Niuzie gari kwa milioni tano

Tahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri.

Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.

Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara

Masihara sitaki pesa iko mkononi

Asanteni.
Huyu atakuwa lebinadamuz ktk nyingine
 
unataka kununua namba au gari maana kuna gari namba A zimesimama bomba na kuna namba C zimechoka njoo nikuuzie hiyo ina namba c iliyochoka
 
Tahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri.

Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.

Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara

Masihara sitaki pesa iko mkononi

Asanteni.
Utu uzima sio umri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom