Niulize chochote nitakujibu

Niulize chochote nitakujibu

Wewe ni kabila gani?

Je unahisi kabila au malezi kutoka jamii ya kabila flani kuna weza kuinfluence tabia na characteristics za mtu?
Mimi ni Mnyambo,tabia ya mtu inaweza kuathiriwa na mila za kabila hilo na si kabila hilo
 
Kuwepo milele ila kwa sababu ya nature ya dunia itafika muda hatutakiwepo,tutapisha wengine aachukue nafasi
Mwaka 1950 ulikuwa hauexperiece chochote.
Mwaka huu wa 2019 umeexperience mengi.

Je, huoni haya maisha yakiendelea milele kuna wakati utatamani kufa kutokana na maisha yalivyo?
Tuchukulie umepewa zawadi ya kuchagua uishi hapa duniani milele ukiwa kama ulivyo na maisha yaendelee kama yalivyo ila uwe hutokufa milele au uchague kutokuwepo mahali popote wala bila kuhisi chochote, ungechagua nini?
 
Njoo basi nikudundishe moyo, si uko free leo? Nina uhakika moyo wako utadunda tu, unakunywa kinywaji gani nikuandalie.
Moyo unadunda baada ya siku kadhaa,ndo maana nimesema ni mchakato mrefu wa kutosha,ila mchakato ukishakamilika ,wew niite sehemu yoyote muda wowote ambo nipo free nakuja,coz moyo umeisha data
 
Kufanya Masturbation unapokuwa na hamu ya tendo la ndoa na hauna mwenza wa kukutimizia haja?
Mambo haya hutegemea akili yako inafikiria nini kwa asilimia kubwa,kama kati ya mawazo ya siku asilimia 85 unawaza mahusiano lazima ufikirie sex na isipokuwepo ndo mambo kama masturbation yanakuwepo
 
Mwaka 1950 ulikuwa hauexperiece chochote.
Mwaka huu wa 2019 umeexperience mengi.

Je, huoni haya maisha yakiendelea milele kuna wakati utatamani kufa kutokana na maisha yalivyo?
Tuchukulie umepewa zawadi ya kuchagua uishi hapa duniani milele ukiwa kama ulivyo na maisha yaendelee kama yalivyo ila uwe hutokufa milele au uchague kutokuwepo mahali popote wala bila kuhisi chochote, ungechagua nini?
Kuwepo milele coz maisha ni kupambana,na kama utapambana vizuri utafurahi kuwepo duniani,na kama hupambani ndo wazo la kutokuwepo duniani,linakuja,ndo wazo la kusema maisha hayana maana likuja kichwani
 
Nawahi kukata tamaa pale ninapoona mtu wangu ananicheat
Kwanini upendi ku cheatiwa huwa inakupunguzia nini, kama upendo, heshima na care mwanaume wako anakupatia?

Mbona wanawake wakislam wanauwezo wa kushare mume mmoja na wote wakaishi vizuri tu?
 
Kwanini upendi ku cheatiwa huwa inakupunguzia nini, kama upendo, heshima na care mwanaume wako anakupatia?

Mbona wanawake wakislam wanauwezo wa kushare mume mmoja na wote wakaishi vizuri tu?
Watu tunatofautiana katika mapenzi,kuna wanaoona ni kawaida lakini binafsi nataka mwanaume awe wa kwangu tu,na si kushare,unajua kuna faida kubwa ya kuwa wawili kwenye mahusiano kuliko hasara kubwa kuwa na wengi kwenye mahusiano
 
Watu tunatofautiana katika mapenzi,kuna wanaoona ni kawaida lakini binafsi nataka mwanaume awe wa kwangu tu,na si kushare,unajua kuna faida kubwa ya kuwa wawili kwenye mahusiano kuliko hasara kubwa kuwa na wengi kwenye mahusiano
Kama umegundua mume wako wa ndoa na baba mtoto wako amekucheat, utachukua hatua gani?
 
Back
Top Bottom