Kwa kifupi maswali mafupimaswal mafup mafup yapoje ?
Yana sifa gan ?
Yalianzishwa na nan ?
Kwa nn yapo ?
Hivi unadhan madhara ya kutokuwepo maswal mafupi ni nini ?!
Na faida za maswal mafupi ni zipi ?!
Point tano tano kwa kila swali
Nitumie picha yako pmLeo ni siku ya mapumziko ,sina kazi ya kufanya zaidi ya kupumzika home
Maswali yawe mafupi mafupi
Kwa nn tuliungana na zanzibar ?!Kwa kifupi maswali mafupi
1,ni mepesi
2,huchukua muda mfupi
3,hueleweka
4,hayachanganyi wasoma komenti
5,Ni rahisi kufanya evaluation
Mbona effect za mabepar ni kubwa kuliko hata kabla ya muunganoIli kuimarisha ulinzi na usalama dhidi ya vitisho vya mabepari
Handsome kilaza coz utampa elimu ili ukilaza uishe maana hakuna akili ya binadam iliyokilaza moja kwa moja unless kichaaMasuali mafupi lakini msambwanda mrefu.
Suali langu = Kati ya handsome lakini kilaza na sura mbaya lakini smart yupi utachagua?.
Ndukiiiii
Kwa kipindi hicho Nyerere na Karume waliona mabepari na warabu akina Mohammed Shamte walkuwa tishio baada ya mapinduzi ndo maana wakaungana shuta ili kulinda mapinduziMbona effect za mabepar ni kubwa kuliko hata kabla ya muungano
Mamii
Sabab ya kuuliwa karume ni niniKwa kipindi hicho Nyerere na Karume waliona mabepari na warabu akina Mohammed Shamte walkuwa tishio baada ya mapinduzi ndo maana wakaungana shuta ili kulinda mapinduzi
unawaogopa tiss ?!TISS wananichungulia,
Am waitingUsjali