MTAtiro grandson
Member
- Aug 18, 2019
- 80
- 177
- Thread starter
- #21
Ndio ni rahisi sana kama akijua password zako za wi-fi au akijua baseband yakoje kutumia WIFI unaweza kuwa rahisi kwa provider ku hack simu yako??
Ndio ni rahisi sana kama akijua password zako za wi-fi au akijua baseband yakoje kutumia WIFI unaweza kuwa rahisi kwa provider ku hack simu yako??
Mkuu wewe Leta tutakutetea weka kijanja wataalamu tutaelewa punguza hata nukta nucta alafu utuelezee chini kikubwa usitume linkYap inawezekana nichek pm nikutumie link ya maelekezo humu ma modereta wanazingua kuna siku humu nilileta uzi wa kuhack wazee wakaufuta
NipoYuko wap mleta mada
Nishaga weka kama mara mbili hivi kitaalamu wazee wakapita nayo yani wako active kinoumaMkuu wewe Leta tutakutetea weka kijanja wataalamu tutaelewa punguza hata nukta nucta alafu utuelezee chini kikubwa usitume link
Baseband tena? We kweli hamna kitu hapa.Ndio ni rahisi sana kama akijua password zako za wi-fi au akijua baseband yako
Broo kama unabisha screenshot simu yako upande wa about phone alafu nitumie nikuonyeshe sasa ndo utajua sijuiBaseband tena? We kweli hamna kitu hapa.
Wi-Fi ni wireless fidelity
Wi-Fi ni trademark, haina kirefu chochote kileWi-fi ni wireless fidelity
Niliwahi fika hotel fulani nikakuta free wi fi lkn nilipounga automatically ilifungua browser na kufungua service zao zote kwenye web page bila hata mimi kujua address husika.Husika na mada tajwa hapo juu nataka mwenye swali lolote kuhusu wi-fi niulize tu nikupe majibu chap kwa ambao hamjui chochote
Kuna wi fi zipo open lkn ili utumie lazima mac Address ya device husikq iwe configured kwa router. Hapa inawezekana?Jaman nataka nilete uzi wa ku hack wi-fi yeyote ile bila ya kujaza password yani unafungua tu wi-fi inaconnect
Ku unlock routa ni kipengele kilefu sana mpka uwe mtaalamu wa it vp unajua jua kidg hayo maswla nianze kushusha somoNina Ruta ya tigo nafanyaje ili nibadalishe Jina liwe langu yani mtu akia serch Wifi iwe inatoka jina langu. 2.ni wapi wana unlock Ruta za mitandao?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Fanya juu chini udondondoshe uziJaman nataka nilete uzi wa ku hack wi-fi yeyote ile bila ya kujaza password yani unafungua tu wi-fi inaconnect
Jina la hiyo Wi-fiNataka ni hack wi-fi ya chuon kwetu hap dsm mkuu veep inawezekan maan ipo lakin password hatujaambiwa
Nina Ruta ya tigo nafanyaje ili nibadalishe Jina liwe langu yani mtu akia serch Wifi iwe inatoka jina langu. 2.ni wapi wana unlock Ruta za mitandao?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hzo n wifi zenye kitu kinaitwa captive portal. Hizi zinakua ni open wifi ila zinakuhitaji uweke credentials ili uweze kuzitumia. Mara nyingi zinatumika kwenye ma hotel na taasisi ili kurahisisha utumiaji wa wifi kwa wale wenye vibali tu.Niliwahi fika hotel fulani nikakuta free wi fi lkn nilipounga automatically ilifungua browser na kufungua service zao zote kwenye web page bila hata mimi kujua address husika.
Swali ni kuwa:
Baseband ina contain modem firmware. Huwezi ifanyia chochote zile number mbale ni version number tuBroo kama unabisha screenshot simu yako upande wa about phone alafu nitumie nikuonyeshe sasa ndo utajua sijui
Nipe ip adress yakoBaseband ina contain modem firmware. Huwezi ifanyia chochote zile number mbale ni version number tuView attachment 1698695
Sent using Jamii Forums mobile app