Niulize chochote nikujibu

Niulize chochote nikujibu

Karibu kwenye uzi huu! Una swali lolote kuhusu mada yoyote? Niulize papo hapo, nikujibu haraka iwezekanavyo.
Kwanini kwenye kutafsiri maana ya giza lazima ndani yake watu hugusia mwanga..?
giza kama giza kwanini isiwe na tafsiri yake bila kugusia mwanga..?

is the darkness has frequency..?
if yes why..? and if no why..?
 
Back
Top Bottom