Niulize lolote kuhusu CCM

Niulize lolote kuhusu CCM

Mbona mleta mada kaukimbia Uzi wake

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
ccm ilizaliwa au ilianguliwa kama watoto wa mamba maana ina tabia za kimamba mamba
 
1.Kwanini ccm mmejimilikisha mali za Umma
Mfano; viwanja vyote vya michezo mikoani na frem zinazozunguka stendi za magari wakati vimejengwa kwa kodi za wananchi?
Lini mlichanga pesa kuvijenga?

2. Kwanini mnawalea mafisadi kama akina Chenge ndani ya chama chenu?

3. Mahakama ya mafisadi mliyojinadi nayo iko wapi?
Imeendesha kesi ngapi na imemhukumu nani?

4.Kwanini mnalazimisha kupendwa na wananchi na kutumia nguvu kubwa sana kuficha madhaifu yenu na ya mwenyekiti wenu?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kwann jecha alifuta matokeo ya uchaguzi kule unguja?
je, ni kweli mgombea wa ccm alishinda kwa kura za tume hapo 2015?
maswali ni mengi?
 
Back
Top Bottom