Kitakufa lini??
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Umejisajili kwenye mfumo wa electronic wa uanachama wa ccm?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la kwanza ccm inakufa lini?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale masanduku ya kura mlio beba kule dar afu mkarudsha baadae mliweka kura ngap za wizi?Habarini wanaJF.
CCM ni chama pendwa Tanzania , Afrika Mashariki na Kati !
Naomba uniulize chochote kuhusu CCM, nitakujibu.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafiki wao kamili utauona kwenye msiba kuanzia Kijani kutamalaki mpaka vilio na masikitiko feki.Serikali ya ccm inashangaza sana….Hiyo pole haikuonekana wkt wa uvamizi wa majeshi ya serikali pale clouds....mbona hakuwahi hata kukemea? mbona tume iliundwa kuchunguza aliyeunda tume akatumbuliwa?....HUU UNAFIKI HUU CJUI KWA KWELI\
R.I.P RUGE
HahahahaDuh hili swali gum ni gum kama kusafiri kwa miguu kwenda sayari ya mars!