Umeona !!!, huyu jamaa atakuwa ni Nshomile.Haha aise nmesoma nkaishia kucheka tu...tena amuombe Mungu sana ..hizo hizo gari takataka ndizo ipo siku zitamuokoa kwenye hatari...
milioni 5 sjui 7 una dharau hivo je mtu ambaye anaingia showroom hapa hapa bongo na milioni 70 cash atasemaje ama atakuwaje sasa ...
Hamna mteja humo kaka.... Kashika milioni 5 anataka mpaka awekewe full tank na namba D kabsa....Wee jamaa mbona una kauli kali halafu km za dharau hivi. Hivi ukimjibu mtu kistaarabu utapungukiwa nini ??.
Hiyo hana ubavu wa kuinunua.Iko Nissan Xtrail milioni 9 no.A.
Duh !!, hujambo kwa dharau.Toa uchafu huo
Kweli Mkuu, Nadhani alitaka watu wajue kua anamiliki pesa Milioni tano.Hamna mteja humo kaka.... Kashika milioni 5 anataka mpaka awekewe full tank na namba D kabsa....
Mvumilie tu.
Huyu atakuwa lebinadamuz ktk nyingineTahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri.
Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.
Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara
Masihara sitaki pesa iko mkononi
Asanteni.
Utu uzima sio umriTahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri.
Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.
Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara
Masihara sitaki pesa iko mkononi
Asanteni.