Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,309
- 51,971
Katika kupambana kuna bahati mbaya. Hili unalionaje?Kuwepo milele coz maisha ni kupambana,na kama utapambana vizuri utafurahi kuwepo duniani,na kama hupambani ndo wazo la kutokuwepo duniani,linakuja,ndo wazo la kusema maisha hayana maana likuja kichwani

