoshare mama bila hataaa kupewa pesa, tena wao ndio watoaji wa hizo pesa, na anajua kabisaaa anashare.
Vipi kama kupindua ikashindikana? Utaendelea kushare tu?
Duuuuuh!! Vipi ulifanikiwa kufanya mapinduzi? Au raha yako ilikuwa kuwa nae tu ilihali ana mwanaume mwingine?
Ooooh! So you can share eti?
hao wameshikwa masikio sasa. wanajifanya wanapenda sanaOoooh thats another reason, ila kuna wanaoshare huku wao ndio watoaji wa hizo pesa.