Niulize chochote kuhusu Somalia na wasomali

Niulize chochote kuhusu Somalia na wasomali

mtoto wa baba mkubwa kuoa au kuolewa na wa baba mdogo kawaida kwao.
 
Hivi hapa Tanzania miji gani ina wasomali wengi ukiacha Dar es Salaam?
 
Hivi ni kweli ukibainika umeiba kitu cha mtu mwingine adhabu yake ni kukatwa kidole cha mkono wa kulia?
 
Toka nimezaliwa mpaka leo sijawahi ona Msomali amefumba mdomo... Hii hali husababishwa na nini?
 
Naweza kuja Somalia Kama mgeni na niishi salama?
Nikitaka kuoa msomali nimtoe huko Somalia inawezekana? Hawana ubaguzi?
 
Kuna kanisa kubwa sana Mogadishu ingawa waumini ndio wachache .
Wengi wa wakristu hawasali katika kanisa hilo bali kwene vijikanisa mafichoni kwa kuogopa kushambuliwa na kundi la Al shababna waislam wenye misimamo mikali
Kwanini waislam hupenda kuuwa wakristo?

Na kumbe Somalia napo Kuna wakristo?
 
Back
Top Bottom