Niulize chochote kuhusu Wi-Fi

1.Wi-fi huwa ina uwezo wa kurusha mawimbi katika umbali gani?

2.wi-fi huwa inaathiriwa na vitu gani katika urushaji wa mawimbi?

3.Nini kinaweza kufanya simu A kuwa na wi-fi nzuri kuliko simu B?

4.Wi-fi bora/yenye nguvu ina sifa zipi?

5.Wi-fi ni kwa ajili ya kushare internet peke yake?

6.Tofauti na internet ni vitu gani vingine vinaweza kuwa shared kwa kutumia wi-fi?
 
Wi-Fi ni wireless fidelity

WiFi inaweza kutumika kuunga vitu kadhaa,
Tukirejea maana ya wireless maana Yake ni bila waya,

Hivyo unaweza kushare vitu bila kutumia waya (cable)

Kwa maana hiyo wireless sio kwa ajili ya internet pekee..

Haya msiniulize mimi maswali nimeona nisaidie tu baada ya mtoa mada kusepa
 
Unafanyeje kufanya connection na projector ah printer
WiFi inatumika kusafirisha data kwa njia ya wireless (bila waya) hvyo haijalishi kma hzo data ni internet, picha, video, file yenyewe inabeba zote. Hvyo inaweza tumika kusafirisha video (kma kwenye projector), sauti (kuna vifaa vinavyotumia frequency za wifi kusafirisha sauti), kutuma mafile (kama xender, nearby share, share it). Cha msingi tu receiver ya hzo data ni lazima iwe na uwezo wa kutambua ni kitu gani kilichotuma.

WiFi ni protocol, ifikirie kma Bajaji. Bajaji kazi yake kubwa ni kubeba watu (kma wifi kazi yako kubwa ilivyo ni kubeba internet), lakini bajaji hii inaweza kubeba viroba vya unga, magodoro, vitanda, mbuzi na mengine mengi. Ndio wifi ilivyo, ni media tu inayoweza beba vitu inavyoweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom